Baadae anaachwa kama kawaida halafu anatafuta aliyetaka kmtunza milele nae anakua hayupo tenaWanaliwa vibaya mno na watoto wa town, ni mwendo wa kukodi Airbnb Masaki, VX ndani ya wiki tu kaliwa wote na akilemaa anaibiwa na vitu vyake vya thamani vile vile.π
atengeneze wa kwake
SadHao hadi 0713 wanatoa
Kesho keshokutwa anaanza kusumbua watu wamchangie mapafu yamejaa maji.... This is foolishness