Yapo mengi ya kujifunza kutoka burundi juu ya katiba yetu

Yapo mengi ya kujifunza kutoka burundi juu ya katiba yetu

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
lipo tatizo la nchi nyingi kuwa na nadhalia ya mihimili mitatu ya utawala lakini mihimili hiyo kuuliwa kutokana na jinsi mihimili hiyo inavyoundwa katika katiba na mwisho ni kuwa na mhimili mmoja katika uhalisia wenye nadhalia ya mihimili mitatu.

unapokuwa na mhimili mmmoja uliounganisha mihimili mingine pale inapotokea mhimili mmoja kutenda kinyume badala ya mihimili mingine kurekebisha basi inasapoti.

tuwe makini na uandishi wetu wa katiba kwa kuangalia iwapo siku moja atatokea kiongozi mmoja aliyechaguliwa na wananchi akamaliza mda wake wa kuongoza kwa mujibu wa katiba yetu je akitamani kuongeza mihimili mingine inaweza kulinda katiba yetu au itamsapoti?

na hapo tutambue huyu anayetaka kubadili katiba hamtumjui kwa sasa hivyo yawezekana akawa mbaya au mzuri lakini kama tukiunda mifumo ambayo kundi fulani wenyewe au kwa kutumiwa na watu wanaweza kufanya lolote kwa maana vyombo vyote wamevishikilia tutakuwa tunalipeleka wapi taifa letu huko mbeleni.

katiba hizi tusidhani ni siri na mapungufu haya tunayoyafanya ipo siku watayatumia wageni kututesa achilia mbali kutumiwa na wenyeji wenye uchu wa madaraka.

tufikiri nje ya viganja vyetu kwa kutokuangalia fursa zetu bali tuangalie na "risk tunazozichukua kwa gharama ya karanga tu za kutafuna"
 
lipo tatizo la nchi nyingi kuwa na nadhalia ya mihimili mitatu ya utawala lakini mihimili hiyo kuuliwa kutokana na jinsi mihimili hiyo inavyoundwa katika katiba na mwisho ni kuwa na mhimili mmoja katika uhalisia wenye nadhalia ya mihimili mitatu.

unapokuwa na mhimili mmmoja uliounganisha mihimili mingine pale inapotokea mhimili mmoja kutenda kinyume badala ya mihimili mingine kurekebisha basi inasapoti.

tuwe makini na uandishi wetu wa katiba kwa kuangalia iwapo siku moja atatokea kiongozi mmoja aliyechaguliwa na wananchi akamaliza mda wake wa kuongoza kwa mujibu wa katiba yetu je akitamani kuongeza mihimili mingine inaweza kulinda katiba yetu au itamsapoti?

na hapo tutambue huyu anayetaka kubadili katiba hamtumjui kwa sasa hivyo yawezekana akawa mbaya au mzuri lakini kama tukiunda mifumo ambayo kundi fulani wenyewe au kwa kutumiwa na watu wanaweza kufanya lolote kwa maana vyombo vyote wamevishikilia tutakuwa tunalipeleka wapi taifa letu huko mbeleni.

katiba hizi tusidhani ni siri na mapungufu haya tunayoyafanya ipo siku watayatumia wageni kututesa achilia mbali kutumiwa na wenyeji wenye uchu wa madaraka.

tufikiri nje ya viganja vyetu kwa kutokuangalia fursa zetu bali tuangalie na "risk tunazozichukua kwa gharama ya karanga tu za kutafuna"

Hatuna cha kujifunza kwao acha kupoteza muda,wao ndo wanacha kujifunza kutoka kwetu,hata kama hupendi lakini ukweli ndo huo!!ni mara ngapi Tz imekua msaada katika kuhifadhi raia wa nchi nyingine?hata sasa tunawahifadhi warundi!tumesuluhisha migogoro kibao,wamekuja kuomba ushauri kwetu,tumewafundisha afu unasema nini?we are the champions usitake kuturudisha nyuma!Mungu Ibariki Tanzania!
 
hujaelewa maana ya nilichoandika.

ninalolisema ni nini kiini cha tatizo la burundi kwa sasa? ni raisi wa kurundi kutaka kuongeza muhula wa tatu katika uongozi ambao ni tofauti na katiba yao.

