Yanga yaweka rekodi mpya ya Dunia

Uzi umebuma kwa sbb ni takwimu feki
 
Mimi ni Kolo FC Ila Kiukweli wenzetu Utopolo wametuacha mbali kweli.. yaan Wana makombe yakutosha na bado Wanarekodi za kibabe.. na bado tukikutana nao wanatufunga Matobo na magoli.. Duuhh hawa utopolo wameshindikana
 
🀣🀣🀣🀣🀣 nacheka kama mazuri
 
Yanga imekuwa timu ya kwanza Afrika na ya 9 Duniani kucheza mechi nyingi bila kufungwa, Mechi 39 nyuma ya Chelsea.
Shindeni CAF mtambulike, hizo rekodi haziipaishi timu na ndio maana hata kuchaguliwa top clubs au CAF Super Cup kuna vigezo tofauti kabisa na hizo rekodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…