Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic, yamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic, yamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Tulilishwa matangopori kuwa kocha ndiyo kaomba kuvunja mkataba sijui belzoudad wamemuhitaji kumbe chai, kocha gani huyo CR wamuhitaji, kumbe zilikuwa propaganda baada ya kuvumilia kwa muda mrefu aibu ya kumsajili kocha mbovu mwisho mmeamua liwalo na liwe ha ha

Pale kulikuwa hamna kocha Eng aliwaingiza chaka, hata huyu mpya baada ya mechi ya Simba ana hatihati ya kufurushwa
 
UMMMA ndo nini wazee mwenye kujua atuambie.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Huyu Miloud Hamdi nae anaweza asimalize msimu huu

Poor utopolo
 
Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC umefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba na Kocha Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kodro.

Katika hatua nyingine, Klabu ya Young Africans SC inamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa.

View attachment 3225524

My take
YANGA SC wamekubali kumuachia Sead Ramovic kujiunga na Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria.

CR Belouizdad Wametuma ofa nono kwa Ramovic na wamekubali kulipa fidia ya kuvunja mkata na Yanga.
Yanga wanamuachia kocha huyo kwa faida kwani watapata fidia ya kuvunja mkataba.

View attachment 3225510
CR utopolozidadi inakwenda kushuka hakuna kocha na ni uongo kusema wamelipa pesa!
 
Utani wa jadi unazidi kupamba moto. Akaunti rasmi ya Klabu ya Simba imewasahihisha wapinzani wao Yanga baada ya kutoa press yenye makosa ya kiuandishi.

Badala ya kuandika Umma wameandika Ummma. "Jirani punguza pressure, ni Umma si Ummma" imeandika Simba SC.

Ama kweli Yanga ya sasa kila mtu anajipigia tu kwa namna anayoona inafaa.

1000259224.jpg
 
Yanga imekuwa kama mkwe mwenye gubu. Kila mke anaekuja anakimbia🤣🤣🤣🤣.

Waanze kuajiri makocha wa ndondo cup sasa.
 
Uto mlimuombea Dua mbaya Fadlu..naona ubaya unawarudia
 
Back
Top Bottom