Yani Dar ndiyo imeshikilia uchumi wa Tanzania!

Yani Dar ndiyo imeshikilia uchumi wa Tanzania!

DSM ndio mlango Wa Afrika mashariki na kati hivyo mambo yote ya msingi ni DSM mikoani ni vyanzo vya malighafi na chakula tu
 
Kwa maana hiyo imebidi niwaelewe kwanini wasifunge Dar, nchi itarudi kwenye level iliyokua enzi za ujamaa wa Nyerere yaani ukata..umaskini wa mwisho.
LOL umasikini kuliko huu wa watu 150k kufa na njaa kwenye middle income? 😁😁😁

Screenshot_20200422-200951.png
 
Siku zote nilikua najua A-city Arusha, Kilimanjaro, Mwanza rock city, Zanzibar na kule Mbeya wana unafuu kiuchumi, sasa ikiwa nchi yote 80% inatoka Dar, nyie wengine wote ni mzigo kwa taifa.
Akili yako finyu sana we mzee, kwa Marekani ni mtaa mmoja tu unarun uchumi wa Marekani na ni Wall Street au kaeneo kengine ni silicon valley so states nyingine ni hopeless?
 
Akili yako finyu sana we mzee, kwa Marekani ni mtaa mmoja tu unarun uchumi wa Marekani na ni Wall Street au kaeneo kengine ni silicon valley so states nyingine ni hopeless?
Akili yake imekomea hapo 😂
 
Kuna kipindi fulani hivi nilikuwa nafuatilia sana bunge la bajeti enzi za JK, Waziri mmoja wa fedha alisema kuwa Dar inachangia 33% ya pato la Taifa.
Kumbe sasa ni 80%, maana ni muda sana sijafuatilia bunge
Bandari ndio inachangia, thinking tu simple petrol yote inayoingia nchini kutumika mikoa yote na nchi jirani inalipiwa wapi kodi?
 
80%? Really?? Hivyo mikoa mingine yote ni mzigo pamoja na kwamba hiyo mikoa ina migodi, utalii, kilimo na mambo mengine mengi....
Swali la kizushi tu, mazao yanayolimwa Tanzania, entry of export ni wapi? Watalii wanaokuja Tanzania entry of entrance ni wapi? Madini yanayochimbwa nchini entry of cashing ni wapi?

Ukiwa na akili ya kufikiri hivyo hupati shida kujua maana.
 
Swali la kizushi tu, mazao yanayolimwa Tanzania, entry of export ni wapi? Watalii wanaokuja Tanzania entry of entrance ni wapi? Madini yanayochimbwa nchini entry of cashing ni wapi?

Ukiwa na akili ya kufikiri hivyo hupati shida kujua maana.

Jamaa jifunze netiquette, jenga hoja yako kisha quote once, maana ukiniquote mara nyingi nazipita zote kuja kusoma moja ya mwisho tu, maana zote najua zitakua pumba hazina umuhimu wa mimi kupoteza wakati nikizosoma. Rais wenu ameshasema Dar ndio 80% ya uchumi wenu, sasa kajamba kama wewe huna uwezo wa kumbishia.
Nenda kaokoe ndugu zako wanaleta aibu Afrika
Duh! Mabaharia wa China watosa wazamiaji wa Tanzania baharini kwa kuogopa Corona - JamiiForums
 
Jamaa jifunze netiquette, jenga hoja yako kisha quote once, maana ukiniquote mara nyingi nazipita zote kuja kusoma moja ya mwisho tu, maana zote najua zitakua pumba hazina umuhimu wa mimi kupoteza wakati nikizosoma. Rais wenu ameshasema Dar ndio 80% ya uchumi wenu, sasa kajamba kama wewe huna uwezo wa kumbishia.
Nenda kaokoe ndugu zako wanaleta aibu Afrika
Duh! Mabaharia wa China watosa wazamiaji wa Tanzania baharini kwa kuogopa Corona - JamiiForums
Kitu ninachojivunia utaifa wangu ni kwamba kiongozi wetu alifungua kinywa basi ukanda mzima unakaa kitako kumsikiliza 😅😅😅😅

The whole Kenya was silent yesterday beholding their great majesty 😆😆😆

Screenshot_20200423-190036.png
 
Kitu ninachojivunia utaifa wangu ni kwamba kiongozi wetu alifungua kinywa basi ukanda mzima unakaa kitako kumsikiliza 😅😅😅😅

The whole Kenya was silent yesterday beholding their great majesty 😆😆😆

View attachment 1428672
Halafu mbona huo uzi alioufungua hukumu ilishatolewa kwa hao wachina kitambo 😂😂😂
Au ndio ile tabia yake ya kufanya ligi kila kitu.
Wachina wakutwa na hatia ya kuwatupa wazamiaji wawili wa Tanzania baharini - JamiiForums
 
80%? Really?? Hivyo mikoa mingine yote ni mzigo pamoja na kwamba hiyo mikoa ina migodi, utalii, kilimo na mambo mengine mengi....
HAPANA.

Kitengo cha walipa kodi wakubwa kiko based Dar es Salaam hivyo makampuni yote makubwa hata kama makao yake makuu si Dar es Salaam kodi zao wanalipia kwenye hicho kitengo chenye ofisi zake Dar es Salaam. Mfano wa hayo makampuni ni Ngorongoro na TANAPA ambazo makao makuu yako Arusha lakini kodi wanalipia Dar es Salaam (Kitengo cha Walipa Kodi wakubwa).
 
Ndio maana huwa nasema msipoteze sana energy kubishana na hizi mbumbumbu za kikunya humu 😂 😂 😂
Hazina akili kabisa,
Pata picha hawa madereva wangekuwa ni Watanzania tu..humu pangejaa threads za kejeli leo.

LOL halafu si huwa wanasema mzigo wa Uganda wote wameukaba wao? 😁😁😁

Sasa mbona sisi ndio tunaongoza kuwapelekea Uganda mzigo kwa hizi unrelated statistics zinaonesha most common forwarders ni watanzania kutoka bandari zetu 😁😁🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️
 
LOL halafu si huwa wanasema mzigo wa Uganda wote wameukaba wao? 😁😁😁

Sasa mbona sisi ndio tunaongoza kuwapelekea Uganda mzigo kwa hizi unrelated statistics zinaonesha most common forwarders ni watanzania kutoka bandari zetu 😁😁🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️
Uwongo ndio tabia yao pamoja na propaganda 😂
 
HAPANA.

Kitengo cha walipa kodi wakubwa kiko based Dar es Salaam hivyo makampuni yote makubwa hata kama makao yake makuu si Dar es Salaam kodi zao wanalipia kwenye hicho kitengo chenye ofisi zake Dar es Salaam. Mfano wa hayo makampuni ni Ngorongoro na TANAPA ambazo makao makuu yako Arusha lakini kodi wanalipia Dar es Salaam (Kitengo cha Walipa Kodi wakubwa).

Kuna uzi Watanzania kwa Watanzania wamebishana kuhusu hiki kitu, kunao wameeleza ilivyo hiyo 80% kwamba kumbe ni kweli, kapitie huu, naupitia pia nikijifunza kitu Revenue collection ya serikali 80% inatoka Dar? Nimechanganyikiwa kabisa na hili - JamiiForums
 
Back
Top Bottom