rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Wewe ndio nyani kubwa lililotajwa, waliomzomea Eymael ni washabiki wa utopolo tena baada ya kufanya sub ambayo mashabiki hawakuitaka na hawakuishia kumzomea walimtupia chupa za maji kauli yake iliwalenga utopolo ila kwa sababu ni uneducated kama alivyowaambia mnataka kufanya ukweli mlioambiwa maana hamkutukanwa mliambiwa ukweli mkataka kuifanya utopolo ni Tanzania.Eyamael hakuwataja wanayanga kuwa ni manyani ..aliwataja mashabiki na mashabiki hao wengi ni Watanzania ambao wengi wao ni blacks ukiwemo wewe Bila Shaka...kwa hiyo mbumbumbu wa mikia kufurahia eti Yanga mashabiki wao wameitwa manyani ni kielelezo Cha upeo wa chini kabisa wa kufikiri..kimsingi ni ujinga...yaani mzungu anakuja hapa kutoka ulaya halafu anamtamkia mfanyakazi mmoja mtanzania mmoja mweusi kuwa wewe ni nyani halafu weusi wengine wanamcheka yule aliyeitwa nyani kwa kuzomea mitaani kuwa umeitwa nyani...ni dhahiri hapa lipo tatizo kwa wale wanaomzomea mwenzao aliyeitwa nyani..
Kila siku zinavyoenda ukweli unaonekakq nyinyi ni majibwa mnabweka bweka mnapiga kelele kama manyani na ni uneducated pambaneni na hali yenu