Yapo mengi ya kujifunza kutoka burundi juu ya katiba yetu

Yapo mengi ya kujifunza kutoka burundi juu ya katiba yetu

Wewe bhana acha mbwembwe zako hapa, hayo maneno ya kusema nchi imeuzwa hii hayajaanza jana wala leo, maneno hayo sawa na ya,e ya kwenye khanga maana yapo cku zote, acha kupotosha watu bhana
Mbona unakimbia hadi kupitiliza kwako????????? INA siyo sawa na IME.....J3 njema.
 
Endelea kumlilia huyo mungu wako uliyemtaja wa herufi ndogo labda atakusikia!!!!!utamlilia sana kama manabii wa baari na wala hatakujibu badla yake utamezwa tu,Taifa la Tanzania lilishakombolewa kitambo sana na ndio maana imekua ukombozi kwa nchi nyingine kibao na sasa tuko Congo,Sudan na mataifa mengine tuna-restore peace na kuitwa Heri wapatanishi ha ha ha Long love Tanzania MUNGU yupo pamoja nasi!!!!Na sasa tunaendelea kufurahia ukombozi huo tulioupata miaka mingi iliyopita!
Nategemea jibu la kwanza limebeba maana halisi.... Fikra pevu
 
ndugu yangu kama hata mambo yaliyoanikwa wazi huoni? kweli wewe ubongo wako sijui toleo langapi?

mwenzako akitumbukia shimoni unajifunza na wewe unachukua tahadhari usije ukatumbukia shimoni!

lazima ujue shimo limetokana na nini na kwa nini hakuliona na wewe uangalie kwako kama kuna mashimo basi uyazibe na kama huwezi kuyaziba basi weka mabango kuwatahadharisha watumiaji wasije wakadumbukia.

tatizo la burundi linajumuisha mambo mengi ikiwemo jinsi gani katiba yao ilitengenezwa kwa kuweka checks and balansi katika mihimili.

yanayowakumba ndio kazi ya cheks and balansi kuvifanya vyombo vitumikie jamii na sio siku moja mtu mmoja au kikundi kinapora madaraka ya jamii kwa kutumia vyombo vya umma kwa maslahi binafsi.

kwetu sisi yawezekana hatujafika hatua ya mtu mmoja kutaka kubadili katiba ili aendelee kutawala au mambo mengine ambayo serikali inaweza kufanya kinyume na matakwa ya wananchi na wananchi kubaki hawana la kufanya zaidi ya kuingia kwenye vurugu au kufanywa wajinga na mtu mmoja au watu wachache.

je sisi tumehahakisha katika katiba yetu mashimo haya wanayotumbukia watu wa burundi tumeyaziba?

swala hili liko katika mihimili mitatu ya juu.

kwamba tumeunda mihimili hii kwa jinsi ambavyo mtu mmoja au kikundi cha watu kikitaka kufanya mabadiliko kama haya ya burundi kumuongezea mda raisi atakayekuwa madarakani wakati wowote au kufanya mabadiliko ya katiba kwa maslahi ya mtu au kikundi je bunge litabaki kuwatetea wananchi na kusema katiba haiwezi kubadilishwa kwa maslahi ya mtu mmoja au kikundi cha watu?

je mahakama itatoa maamuzi ya haki kukemea yeyote anayetaka kujaribu kuchezea katiba ya wananchi?

tatizo kubwa ni kutengeneza mahakama ambayo inatokana na serikali na bunge ambalo linaingiliana na serikali.

katika hali kama hiyo unakuwepo uwezekano wa kikundi cha watu kushikilia vyombo vyote kwa maana wa nachukua serikali, katika kuunda mahakama wanawekana wao wenyewe na kama kuna muingiliano baina ya bunge na serikali basi wanaweza kutumia fursa za kuingiliana kuliteka bunge ili liwe upande wao.

hapo kikundi hiki kinaweza kufanya jambo lolote kwa maana kimeshikilia vyombo vyote vya kijamii.

