Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikosa kwa muktadha upi? Na ili hali tiketi hazikuisha,?Uwanja wa uhuru ni Kwa wale walikosa ticket....but walikuwa na hamu ya kushiriki
Achana nazoWizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi
Jana nilipata nafasi ya kukutana na Kiongozi mmoja wa Ubalozi wa New Zealand nchini Tanzania, tulipata wasaha wa kula chakula cha jioni yeye pamoja na familia yake. Tulikuwa kwenye hoteli moja maarufu sana haa Dar es Salaam, na baada ya kupata chakula tulizungumza mambo mengi na kupiga stori...www.jamiiforums.com
Sel-imageHv nyie mnaona watu hawana akili kama nyie au?Uwanja wa uhuru ulijaa wapi!? Wale watu hawakufika hata 2000! Wakati uhuru unabeba watu 15000+
Kwa kipi hasa?Hii yanga ni hatari
Ticket za uwanja ziliisha ......then bado watu walikuwa wengiWalikosa kwa muktadha upi? Na ili hali tiketi hazikuisha,?
Kama hawakuwa na fedha Sawa, hivyo wakaona wawape shinning lakini sio full house kwamba while ticket mifumo inaonesha hazijaisha, ni manipulation za hovyo
Mkuu ,ukiachana nazo watanganyika wataishi na kutengemea yang...Achana nazo
That's y ni timu ya wananchi.......nyie makolo hamuwezi hizi biti [emoji23][emoji23]Yaani kweli Bure ni aghali. Watu watoke makwao ili waende kuangalia Mpira uwanja wa Uhuru?
Ina maana hata Hela ya kuingia mabanda umiza kuangalia Mpira walikuwa hawana hadi wafurahie dezo ya GSM?
Sasa kina ujugu wataishije mjini???