lakini inapotokea mtu mliyemkabidhi serikali akataka kubadili makubaliano ya wananchi ambayo ni katiba kwa ajili ya matakwa yake binafsi je hali kama hiyo inawekewa njia zipi katika katiba ya wananchi ili kuzuia hilo?

hapa wataalamu walikwisha kubaini kuwa njia sahihi ni kuugawanya utawala wa nchi katika mihimili mitatu. mihimili hii inatengenezwa katika hali ambayo inalinganisha nguvu ili likitokea jambo kama mihimili mingine inarudisha mhimili uliotoka nje ya mstari katika mstari wake.

lakini uandishi wa katika tunaoufanya unaziunganisha mihimili yote na kuwa kitu kimoja na pale linapotokea jambo kama hili au lolote ambalo mihimili mingine ilitakiwa kutimiza wajibu basi mihimili inaungana na mhimili uliotoka nje ya mstari na yenyewe kutoka nje ya mstari kwa maana ya kuwa washirika.

hivyo kwa burundi tunatakiwa kujifunza yanayowakumba yameanzia na matakwa ya kiongozi mmoja lakini mihimili mingine ikamsapoti badala ya kulinda katiba. sababu zinazosababisha zinatokana na mifumo inayowekwa katika katiba.

iwapo majaji wanateuliwa na raisi unategemea watatoa maamuzi gani iwapo raisi atakuja kubadili katiba ili kujiongezea mda wake? au unadhani raisi anaweza kumteua jaji ambaye anaweza kumkatalia jambo kama hilo?

hapa swala ni kuangalia mifumo mizima inayoweza kufanya mhimili mwingine kushindwa kufanya kazi yake au kwa lugha rahisi ni lazima kuondoa "conflict of interest katika mihimili"


Hatuna cha kujifunza kwao acha kupoteza muda,wao ndo wanacha kujifunza kutoka kwetu,hata kama hupendi lakini ukweli ndo huo!!ni mara ngapi Tz imekua msaada katika kuhifadhi raia wa nchi nyingine?hata sasa tunawahifadhi warundi!tumesuluhisha migogoro kibao,wamekuja kuomba ushauri kwetu,tumewafundisha afu unasema nini?we are the champions usitake kuturudisha nyuma!Mungu Ibariki Tanzania!
 

Hatuna cha kujifunza kwao acha kupoteza muda,wao ndo wanacha kujifunza kutoka kwetu,hata kama hupendi lakini ukweli ndo huo!!ni mara ngapi Tz imekua msaada katika kuhifadhi raia wa nchi nyingine?hata sasa tunawahifadhi warundi!tumesuluhisha migogoro kibao,wamekuja kuomba ushauri kwetu,tumewafundisha afu unasema nini?we are the champions usitake kuturudisha nyuma!Mungu Ibariki Tanzania!

We are champions among fools......Ukisema hivyo nami nakuunga mkono lakini champion kama maana yake hapana, tena never.
 
Ujinga unaofanywa burundi utajifunza nini zaidi ya kusomba mambo ya ajabu burundi ndiyo wenye kujifunza kwetu wala siyo sisi kujifunza burundi.
 
We are champions among fools......Ukisema hivyo nami nakuunga mkono lakini champion kama maana yake hapana, tena never.

Nakusikitikia sana Tamatheo, usijinyongeshe ndani ya nchi yako wewe. How far are you sure "We are champions among fools?" Jiamini na ulicho nacho usifurahie usichonacho zaidi ya matamanio ambayo wasiyonacho wanatamani tulichonacho Tanazania.
 
Nakusikitikia sana Tamatheo, usijinyongeshe ndani ya nchi yako wewe. How far are you sure "We are champions among fools?" Jiamini na ulicho nacho usifurahie usichonacho zaidi ya matamanio ambayo wasiyonacho wanatamani tulichonacho Tanazania.
Bora ukubali udhaifu ili usaidiwe kuliko kukubali ujanja wa kijinga. Tanzania haina tofauti na Sudani, Kongo DRC, Burundi na nchi zote zenye uasi ulioletwa na ulevi wa madaraka wa viongozi wake.... Tofauti pekee ni kwamba vita ya watanzania inapiganwa mioyoni. Ukiwa nje ni nchi ya haki za binadamu, demokrasia safi na kila jema lipakwalo na mgongo wa chupa ila uhalisia ndio usiopenda kusemwa na anayesema lazima aandae wosia.
 