hili ni jambo la msingi sana kwani kwa mfumo wa kipumbavu kama huu katika uandishi wa katiba unaweza kufanya nchi hata kutawaliwa na mashati yanayochaguliwa na wananchi lakini yakiwa yametumwa hata na watu kutoka nje ya nchi.

ni bora kama sauti za kutoka nje zina malengo ya kuingilia maamuzi tu ya nchi yenu au eneo lakini kama ni wezi wa rasilimali mtajuta.

tukiweka mifumo ambayo mfumo wa mahakama hautegemei mhimili mwingine ama kwa kupewa nafasi za kiutendaji au kupewa maslahi au maamuzi yoyote, hapo mahakama itakuwa huru kufanya maamuzi ya haki.

kama mbunge atajua anachaguliwa na wananchi na yeye hawezi kupata fursa yoyote kutoka katika mhimili mwingine bali ubunge wake umeshikiliwa na kura za wananchi atatumikia wananchi.

lakini tunatakiwa mambo haya kuyawekea mifumo ambayo walioko nje ya serikali hawawezi kutumia nguvu ya mhimili mmoja kubadili serikali lakini pia aliyeko serikali hawezi pia kutumia nguvu ya mihimili mingine kubakia ndani.

tutengeneze mifumo ambayo kila anayepata nafasi popote ajue kutumikia wananchi ndio njia pekee ya kujiimarisha.

​usilete ubabaishaji hapa unajifunzaje kwa walioshindwa???
 
Bora ukubali udhaifu ili usaidiwe kuliko kukubali ujanja wa kijinga. Tanzania haina tofauti na Sudani, Kongo DRC, Burundi na nchi zote zenye uasi ulioletwa na ulevi wa madaraka wa viongozi wake.... Tofauti pekee ni kwamba vita ya watanzania inapiganwa mioyoni. Ukiwa nje ni nchi ya haki za binadamu, demokrasia safi na kila jema lipakwalo na mgongo wa chupa ila uhalisia ndio usiopenda kusemwa na anayesema lazima aandae wosia.

Tatizo la kupuliza cha Arusha mpaka unasahau kwenu haingii akilini ukaifananisha Tanzania na nchi zenye uasi kama Sudani,Congo na Burundi, kwanza unabahati nimekujibu kistaarabu kwa sababu sikupaswa kukujibu hivi kwa kuwa wewe sio mtanzania afu umetumwa ndani yako kumejaa uasi!nenda kwenu Sudani!
 
ndugu yangu kama hata mambo yaliyoanikwa wazi huoni? kweli wewe ubongo wako sijui toleo langapi?

mwenzako akitumbukia shimoni unajifunza na wewe unachukua tahadhari usije ukatumbukia shimoni!

lazima ujue shimo limetokana na nini na kwa nini hakuliona na wewe uangalie kwako kama kuna mashimo basi uyazibe na kama huwezi kuyaziba basi weka mabango kuwatahadharisha watumiaji wasije wakadumbukia.

tatizo la burundi linajumuisha mambo mengi ikiwemo jinsi gani katiba yao ilitengenezwa kwa kuweka checks and balansi katika mihimili.

yanayowakumba ndio kazi ya cheks and balansi kuvifanya vyombo vitumikie jamii na sio siku moja mtu mmoja au kikundi kinapora madaraka ya jamii kwa kutumia vyombo vya umma kwa maslahi binafsi.

kwetu sisi yawezekana hatujafika hatua ya mtu mmoja kutaka kubadili katiba ili aendelee kutawala au mambo mengine ambayo serikali inaweza kufanya kinyume na matakwa ya wananchi na wananchi kubaki hawana la kufanya zaidi ya kuingia kwenye vurugu au kufanywa wajinga na mtu mmoja au watu wachache.

je sisi tumehahakisha katika katiba yetu mashimo haya wanayotumbukia watu wa burundi tumeyaziba?

swala hili liko katika mihimili mitatu ya juu.

