Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sijui kwa kweliMudi sijui anawachukuliaje makolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwa kweliMudi sijui anawachukuliaje makolo
Uwanja wa uhuru ni Kwa wale walikosa ticket....but walikuwa na hamu ya kushirikiTicket hazikuisha, ila wanaimba tumejaza uwanja!! Napata shida sana kuwaelewa,uwanja wa uhuru watu waliingia bure, wenye ticket Ndio waliingia mkapa, na ticket zaidi ya 10k hazikuuzwa, mlijazat kiaje huo uwanja?
Sio wote lazima wawaze kama ww[emoji23][emoji23]Masuala haya ya u-Yanga na u-Simba ndio yanayochangia kwa kiasi kikubwa Sana kudumaza akili za wa-Tanzania. Badala ya muda mwingi kuwaza mambo ya msingi yahusuyo maendeleo chanya ya maisha yao watu wamekuwa wakijikita kwenye masuala haya ya kipuuzi ya Yanga na Simba.
😂 inawezekanaMwisho qtasema ...makolo wote ni demu zake
Kwani gemu ilikuwa inachezewa uwanja wa uhuru? Acheni undezi Yanga!![emoji599] KUMRADHI WADAU WA SOKA..!!
Picha zote uzionazo hapa ni mali ya Tanzania na si tukio lingine zaidi ya sikukuu moja kubwa ya kimichezo nchini,
'SIKU YA MWANANCHI' inaingia kwenye rekodi maalum kuwahi kutokea barani Afrika ambayo ni:
'TUKIO PEKEE LA KIMICHEZO KUJAZA UWANJA ZAIDI YA MMOJA'
Ndani hakuna pa kukanyaga,nje ndo hapapitiki kabisa.
UHURU stadium is also FULL HOUSED.
Unaambiwa Yanga imekuwa gumzo huko duniani Kwa hili la kujaza viwanja viwili [emoji32][emoji32]View attachment 3061903
Ni upuuzi tupu.Sio wote lazima wawaze kama ww[emoji23][emoji23]
Hongereni sana, ndo maana ccm wanawapenda mno, halafu kidogo red arrow aharibu sherehe.CC
1. GENTAMYCINE
2. Kalpana
3. Mshana Jr
4. cocastic
5. Tsh
6. Lupweko
7. Scars
8. Danielmwasi
9. Manyanza
Ete el
...au dada anatafuta mchumba?!....makolo Sasa
....leta maic .......kwanza namtambulisha dada yangu[emoji23][emoji23]