Bora ukubali udhaifu ili usaidiwe kuliko kukubali ujanja wa kijinga. Tanzania haina tofauti na Sudani, Kongo DRC, Burundi na nchi zote zenye uasi ulioletwa na ulevi wa madaraka wa viongozi wake.... Tofauti pekee ni kwamba vita ya watanzania inapiganwa mioyoni. Ukiwa nje ni nchi ya haki za binadamu, demokrasia safi na kila jema lipakwalo na mgongo wa chupa ila uhalisia ndio usiopenda kusemwa na anayesema lazima aandae wosia.

Katika maisha ya leo bado upo katika mawazo hayo ya kutojiamini. Kweli kwa busara na hekima yako kama unayo angalau kidogo unafananisha Tanzania na "Sudani, Kongo DRC, Burundi na nchi zote zenye uasi?" Kwa hilo sikuungi mkono hata kidogo. Tatizo lipo kwenye mawazo yako siyo nchi. Huo ufananishi ni zero siyo kweli hata kidogo. Ndiyo maana nilisema "Jiamini na ulicho nacho, usifurahie usichonacho zaidi ya matamanio ambayo wasiyonacho wanatamani tulichonacho Tanazania"


Nenda Kigoma leo kaone ni Warundi wangapi wamepanga foleni kuja Tanzania wapate hata pa kukaa. Nakushauri ufuatilie vyombo vya habari wanataarifa nzuri sana na sifa nzuri ya Tanzania inavyowajali wakimbizi wa Burundi kwa kipindi hiki kifupi cha muda wa wiki ya pili uapata majibu na itoe Tanzania usiifananishe kabisa na nchi ulizozitazija
.
 
Katika maisha ya leo bado upo katika mawazo hayo ya kutojiamini. Kweli kwa busara na hekima yako kama unayo angalau kidogo unafananisha Tanzania na "Sudani, Kongo DRC, Burundi na nchi zote zenye uasi?" Kwa hilo sikuungi mkono hata kidogo. Tatizo lipo kwenye mawazo yako siyo nchi. Huo ufananishi ni zero siyo kweli hata kidogo. Ndiyo maana nilisema "Jiamini na ulicho nacho, usifurahie usichonacho zaidi ya matamanio ambayo wasiyonacho wanatamani tulichonacho Tanazania"


Nenda Kigoma leo kaone ni Warundi wangapi wamepanga foleni kuja Tanzania wapate hata pa kukaa. Nakushauri ufuatilie vyombo vya habari wanataarifa nzuri sana na sifa nzuri ya Tanzania inavyowajali wakimbizi wa Burundi kwa kipindi hiki kifupi cha muda wa wiki ya pili uapata majibu na itoe Tanzania usiifananishe kabisa na nchi ulizozitazija
.
Tatizo unashangilia uhuru wa bendera.... Amani haipo ndugu hiki ni kiini macho na ndio maana wanawadanganya watu mnaoona tuna amani kila mara kwamba amani tuliyo nayo ni hazina yetu......amani ipi poti?????????????????? Siku utakapoamka kama mimi, pamoja tutaikomboa Tanzania yetu na kuiweka mikono salama.
 
Tatizo unashangilia uhuru wa bendera.... Amani haipo ndugu hiki ni kiini macho na ndio maana wanawadanganya watu mnaoona tuna amani kila mara kwamba amani tuliyo nayo ni hazina yetu......amani ipi poti?????????????????? Siku utakapoamka kama mimi, pamoja tutaikomboa Tanzania yetu na kuiweka mikono salama.

Wewe Tamatheo! Kwa kuzaliwa na kuwa raia wa Tanzania mshukuru Mungu. Nakushauri huko unaposema panakufaa sidhani kama kuna mtu anakuzuia nenda kaombe ukaishi huko na wakupe uraia kama hutarudi baru na kuomba urudi kwenu.
 
