Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 505
- 960
Usimpangie mtu cha kufanya...aibu anatia yye kubweka unabweka wweKina Jimmy Kindoki na Frank yanga ni wanaijeria ?wamefanya msafara wanawapigia makofi wanaijeria wakasuswa tu kama hawajaonwa ,inatia aibu
Msije kwa Mkapa,.. Mnafuata nini??Mlipo kua mmejezana kwa mkapa kushabikia mazembe kuna mtu aliwahoji?
Tunaenda kushabikia plateau kama nyie mlivofanya kwa mazembeMsije kwa Mkapa,.. Mnafuata nini??
Vipi nyie mlivyowashabikia pyramids??Uneducated people, Mi nyan ya kubwekabweka maneno kutoka kwa yule team coach wenu
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Hatuongei na vtimu vya hovyo visivyoshiriki mashindano ya Kimataifa kwa sasaVipi nyie mlivyowashabikia pyramids??
hiyo haiwezi kuniondolea kinyaaMlipo kua mmejezana kwa mkapa kushabikia mazembe kuna mtu aliwahoji?
Kama mropokaji wenu ataendelea kutengeza chuki Hilo linaweza kutokea...Yanga na Simba ni watani lakini mropokaji anaona ni uadui kwa kauli zake...Vifo vishawai tokea katika soka huko Misri kutokana na mashabiki..
Hatuko mbali sana na hilo,kama naliona linakuja soon mambo yakiendelea hivi.
Uwanja wa Mkapa,iko siku yatatokea ya kutokea,maana sio utani wa jadi tena ni vita.
Idara husika i stabilize mambo.
Upo uwezekano kesho Simba itanyang'anywa points kwa kitakachotokea uwanjani..Msije kwa Mkapa,.. Mnafuata nini??
Upo uwezekano kesho Simba itanyang'anywa points kwa kitakachotokea uwanjani..
Fujo ni fujo tu iwe ndani au nje...huijui Nigeria weweTutawapiga nje ya uwanja hata uwanjani hamtaingia
Jimmy Kindoki mjomba wa kaka yake babu yake,ambaye ni baba mkubwa wa shangazi ambaye mjomba wa babu yake ni Mnaijeria.Kina Jimmy Kindoki na Frank yanga ni wanaijeria ?wamefanya msafara wanawapigia makofi wanaijeria wakasuswa tu kama hawajaonwa ,inatia aibu
Njoo uone kitakachotokea kesho ni siku ya redFujo ni fujo tu iwe ndani au nje...huijui Nigeria wewe
Mdo pumba zenu utopolo akili zimejaa maviJimmy Kindoki mjomba wa kaka yake babu yake,ambaye ni baba mkubwa wa shangazi ambaye mjomba wa babu yake ni Mnaijeria.
Huyo Frank Yanga babu wa babu yake ambaye shangazi yake upande wa mama ambaye mama yake mdogo bibi yake ni Mnaijeria.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] upo hapo.
So msiwachagulie watu timu za kushangilia.
Mechi ya Yanga na Mazembe ,Manji alilipa siti zote 60 elfu kwa ajili ya Wanayanga,ila Simba nao walivamia na kuingia bure na kushangilia wakaishangilia Mazembe,ina maana Simba walikuwa Wakongo.
Cheza mpira ukitaka kuwafunga mdomo Yanga wewe unachotakiwa kushinda.