Yanga yawapokea Plateau airport kwa shangwe

Mimi ndiyo maana sifuatilii mpira wa Tanzania. Viongozi hawana maono na mashabiki hawana maono. wa Simba hamu yao ni kuifunga Yanga na wa Yanga hamu yao ni kuifunga Simba.

Hakuna anayewaza zaidi ya hapo.

Mpaka leo unanunua FIFA 20 unanunua FIFA 21 huoni timu yetu ya Taifa wala vilabu ambavyo vimeanzishwa hata nchi haijapata uhuru. Unakuta timu za North Africa zimewekwa mule sisi kinachotushinda ni kwavile ujinga umetawala.
 
B
Bila picha siwezi kuamini
 
Nyie mnakuja ili mtuibie simu hamna kazi ndio maana muda wa kazi mnajaa airport
Nina wasiwasi na kiwango chako Cha elimu...upeo wako wa kufikiri na kuchambua Mambo nina wasiwasi nao pia...Mtu makini na mwenye hoja hawezi kuwasilisha hoja ya Aina hiyo... Watu huwa wanaandamana na timu zao zinapocheza nje ya vituo vyao ina maana wale watu au mashabiki hawana ajira wote?...kuipokea timu kutoka nje ina maana hawana ajira?! Kwani Nini maana ya ajira? Mtu Nina shughuli zangu zinazoniingiza kipato je hiyo haiwezi kuitwa ajira?! Nini maana ya self employment au self employed?! Wanasimba wa Dar es Salaam wakienda kushangilia Simba dhidi ya Mtibwa kule Morogoro ina maana wote wale hawana ajira?
Ninajua umeandika hivyo kwa kuwa anayejiita mchambuzi mmoja ameandika hivyo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao mmoja...lakini itoshe tu kusema wachambuzi wetu ambao baadhi yao ni uchwara ni sehemu ya tatizo la soka la Tanzania....upeo wao wa kuchambua issues ni wa kiwango Cha chini mno...katika hili kwa mfano ilipaswa mchambuzi achambue sababu hasa zilizowafanya baadhi ya wanayanga kwenda Airport kuwapokea Plateau Jambo ambalo siyo la kawaida...Sasa basi mchambuzi anaishia kusema tu walikkwenda airport hawana ajira huyo ni mchambuzi ambaye anazo sifa zote za mchambuzi uchwara...
 
Huu uadui manara ndo anautengeneza, sema tu hamlioni hilo
 
Wewe kama una ajira yako unaweza kuhangaika na mtunambaye hakujui wala una uhusiano naye, ukishanijibu ndio nitajua oama ni kayumba au la.
Uwezo wenu wa kufikiri alishasema Eymael mkasingizia ni ubaguzi ila kadri siku zinavyoenda ukweli unakuwa waxi.
 
Ana kauli za kuchochea uadui, na siyo za utani wa jadi
Kama una akili zako hata mtu afanyeje hawezi kukubadilisha, kama wanasiasa au watu wa dini wameshindwa kukubadilisha iweje leo Manara akukere
 
Wewe kama una ajira yako unaweza kuhangaika na mtunambaye hakujui wala una uhusiano naye, ukishanijibu ndio nitajua oama ni kayumba au la.
Uwezo wenu wa kufikiri alishasema Eymael mkasingizia ni ubaguzi ila kadri siku zinavyoenda ukweli unakuwa waxi.
Eyamael hakuwataja wanayanga kuwa ni manyani ..aliwataja mashabiki na mashabiki hao wengi ni Watanzania ambao wengi wao ni blacks ukiwemo wewe Bila Shaka...kwa hiyo mbumbumbu wa mikia kufurahia eti Yanga mashabiki wao wameitwa manyani ni kielelezo Cha upeo wa chini kabisa wa kufikiri..kimsingi ni ujinga...yaani mzungu anakuja hapa kutoka ulaya halafu anamtamkia mfanyakazi mmoja mtanzania mmoja mweusi kuwa wewe ni nyani halafu weusi wengine wanamcheka yule aliyeitwa nyani kwa kuzomea mitaani kuwa umeitwa nyani...ni dhahiri hapa lipo tatizo kwa wale wanaomzomea mwenzao aliyeitwa nyani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…