rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Labda earth ya jangwaniHii sayari Earth
Yaniiii...midomo itaamua siku hyo...watu watakesha wakisengenya pande itakayopata kipondo ..😃😃😃kazi ipo ngoja tusubiriSijambo dada angu! Naona mnabishana kuhusu Simba na Yanga mimi nitaongea tar 8 mechi ikiisha😂
Tukiwafunga jiandae🙌Yaniiii...midomo itaamua siku hyo...watu watakesha wakisengenya pande itakayopata kipondo ..😃😃😃kazi ipo ngoja tusubiri
Uzuri mimi kama umeshanijua tukifungwa ni kama tumefunga na tukifunga ni tumefunga tuu...😀😀kisa cha kujipa stress...waiiiiiTukiwafunga jiandae🙌
Wewe ni Mandonga! Tukutane tar 8Uzuri mimi kama umeshanijua tukifungwa ni kama tumefunga na tukifunga ni tumefunga tuu...😀😀kisa cha kujipa stress...waiiiii
Watu kama Mandonga hawafi kizembe...Wewe ni Mandonga! Tukutane tar 8
Km Tickets hazikuuzwa zote, huko kujaza uwanja ni kupiii?CC
1. GENTAMYCINE
2. Kalpana
3. Mshana Jr
4. cocastic
5. Tsh
6. Lupweko
7. Scars
8. Danielmwasi
9. Manyanza
Ete el
Bado mpaka nyumbani getini wabandike tangazo lisomeke "TUNAUZA BARAFU NA HAKUNA MBWA MKALI".🤣🤣🤣🤣 Mwamba alitoa code kuwa anataka shemeji.
🤣🤣🤣🤣 Ampe tu kibu d kwa mkopoBado mpaka nyumbani getini wabandike tangazo lisomeke "TUNAUZA BARAFU NA HAKUNA MBWA MKALI".
Kwani hujaona viwamja kujaa?Km Tickets hazikuuzwa zote, huko kujaza uwanja ni kupiii?
Em mtutolee futuhi zenu hapaa!! LOL
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzito kwako bado ww kutangazwa hawara na haji manaraAwapi....hersi ni mtu mzito yule