Wewe Tamatheo! Kwa kuzaliwa na kuwa raia wa Tanzania mshukuru Mungu. Nakushauri huko unaposema panakufaa sidhani kama kuna mtu anakuzuia nenda kaombe ukaishi huko na wakupe uraia kama hutarudi baru na kuomba urudi kwenu.
Sitamani kuondoka Tanzania maana kufanya hivyo ni kukwamisha kazi ya ukombozi....Namlilia mungu anipe sanduku la Agano ili nilitumie kuikomboa Tanzania yangu yenye mito, maziwa, bahari, mbuga nzuri na wanyama wa kipekee, madini ya kila aina na bado ina umaskini wa kutupa huku wachache wakijineemesha.....Kumbuka kauli hizi "Bilioni ni vijisenti" bado yuko hai, "Milioni kumi za mboga" bado anatesa .
 
Sitamani kuondoka Tanzania maana kufanya hivyo ni kukwamisha kazi ya ukombozi....Namlilia mungu anipe sanduku la Agano ili nilitumie kuikomboa Tanzania yangu yenye mito, maziwa, bahari, mbuga nzuri na wanyama wa kipekee, madini ya kila aina na bado ina umaskini wa kutupa huku wachache wakijineemesha.....Kumbuka kauli hizi "Bilioni ni vijisenti" bado yuko hai, "Milioni kumi za mboga" bado anatesa .

Tanzania ilishakombolewa siku nyingi, acha fikra zako hizo, Komboa kwanza fikra zako na ufinyu wa kujua faida iliyonayo Tanzania ukilinganisha na nchi unazoendelea kuzilinganisha na nayo.
 
Tanzania ilishakombolewa siku nyingi, acha fikra zako hizo, Komboa kwanza fikra zako na ufinyu wa kujua faida iliyonayo Tanzania ukilinganisha na nchi unazoendelea kuzilinganisha na nayo.
Narudia kukuambia, siku utakapofungulia macho yako na kuona kama mimi utaamini haya nikuambiayo.... Ndugu ondoka hapo ulipo nchi inauzwa hiiiiiiii, haya.
 
hujaelewa maana ya nilichoandika.

Ninalolisema ni nini kiini cha tatizo la burundi kwa sasa? Ni raisi wa kurundi kutaka kuongeza muhula wa tatu katika uongozi ambao ni tofauti na katiba yao.

Lakini inapotokea mtu mliyemkabidhi serikali akataka kubadili makubaliano ya wananchi ambayo ni katiba kwa ajili ya matakwa yake binafsi je hali kama hiyo inawekewa njia zipi katika katiba ya wananchi ili kuzuia hilo?

Hapa wataalamu walikwisha kubaini kuwa njia sahihi ni kuugawanya utawala wa nchi katika mihimili mitatu. Mihimili hii inatengenezwa katika hali ambayo inalinganisha nguvu ili likitokea jambo kama mihimili mingine inarudisha mhimili uliotoka nje ya mstari katika mstari wake.

Lakini uandishi wa katika tunaoufanya unaziunganisha mihimili yote na kuwa kitu kimoja na pale linapotokea jambo kama hili au lolote ambalo mihimili mingine ilitakiwa kutimiza wajibu basi mihimili inaungana na mhimili uliotoka nje ya mstari na yenyewe kutoka nje ya mstari kwa maana ya kuwa washirika.

Hivyo kwa burundi tunatakiwa kujifunza yanayowakumba yameanzia na matakwa ya kiongozi mmoja lakini mihimili mingine ikamsapoti badala ya kulinda katiba. Sababu zinazosababisha zinatokana na mifumo inayowekwa katika katiba.

Iwapo majaji wanateuliwa na raisi unategemea watatoa maamuzi gani iwapo raisi atakuja kubadili katiba ili kujiongezea mda wake? Au unadhani raisi anaweza kumteua jaji ambaye anaweza kumkatalia jambo kama hilo?

