Yanga yawasili nchini saa 9 alfajiri wakitokea Afrika Kusini. Mashabiki wamekesha Airport

Yanga yawasili nchini saa 9 alfajiri wakitokea Afrika Kusini. Mashabiki wamekesha Airport

Wanasema tusipangiane maisha au vitu vya kufanya, lakini ukweli usemwe! Hivi mtu na Akili zako timamu unaenda kukesha Airport kupokea timu ya mpira. Huo ni ushamba na niujinga.
 
Back
Top Bottom