Yanga yaweka record duniani kujaza viwanja viwili Kwa wakati mmoja

Yanga yaweka record duniani kujaza viwanja viwili Kwa wakati mmoja

Ticket hazikuisha, ila wanaimba tumejaza uwanja!! Napata shida sana kuwaelewa,uwanja wa uhuru watu waliingia bure, wenye ticket Ndio waliingia mkapa, na ticket zaidi ya 10k hazikuuzwa, mlijazat kiaje huo uwanja?
Uwanja wa uhuru ni Kwa wale walikosa ticket....but walikuwa na hamu ya kushiriki
 
Masuala haya ya u-Yanga na u-Simba ndio yanayochangia kwa kiasi kikubwa Sana kudumaza akili za wa-Tanzania. Badala ya muda mwingi kuwaza mambo ya msingi yahusuyo maendeleo chanya ya maisha yao watu wamekuwa wakijikita kwenye masuala haya ya kipuuzi ya Yanga na Simba.
 
Masuala haya ya u-Yanga na u-Simba ndio yanayochangia kwa kiasi kikubwa Sana kudumaza akili za wa-Tanzania. Badala ya muda mwingi kuwaza mambo ya msingi yahusuyo maendeleo chanya ya maisha yao watu wamekuwa wakijikita kwenye masuala haya ya kipuuzi ya Yanga na Simba.
Sio wote lazima wawaze kama ww[emoji23][emoji23]
 
[emoji599] KUMRADHI WADAU WA SOKA..!!

Picha zote uzionazo hapa ni mali ya Tanzania na si tukio lingine zaidi ya sikukuu moja kubwa ya kimichezo nchini,

'SIKU YA MWANANCHI' inaingia kwenye rekodi maalum kuwahi kutokea barani Afrika ambayo ni:

'TUKIO PEKEE LA KIMICHEZO KUJAZA UWANJA ZAIDI YA MMOJA'

Ndani hakuna pa kukanyaga,nje ndo hapapitiki kabisa.

UHURU stadium is also FULL HOUSED.

Unaambiwa Yanga imekuwa gumzo huko duniani Kwa hili la kujaza viwanja viwili [emoji32][emoji32]View attachment 3061903
Kwani gemu ilikuwa inachezewa uwanja wa uhuru? Acheni undezi Yanga!!
 
Back
Top Bottom