Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

utopolo og

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
575
Reaction score
1,575
Timu ya Yanga imeweka bango kubwa maeneo ya Fire jijini Dar es Salaam linaloonesha matokeo ya jumla ya kipigo walichotoa kwa mnyama msimu huu.

Kwa mechi zote mbili za msimu huu klabu ya Yanga Afrika imeisulubu Simba jumla ya magoli 7-2 kama inavyoonekana kwenye bango hapo..

Vipi maoni yako? Je Yanga wako sahihi kuwafanyia Simba hivi? Au huu ni udhalilishaji?
20240423_113002.jpg
 
Timu ya Yanga imeweka bango kubwa maeneo ya Fire jijini Dar es Salaam linaloonesha matokeo ya jumla ya kipigo walichotoa kwa mnyama msimu huu.

Kwa mechi zote mbili za msimu huu klabu ya Yanga Afrika imeisulubu Simba jumla ya magoli 7-2 kama inavyoonekana kwenye bango hapo..

Vipi maoni yako? Je Yanga wako sahihi kuwafanyia Simba hivi? Au huu ni udhalilishaji?
View attachment 2971704
Utoto na ushamba...ni akili za viongozi wa kizazi cha smartphone.
 
kama viongozi wa simba hawata umia na kufanya kinachotakiwa, basi wanastahili kutolewa madarakani.
hii ndo simba mbovu kuliko zote katika hii karne ya 21... imejaa wazee wanaostahili kupumzishwa sasa baada ya kuipambania simba miaka mingi mfululizo, imejaa wachezaji wenye viwango vidogo kuliko profile ya simba kwa sasa na mbaya zaidi hawafundishiki, wameshakomaa na uwezo wao ndio huo.
viongozi wa simba waanze tu upyaa, pale wakubaki hawazidi 8, wengine ondoa sajili timu mpya.
bahat nzuri kocha ni mzuri, mkimpa wachezaji anaowataka mapema, mkimpa na pre season nzima, msimu ujao mdaini vikombe vyote, hatakuwa na wa kumlaumu... ila hz unga unga.... kwa yanga ya engineer mtasubiri sana.
 
Back
Top Bottom