Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic, yamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic, yamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Ile team now kila mtu ana mipango yake.

Kuna nyie muutakao Ubingwa halafu kuna wengine wanataka ubunge.
 
Side mnyamwezi kala kona, kalala mbele baada ya kuona simba anagawa vipigo vizito.

"GUSA ACHIA LALA MBELE, KULA KONA, KIMBIA USIFUNGWE 5 NA SIMBA"
 
Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC umefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba na Kocha Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kodro.

Katika hatua nyingine, Klabu ya Young Africans SC inamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa.

View attachment 3225524

My take
YANGA SC wamekubali kumuachia Sead Ramovic kujiunga na Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria.

CR Belouizdad Wametuma ofa nono kwa Ramovic na wamekubali kulipa fidia ya kuvunja mkata na Yanga.
Yanga wanamuachia kocha huyo kwa faida kwani watapata fidia ya kuvunja mkataba.

View attachment 3225510
Kocha kama kocha out
 
Ukitaka kujua yanga ni timu mbovu angalia wanavyofukuza makocha kwa mbwembe za kunufaidika kimkataba. Gusa achia tuwapotezee maboya.
 
Kikosi tunacho kocha ndio hatuna! Hiki kikosi hata tungempa timu Mwinyi Zahera tungevuka makundi CAFCL!
Hakika unaujua mpira vyema pale kwa mabingwa kikosi kipo sema bwana side rambovic hakua kocha yeye ni mwanamitindo anajua kuvaa suti na vizibao kama vya Mao..
 
Back
Top Bottom