Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia

Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia

Ndio madhara ya kupenda midako na rede halafu mpira mnalazimisha kuupenda ukubwani.

Yanga anahitaji kushinda hata goli moja tu dhidi ya CRB na atoe sare mechi na Al Ahly moja kwa moja anafuzu kwasababu hatolingana point na CRB. Yanga inahitaji point 4 tu anafuzu moja kwa moja haijalishi kafunga magoli mangapi bali itamfanya awe na point 9 zisizoweza kufikiwa na CRB
Boss, anazipata wapi hizo 4? Kuna wakati mkubali ukweli usemwe. Nitakurudia trh 24 baada ya match
 
Ukitoa sare na CRB na mechi zenu za mwisho mkashinda ,Yanga na CRB si wote mtafikisha points 9 . Au points 9 zenu zitakuwa na nguvu za majini ?
Soma uelewe ili Yanga afuzu anatakiwa amfunge CRB haijalishi goli ngapi na kisha mechi yake ya mwisho anatakiwa apate sare tu inamtosha kwenda hatua inayofuata
 
View attachment 2906369

Mechi za Yanga zilizobaki

Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini

Mechi za CR Belouzidad

Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC

ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.

Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
JF ya Sasa imejaa vichaa, nimefunguwa Uzi nione matokeo ya mechi ya Jana sioni kitu naona mauzauza tu ya mtu anayejamba mashuzi tu hata anachokiandika hakieleweki.

Stupid (In Samia voice)
 
View attachment 2906369

Mechi za Yanga zilizobaki

Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini

Mechi za CR Belouzidad

Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC

ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.

Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Jiandae kupingwa na Mazuzu ya Jangwani..
 
View attachment 2906369

Mechi za Yanga zilizobaki

Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini

Mechi za CR Belouzidad

Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC

ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.

Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
sawa apostle 🐒

R I P laigwanani comrade ENL
 
View attachment 2906369

Mechi za Yanga zilizobaki

Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini

Mechi za CR Belouzidad

Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC

ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.

Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Hivi kwa nini watu wa upande wa pili wanaanzisha thread za Yanga kika siku? Angalau wangekuwa wanatoa analysis ya kwa nini Yanga hawatafuzu lakini thread zao zimejaa hisia na dua mbaya kwa adui yao.
Yanga ana uwezobwa kumfunga Belouizidad tarehe 24 na mechi ya mwisho akatoa draw na hata kushinda ugenini. Al Ahly ya sasa hivi siyo ile ya zamani. Nafikiri kama mtu aliangalia mechi zao za hivi karibuni atajua hilo. Belouizidad nao hawako vizuri sana kama watu wa Mbeleko FC wanavyotaka kuuamimisha umma. Halafu mpira siyo hesabu wala logic kwamba kama A=B na B=C basi A=C.
Ushauri wa bure kwa mashabiki wa Mbeeko FC enjoy the beautiful game stress za timu za wengine x
Zitawaua!
 
Ndio madhara ya kupenda midako na rede halafu mpira mnalazimisha kuupenda ukubwani.

Yanga anahitaji kushinda hata goli moja tu dhidi ya CRB na atoe sare mechi na Al Ahly moja kwa moja anafuzu kwasababu hatolingana point na CRB. Yanga inahitaji point 4 tu ambazo katika hizo point 4, point 3 azichukulie kwa CRB anafuzu moja kwa moja haijalishi kafunga magoli mangapi bali itamfanya awe na point 9 zisizoweza kufikiwa na CRB
sema wewe mwenyewe unachukulia mpira as if unaokota tu unafunga, unafikiri hata hiyo cr belouzidad mtaifunga ?
 
Ili Yanga ifuzu inabidi waipige CR Belouzidad kono la nyani (bao tano) maana kuna dozi inawasubiri Misri kwa Al Ahly, na hapo waombee Belouzidad akiwa nyumbani kwao dhidi ya vibonde wa kundi ashinde goli mbili tu.
Ujinga mwingine wa mifugo ya mangungu ndio hii, Yanga akimpiga Belouzdad ata kwa ushindi wa goli moja na akapata point moja kwa Aly ahly Anakuwa amepita moja kwa moja aijalishi magoli ya kufungwa na kufunga yako je, Belouzdad ata akishinda goli 100 dhidi ya medeama Anakuwa ametolewa na yanga anasonga robo fainali,
Hesabu tu ndogo iyo unashindwa kuijua alafu unataka mangungu awaachie timu na akili zenyewe ndio hizi!
 
Back
Top Bottom