Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache unafiki. Sisi tunaotaka kupigania nchi tumeipigania mara ngapi? Wakati wao wanapokesha wakiwapokea Yanga wewe unayetaka wapiganie nchi ulikuwa unafanya nini?Alafu na bado wajinga hao hao watakashifu ulichoandika hapa bado tuna safari ndefu sana vitu vya kipumbavu mno ndo utaona kundi kubwa la watu wanatoa support ya maana.
Wengine washaweka mkate mkuu,Huu ni ujinga mtupu sijui ni kukosa kazi YANGA YANGA badala muweze mkate wa watoto wenu mnawaza litimu la kiswahili kama hili,kweli mashabiki mengi ya YANGA absolutely jobless.
Ndo ilivyoHawa wajinga wapo tayari kukesha ajili ya mpira na siyo ajili ya Tanzania ya miaka 50 ijayo, CCM wajanja sn wanajua wajinga wengi wapo kwenye mpira ndiyo maana wamewekeza huku wajinga wajikite na mpira mafisadi yapige pesa za umma.
Unafiki FC.Hivi hizi comments zinaandikwa na mashabiki wa timu gani?
An indicator of massive unemployment. Nchi haipaswi kufurahia hiliWadau hamjamboni nyote?
Haijataja kutokea kwenye historia ya mapikezi ya timu ya soka tanzania
Maelfu Kwa maelfu ya wapenzi wakesha usiku wakusubiri kuwasili Kwa mabingwa wa ligi kuu Tanzania
View attachment 3056560View attachment 3056561View attachment 3056562View attachment 3056563
Umesahau na Mwenge wa Uhuru ..Simba na Yanga ni project ya CCM kuwapumbaza Watanganyika. Ni hayo tu.
Waambie ukweli Hawa mapimbi! Eti mpira???Hawa wajinga wapo tayari kukesha ajili ya mpira na siyo ajili ya Tanzania ya miaka 50 ijayo, CCM wajanja sn wanajua wajinga wengi wapo kwenye mpira ndiyo maana wamewekeza huku wajinga wajikite na mpira mafisadi yapige pesa za umma.
Hawa wajinga wapo tayari kukesha ajili ya mpira na siyo ajili ya Tanzania ya miaka 50 ijayo, CCM wajanja sn wanajua wajinga wengi wapo kwenye mpira ndiyo maana wamewekeza huku wajinga wajikite na mpira mafisadi yapige pesa za umma.
Hivi ni kweli unaweza kukesha kuwasubiria hao au unakuwa umelipwa Kwa kazi hiyo?Wadau hamjamboni nyote?
Haijataja kutokea kwenye historia ya mapikezi ya timu ya soka tanzania
Maelfu Kwa maelfu ya wapenzi wakesha usiku wakusubiri kuwasili Kwa mabingwa wa ligi kuu Tanzania
View attachment 3056560View attachment 3056561View attachment 3056562View attachment 3056563
Utapigania nchi peke yako?Tuache unafiki. Sisi tunaotaka kupigania nchi tumeipigania mara ngapi? Wakati wao wanapokesha wakiwapokea Yanga wewe unayetaka wapiganie nchi ulikuwa unafanya nini?
Hao waliofika hapo uwanjani kila mtu alitoka kwake peke yake ndo wakakutana.Utapigania nchi peke yako?
Hahaha, binadamu sisi jamani.. Hahaha.Hivi ni kweli unaweza kukesha kuwasubiria hao au unakuwa umelipwa Kwa kazi hiyo?
Mambugila tu haoSasa usiku huo ulitaka wakeshe wakila mbususu?!
Kwa nini uache kazi uje kushangaa msafara? By the way hayana formula haya na labda ni msukumo wa moyo sijui kupenda na kutaka kujua au kuona.Hahaha, binadamu sisi jamani.. Hahaha.
Wewe Unayeshangaa mtu kukesha akisubiria Yanga ndo wewe unayesifia mtu kushinda barabarani akishangaa msafara wa raisi ukipita.
Sio wewe umewahi wapongeza waTanganyika wakimsubiri raisi kipenzi chao apite? Ok, huwa sikariri id huenda nimechanganya madesa.Kwa nini uache kazi uje kushangaa msafara? By the way hayana formula haya na labda ni msukumo wa moyo sijui kupenda na kutaka kujua au kuona.
Huko bar hakuna visungura??Wanaokesha Bar wana pesa na maisha mazuri tayari na wakiwa Bar wanatengeneza dili na michongo mengine zaidi ya pesa, wanaokeshea kupokea timu za mpira usiku wa manane wengi wanywa visungura maisha ya kuungaunga ndio maana watu wanawashangaa.
Sikia msilikize immortal technique katika poverty of philosophy alafu msome Dr J. H Clarke - WHO BETRAYED The African World Revolution kuna muda tukubali sisi wajuaji sana kwani hao wenzetu hawana michezo kama sisi tena wao hata tennis tu uwanja unajaa ila kwenu?Hao waliofika hapo uwanjani kila mtu alitoka kwake peke yake ndo wakakutana.
Bora hata kumsubiria Rais wao kipenzi anaweza sema neno shida zao zikapungua.Sio wewe umewahi wapongeza waTanganyika wakimsubiri raisi kipenzi chao apite? Ok, huwa sikariri id huenda nimechanganya madesa.