Yanga yaweka record duniani kujaza viwanja viwili Kwa wakati mmoja

Yanga yaweka record duniani kujaza viwanja viwili Kwa wakati mmoja

Ni bora ungenyamaza ww chura...yani jana ilikua ni bonanza la temeke..[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Naskia Jana hukubanduka kabsa kwenye tv....ukifuatilia wananch
 
[emoji599] KUMRADHI WADAU WA SOKA..!!

Picha zote uzionazo hapa ni mali ya Tanzania na si tukio lingine zaidi ya sikukuu moja kubwa ya kimichezo nchini,

'SIKU YA MWANANCHI' inaingia kwenye rekodi maalum kuwahi kutokea barani Afrika ambayo ni:

'TUKIO PEKEE LA KIMICHEZO KUJAZA UWANJA ZAIDI YA MMOJA'

Ndani hakuna pa kukanyaga,nje ndo hapapitiki kabisa.

UHURU stadium is also FULL HOUSED.

Unaambiwa Yanga imekuwa gumzo huko duniani Kwa hili la kujaza viwanja viwili [emoji32][emoji32]View attachment 3061903
Kuna watu wanatesekaa sanaa
 
Screenshot_20240805-142246_Instagram.jpg
 
Utopolo Mnapenda vya bure sana yule hersi akisema wanaume wote wa utopolo awafanye mke mtakubali hamjitambui
haaaaa Mwamedi ndo anataka kuwafanya Makolo muwe wake zake [emoji32][emoji32]
 
Naskia Jana hukubanduka kabsa kwenye tv....ukifuatilia wananch
Sikuangalia kabisaaaa...niwe mkweli..ila jmos sikubanduka kwakweli...hata jukwaani humu sikugusa..ile ilikua ni sherehe yenye hadhi 5 sio hilo lenu la disko vumbi....😀😀😀😀😀
Mirejesho kuhusu tamasha lenu nimeona instagram,kwny magroup watsup..n.k
 
Back
Top Bottom