Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic, yamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic, yamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Ina maana barua waliiandika mapema ? Hii tarehe ina maana gani ?
FB_IMG_17387357377404119.jpg
 
Vile vikoti koti vyake na vizibau kama muuza alkasusu babu Side niachieee usiondoke navyo tafadhali
 
Klabu ya Young Africans imethibitisha kumnasa Miloud Hamdi kuwa kocha mkuu wa klabu akichukua nafasi ya Saed Ramovic ambaye wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba nae.
View attachment 3225526
Ndio muamini kuwa utopolo ana stoo zake za kutunzia makocha na wachezaji. SBS, Dodoma jiji, pamba na zote zinazofadhiliwa na gsm. Msishangae hata wale waliopewa uraia fake (wahamiaji haramu) soon mtawakuta wako utopoloni.
 
Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC umefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba na Kocha Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kodro.

Katika hatua nyingine, Klabu ya Young Africans SC inamtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa.

View attachment 3225524

My take
YANGA SC wamekubali kumuachia Sead Ramovic kujiunga na Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria.

CR Belouizdad Wametuma ofa nono kwa Ramovic na wamekubali kulipa fidia ya kuvunja mkata na Yanga.
Yanga wanamuachia kocha huyo kwa faida kwani watapata fidia ya kuvunja mkataba.

View attachment 3225510
Maamuzi bora kwa viongozi huyu kocha sikuwahi muelewa🚮
 
Back
Top Bottom