The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Sasa Subirini mwakani Mwinyi awavushe Makundi.Kikosi tunacho kocha ndio hatuna! Hiki kikosi hata tungempa timu Mwinyi Zahera tungevuka makundi CAFCL!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Subirini mwakani Mwinyi awavushe Makundi.Kikosi tunacho kocha ndio hatuna! Hiki kikosi hata tungempa timu Mwinyi Zahera tungevuka makundi CAFCL!
Timu apewe huyo wa kulia.Kumbe familia View attachment 3225545
Source gani nyingine unataka Chili Source au?Source please
Baada ya kukiri wananunua mechi wakifika caf mechi ni ngumu!Klabu ya Young Africans imethibitisha kumnasa Miloud Hamdi kuwa kocha mkuu wa klabu akichukua nafasi ya Saed Ramovic ambaye wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba nae.
View attachment 3225526
Siyo kumnasa, Sema utopolo imepewa kocha na mwiguluKlabu ya Young Africans imethibitisha kumnasa Miloud Hamdi kuwa kocha mkuu wa klabu akichukua nafasi ya Saed Ramovic ambaye wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba nae.
View attachment 3225526
CR utopolozidadi inakwenda kushuka hakuna kocha na ni uongo kusema wamelipa pesa!Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC umefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba na Kocha Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kodro.
Katika hatua nyingine, Klabu ya Young Africans SC inamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa.
View attachment 3225524
My take
YANGA SC wamekubali kumuachia Sead Ramovic kujiunga na Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria.
CR Belouizdad Wametuma ofa nono kwa Ramovic na wamekubali kulipa fidia ya kuvunja mkata na Yanga.
Yanga wanamuachia kocha huyo kwa faida kwani watapata fidia ya kuvunja mkataba.
View attachment 3225510
Kwanza tuanzie na neno UMMMA lina maana gani?Kweli nimeamini usiache mbachao kwa msala upitao.
Huyo mwisho tarehe 08/03Huyu Miloud Hamdi nae anaweza asimalize msimu huu
Poor utopolo