Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Ila kiukweli utopolo hamtaki utani..hii ngoma ata fainali mnaweza kufika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa pyramid ninavyowaona utopolo atafika finalIla kiukweli utopolo hamtaki utani..hii ngoma ata fainali mnaweza kufika
Goli mbili za kombe la shirikisho au luzaz1) Yanga imekuwa timu ya Kwanza (CAF) kuwafunga Rivers United nyumbani kwao.
2) Imekuwa timu ya kwanza kuwazuia Rivers Utd kufunga bao (CAF) wakiwa kwao
Haya ni matokeo ya Rivers United wakiwa nyumbani kwao kwa msimu huu kwenye mashindano ya interclub.
Rivers 2 - 1 Wydad Casablanca
Rivers 5 - 0 Al Nasr 3
Rivers 3 - 0 ASEC Mimosas
Rivers 3 - 1 Motema pembe.
Rivers 2 - 2 Diables Noirs
Rivers 0 - 2 Yanga SC
Sababu nyepesi sana hizi, kutolewa na mtu aliyeko kwenye jukwaa la heshima kama hili.1. Uwanja waliotumia sio wao.
Japo walikuwa wenyeji wa Mchezo.
2.mshambuliaji wao Tegemeo hakuwepo kwenye Mechi ya Leo.
KOMBE LA LUZA.
Simba na yanga zinapotumia uwanja wa taifa ni wao?1. Uwanja waliotumia sio wao.
Japo walikuwa wenyeji wa Mchezo.
2.mshambuliaji wao Tegemeo hakuwepo kwenye Mechi ya Leo.
KOMBE LA LUZA.
Ni wao kwasababu ndio wanautumia kucheza kila mechi za ndani na za nje kama home ground....Simba na yanga zinapotumia uwanja wa taifa ni wao?
Sababu nyepesi sana hizi wewe kubali tu kwamba yanga walicheza vizurNi wao kwasababu ndio wanautumia kucheza kila mechi za ndani na za nje kama home ground....
Kuna aliyekuuliza? Yanga akiichukua hili kombe sijui sura zenu mtazifichia kwenye kichaka gani na robo fainali zenu miaka nenda rudi.Goli mbili za kombe la shirikisho au luzaz
Ni sawa na shot on target 1 ya klabu bingwa CAFCL[emoji1787][emoji1787]
1. Uwanja waliotumia sio wao.
Japo walikuwa wenyeji wa Mchezo.
2.mshambuliaji wao Tegemeo hakuwepo kwenye Mechi ya Leo.
KOMBE LA LUZA.
Sasa hiko sio kipaombele cha simba,Kuna aliyekuuliza? Yanga akiichukua hili kombe sijui sura zenu mtazifichia kwenye kichaka gani na robo fainali zenu miaka nenda rudi.
Nyeeeeeeeeeeee.....furaha muitoe wapi?????Ila Jana tungefungwa sijui ingekuwaje maana hawa ndugu zetu juzi wameshinda lkn hawana furaha huku ss tumeshinda na tuna furaha