mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ukweli tuuseme Yanga ni timu changa sana!! Hawawezi kujilinganisha na Simba hata kidogo!! Waulize kwenye haya mashindano wamevuna shilingi ngapi na walinganishe na fedha alizovuna Simba mwaka jana kwa kufika hatua ya robo fainali!
Yanga iache kabisa kujilinganisha na Simba, wala Azam wala Biashara wala simba queens!!
Yanga iache kabisa kujilinganisha na Simba, wala Azam wala Biashara wala simba queens!!