Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi nashangaa, kwanza rais mwenyewe akisema... nadhani Dar ndiyo tu sehemu kuna activity serious ya uchumi80%? Really?? Hivyo mikoa mingine yote ni mzigo pamoja na kwamba hiyo mikoa ina migodi, utalii, kilimo na mambo mengine mengi....
hata mimi nashangaa, kwanza rais mwenyewe akisema... nadhani Dar ndiyo tu sehemu kuna activity serious ya uchumi
Ulitakaje sasa mzeeKwa maana hiyo imebidi niwaelewe kwanini wasifunge Dar, nchi itarudi kwenye level iliyokua enzi za ujamaa wa Nyerere yaani ukata..umaskini wa mwisho.
Ulitakaje sasa mzee
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Vile wenzako hushinda wakituimbia hapa kenya ni Nairobi pekee, nje ya nairobi hamna kitu, kumbe Tanzania ni dar pekeeKinachowauma ni nini zaidi?
Vile wenzako hushinda wakituimbia hapa kenya ni Nairobi pekee, nje ya nairobi hamna kitu, kumbe Tanzania ni dar pekee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya mtuvumilie tu. Aliyesema maneno hayo kuna kipindi network inasoma low. Muda mwingine ipo 5G. Ikiwa low ndo hivyo tena. Ila tunampenda jamaa yetu hivyo hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kuna kipindi manispaa ya dodoma iliongozaKuna kipindi ilitangazwa dodoma imeongoza kwa ukusanyaji wa mapato
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la kizushi tu, mazao yanayolimwa Tanzania, entry of export ni wapi? Watalii wanaokuja Tanzania entry of entrance ni wapi? Madini yanayochimbwa nchini entry of cashing ni wapi?80%? Really?? Hivyo mikoa mingine yote ni mzigo pamoja na kwamba hiyo mikoa ina migodi, utalii, kilimo na mambo mengine mengi....
Wewe akili yako finyu, business capital haina uhusiano na government capital!Kama Dar ni 80% ya nchi kwa nini tumekwenda fufua mfu Dodoma?! Marehemu alieparalyse pia.