Tunahujumiwa na tff sio bure
Mo katia mkono hapa
Simba anapendelewa 'he kumbe simba hajashiriki kombe la biscuit'
Si unajua ktk lawama zetu lazima tuitaje simba, sasa leo sijui itakuwaje na simba hayumo
Tatizo yanga muda mwingi waliiutumia kufatilia mambo ya manara na mo mwisho ht timu yao hawakujliandaa.kushituka 3 nyavuni.walalamikie tff anaipendelea simba na simba ht kagame cup haijashiriki.