Hapa swala ni kuangalia mifumo mizima inayoweza kufanya mhimili mwingine kushindwa kufanya kazi yake au kwa lugha rahisi ni lazima kuondoa "conflict of interest katika mihimili"

​usilete ubabaishaji hapa unajifunzaje kwa walioshindwa???
 
huyo nkurunziza kaedit katiba,hakuna kitu kama hicho
 
lipo tatizo la nchi nyingi kuwa na nadhalia ya mihimili mitatu ya utawala lakini mihimili hiyo kuuliwa kutokana na jinsi mihimili hiyo inavyoundwa katika katiba na mwisho ni kuwa na mhimili mmoja katika uhalisia wenye nadhalia ya mihimili mitatu.

unapokuwa na mhimili mmmoja uliounganisha mihimili mingine pale inapotokea mhimili mmoja kutenda kinyume badala ya mihimili mingine kurekebisha basi inasapoti.

tuwe makini na uandishi wetu wa katiba kwa kuangalia iwapo siku moja atatokea kiongozi mmoja aliyechaguliwa na wananchi akamaliza mda wake wa kuongoza kwa mujibu wa katiba yetu je akitamani kuongeza mihimili mingine inaweza kulinda katiba yetu au itamsapoti?

na hapo tutambue huyu anayetaka kubadili katiba hamtumjui kwa sasa hivyo yawezekana akawa mbaya au mzuri lakini kama tukiunda mifumo ambayo kundi fulani wenyewe au kwa kutumiwa na watu wanaweza kufanya lolote kwa maana vyombo vyote wamevishikilia tutakuwa tunalipeleka wapi taifa letu huko mbeleni.

katiba hizi tusidhani ni siri na mapungufu haya tunayoyafanya ipo siku watayatumia wageni kututesa achilia mbali kutumiwa na wenyeji wenye uchu wa madaraka.

tufikiri nje ya viganja vyetu kwa kutokuangalia fursa zetu bali tuangalie na "risk tunazozichukua kwa gharama ya karanga tu za kutafuna"

Karanga za kutafuna wewe umeshakula za sh. Ngapi?nilidhani unakuja na hoja ya namna watanzania wanavyoweza kunufaika na fursa zilizopo au kushiriki kwenye fursa wewe unatuletea story ya kukatana mapanga na kuuana hapa!just mazzle your tpic!!
 
Narudia kukuambia, siku utakapofungulia macho yako na kuona kama mimi utaamini haya nikuambiayo.... Ndugu ondoka hapo ulipo nchi inauzwa hiiiiiiii, haya.

Sasa ndugu unataka hayo macho ya member mwenzako afungue macho aone nini na aone wapi?wewe unadai nchi imeuzwa na wewe uko pande zipi au na wewe umeuzwa????!
 
Sitamani kuondoka Tanzania maana kufanya hivyo ni kukwamisha kazi ya ukombozi....Namlilia mungu anipe sanduku la Agano ili nilitumie kuikomboa Tanzania yangu yenye mito, maziwa, bahari, mbuga nzuri na wanyama wa kipekee, madini ya kila aina na bado ina umaskini wa kutupa huku wachache wakijineemesha.....Kumbuka kauli hizi "Bilioni ni vijisenti" bado yuko hai, "Milioni kumi za mboga" bado anatesa .

Endelea kumlilia huyo mungu wako uliyemtaja wa herufi ndogo labda atakusikia!!!!!utamlilia sana kama manabii wa baari na wala hatakujibu badla yake utamezwa tu,Taifa la Tanzania lilishakombolewa kitambo sana na ndio maana imekua ukombozi kwa nchi nyingine kibao na sasa tuko Congo,Sudan na mataifa mengine tuna-restore peace na kuitwa Heri wapatanishi ha ha ha Long love Tanzania MUNGU yupo pamoja nasi!!!!Na sasa tunaendelea kufurahia ukombozi huo tulioupata miaka mingi iliyopita!
 
Narudia kukuambia, siku utakapofungulia macho yako na kuona kama mimi utaamini haya nikuambiayo.... Ndugu ondoka hapo ulipo nchi inauzwa hiiiiiiii, haya.
Wewe bhana acha mbwembwe zako hapa, hayo maneno ya kusema nchi imeuzwa hii hayajaanza jana wala leo, maneno hayo sawa na ya,e ya kwenye khanga maana yapo cku zote, acha kupotosha watu bhana
 
Sasa ndugu unataka hayo macho ya member mwenzako afungue macho aone nini na aone wapi?wewe unadai nchi imeuzwa na wewe uko pande zipi au na wewe umeuzwa????!
Haijauzwa bado ila iko mnadani. Inahitaji fikra pevu kunielewa ila ukitaka kuelewa lazima uwe tayari kuelezwa.
 
Back
Top Bottom