Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It is anything which has mass and can occupy a space.Kwanza tuanzie na neno UMMMA lina maana gani?
Source yanga sc, for more news read sports news papers on 5th February 2024Source please
Kocha kama kocha outUongozi wa Klabu ya Young Africans SC umefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba na Kocha Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kodro.
Katika hatua nyingine, Klabu ya Young Africans SC inamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa.
View attachment 3225524
My take
YANGA SC wamekubali kumuachia Sead Ramovic kujiunga na Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria.
CR Belouizdad Wametuma ofa nono kwa Ramovic na wamekubali kulipa fidia ya kuvunja mkata na Yanga.
Yanga wanamuachia kocha huyo kwa faida kwani watapata fidia ya kuvunja mkataba.
View attachment 3225510
NAKAZIAKocha tulikuwa hatuna pale.
Ila jamaa weweMgeni amesema hataki soda anataka mia sita yake!!
Yote heri😅Mbuzi wa bwana heri na mahindi ya bwana heri
Official page za YangaSource please
Katoa Siri za ndani🤣🤣🤣. Huoni kipaji cha CCC kilivyokufa Kule hakuna kuhangaika point zipo hata wachezaji wakilala bar😂😂Baada ya kukiri wananunua mechi wakifika caf mechi ni ngumu!
Kauli imemponza katoa Siri za ndani.😁😁Tulisema hafiki pasaka
Tulipowaambia hao jamaa kuwa hapo hakuna kocha walivimba macho kwa hasira. Sasa Kiko wapi!?Kweli nimeamini usiache mbachao kwa msala upitao.
Kihasibu hii haiko poa kabisa 😁Mimi nimelala kumbe kuna vurugu inaendelea. Evelyn Salt mbona hukunipigia?
Hakika unaujua mpira vyema pale kwa mabingwa kikosi kipo sema bwana side rambovic hakua kocha yeye ni mwanamitindo anajua kuvaa suti na vizibao kama vya Mao..Kikosi tunacho kocha ndio hatuna! Hiki kikosi hata tungempa timu Mwinyi Zahera tungevuka makundi CAFCL!