Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sawa sawa hujakoseaKikosi tunacho kocha ndio hatuna! Hiki kikosi hata tungempa timu Mwinyi Zahera tungevuka makundi CAFCL!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa hujakoseaKikosi tunacho kocha ndio hatuna! Hiki kikosi hata tungempa timu Mwinyi Zahera tungevuka makundi CAFCL!
Ndio muamini kuwa utopolo ana stoo zake za kutunzia makocha na wachezaji. SBS, Dodoma jiji, pamba na zote zinazofadhiliwa na gsm. Msishangae hata wale waliopewa uraia fake (wahamiaji haramu) soon mtawakuta wako utopoloni.Klabu ya Young Africans imethibitisha kumnasa Miloud Hamdi kuwa kocha mkuu wa klabu akichukua nafasi ya Saed Ramovic ambaye wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba nae.
View attachment 3225526
😂😂😂😂😂Vile vikoti koti vyake na vizibau kama muuza alkasusu babu Side niachieee usiondoke navyo tafadhali
Usishangae hii ni timu moja, ila ina matawi kibaoChakushangaza singida black stars hawajatangaza kuachana na kocha wao aliyetangazwa na yanga ,vituko kwenye ligi
Umenena sahihi, side kaona anashinda kwa viongozi kununua timu pinzaniKatoa Siri za ndani🤣🤣🤣. Huoni kipaji cha CCC kilivyokufa Kule hakuna kuhangaika point zipo hata wachezaji wakilala bar😂😂
Maamuzi bora kwa viongozi huyu kocha sikuwahi muelewa🚮Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC umefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba na Kocha Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kodro.
Katika hatua nyingine, Klabu ya Young Africans SC inamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa.
View attachment 3225524
My take
YANGA SC wamekubali kumuachia Sead Ramovic kujiunga na Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria.
CR Belouizdad Wametuma ofa nono kwa Ramovic na wamekubali kulipa fidia ya kuvunja mkata na Yanga.
Yanga wanamuachia kocha huyo kwa faida kwani watapata fidia ya kuvunja mkataba.
View attachment 3225510