Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeingiza bure mashabiki fungulia mbwa kabla hat ya mechi kuanzaFull house...... viwanja viwili...
Utakua ni kipofu au ulipitia mgambo si kwa ubishi huu 😂Ticket hazikuisha, ila wanaimba tumejaza uwanja!! Napata shida sana kuwaelewa,uwanja wa uhuru watu waliingia bure, wenye ticket Ndio waliingia mkapa, na ticket zaidi ya 10k hazikuuzwa, mlijazat kiaje huo uwanja?
Kumbe uongo ni jadi yenu.[emoji599] KUMRADHI WADAU WA SOKA..!!
Picha zote uzionazo hapa ni mali ya Tanzania na si tukio lingine zaidi ya sikukuu moja kubwa ya kimichezo nchini,
'SIKU YA MWANANCHI' inaingia kwenye rekodi maalum kuwahi kutokea barani Afrika ambayo ni:
'TUKIO PEKEE LA KIMICHEZO KUJAZA UWANJA ZAIDI YA MMOJA'
Ndani hakuna pa kukanyaga,nje ndo hapapitiki kabisa.
UHURU stadium is also FULL HOUSED.
Unaambiwa Yanga imekuwa gumzo huko duniani Kwa hili la kujaza viwanja viwili [emoji32][emoji32]View attachment 3061903
Dunia ipi?Unaambiwa Yanga imekuwa gumzo huko duniani
wananchi wengi wao wanabangaiza hawana hela.Walikosa kwa muktadha upi? Na ili hali tiketi hazikuisha,?
Kama hawakuwa na fedha Sawa, hivyo wakaona wawape shinning lakini sio full house kwamba while ticket mifumo inaonesha hazijaisha, ni manipulation za hovyo
Uhuru ilikuwa bure, mkapa Ndio waliingia wenye tiketi, na hawakutoshelezaHao wa uhuru.nao walikata ticket?
Nalo hili ni suala la ubishi?, tangu lini namba zikafanganya?.Utakua ni kipofu au ulipitia mgambo si kwa ubishi huu 😂
Hizi data umezipata wapi?Ticket hazikuisha, ila wanaimba tumejaza uwanja!! Napata shida sana kuwaelewa,uwanja wa uhuru watu waliingia bure, wenye ticket Ndio waliingia mkapa, na ticket zaidi ya 10k hazikuuzwa, mlijazat kiaje huo uwanja?