Yanga yatolewa kwenye hatua ya mchangani na timu ya mchangani kabla hata ya vigogo hawajaingia mashindanoni!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ukweli tuuseme Yanga ni timu changa sana!! Hawawezi kujilinganisha na Simba hata kidogo!! Waulize kwenye haya mashindano wamevuna shilingi ngapi na walinganishe na fedha alizovuna Simba mwaka jana kwa kufika hatua ya robo fainali!

Yanga iache kabisa kujilinganisha na Simba, wala Azam wala Biashara wala simba queens!!
 
Kwani hii nayo ni Habari? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kwani hii nayo ni Habari? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Ngoja wenyewe waje!! Sasa ndio ugopolo watajua kuwa ku be mwaka jana Simba ilifika mbali sana! Kama ni safari ya kutoka Dar hadi Mwanza Simba walifika Shinyanga lakini Yanga (kwa kuwapendelea sana) wameishia Mlandizi!!
 
Ngoja waje watakwambia jezi ya Simba ina makorokoro,yani hawa watani zetu hamnazo kabisa.
 
Ngoja wenyewe waje!! Sasa ndio ugopolo watajua kuwa ku be mwaka jana Simba ilifika mbali sana! Kama ni safari ya kutoka Dar hadi Mwanza Simba walifika Shinyanga lakini Yanga (kwa kuwapendelea sana) wameishia Mlandizi!!
Mlipewa kombe gani kwa "Kufika Mbali"?
 
Yanga timu kubwa kuliko Simba ndo inazungumziwa sana, Yanga inaandikwa maandiko tofauti zaidi ya mara tano kwa siku,Simba haizungumziwi kabisa
 
Umetokea Mirembe nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…