kwamba tumeunda mihimili hii kwa jinsi ambavyo mtu mmoja au kikundi cha watu kikitaka kufanya mabadiliko kama haya ya burundi kumuongezea mda raisi atakayekuwa madarakani wakati wowote au kufanya mabadiliko ya katiba kwa maslahi ya mtu au kikundi je bunge litabaki kuwatetea wananchi na kusema katiba haiwezi kubadilishwa kwa maslahi ya mtu mmoja au kikundi cha watu?

je mahakama itatoa maamuzi ya haki kukemea yeyote anayetaka kujaribu kuchezea katiba ya wananchi?

tatizo kubwa ni kutengeneza mahakama ambayo inatokana na serikali na bunge ambalo linaingiliana na serikali.

katika hali kama hiyo unakuwepo uwezekano wa kikundi cha watu kushikilia vyombo vyote kwa maana wa nachukua serikali, katika kuunda mahakama wanawekana wao wenyewe na kama kuna muingiliano baina ya bunge na serikali basi wanaweza kutumia fursa za kuingiliana kuliteka bunge ili liwe upande wao.

hapo kikundi hiki kinaweza kufanya jambo lolote kwa maana kimeshikilia vyombo vyote vya kijamii.

hili ni jambo la msingi sana kwani kwa mfumo wa kipumbavu kama huu katika uandishi wa katiba unaweza kufanya nchi hata kutawaliwa na mashati yanayochaguliwa na wananchi lakini yakiwa yametumwa hata na watu kutoka nje ya nchi.

ni bora kama sauti za kutoka nje zina malengo ya kuingilia maamuzi tu ya nchi yenu au eneo lakini kama ni wezi wa rasilimali mtajuta.

tukiweka mifumo ambayo mfumo wa mahakama hautegemei mhimili mwingine ama kwa kupewa nafasi za kiutendaji au kupewa maslahi au maamuzi yoyote, hapo mahakama itakuwa huru kufanya maamuzi ya haki.

kama mbunge atajua anachaguliwa na wananchi na yeye hawezi kupata fursa yoyote kutoka katika mhimili mwingine bali ubunge wake umeshikiliwa na kura za wananchi atatumikia wananchi.

lakini tunatakiwa mambo haya kuyawekea mifumo ambayo walioko nje ya serikali hawawezi kutumia nguvu ya mhimili mmoja kubadili serikali lakini pia aliyeko serikali hawezi pia kutumia nguvu ya mihimili mingine kubakia ndani.

tutengeneze mifumo ambayo kila anayepata nafasi popote ajue kutumikia wananchi ndio njia pekee ya kujiimarisha.

Kama kawaida na ngonjera zako za kujidharau na kujidharirisha,huna cha kushauri hapa kwanza hujielewi kama unaishi kwenye taifa huru linaloongozwa kwa kufuata misingi ya katiba,unawaza mambo ya utawala wa giningi ambao haupo hapa!ustaraabu kitu cha kawaida kama huna constructive ideas bora usichangie hapa kupotosha!
 

Tatizo la kupuliza cha Arusha mpaka unasahau kwenu haingii akilini ukaifananisha Tanzania na nchi zenye uasi kama Sudani,Congo na Burundi, kwanza unabahati nimekujibu kistaarabu kwa sababu sikupaswa kukujibu hivi kwa kuwa wewe sio mtanzania afu umetumwa ndani yako kumejaa uasi!nenda kwenu Sudani!
Nakushangaa kweli!!!!! Sasa kunijibu vibaya au vizuri kungekuongezea nini??? Tumia hoja kujibu hoja acha kutumikia ------.
 
Haijauzwa bado ila iko mnadani. Inahitaji fikra pevu kunielewa ila ukitaka kuelewa lazima uwe tayari kuelezwa.

Fikra zako zimepasuka hazina manufaa kwetu aliye mnadani ni wewe unayewaza slave trade!kama umeshanadiwa wewe mwenyewe na kuuzwa hapo ntakuelewa lakini kama bado unakula sembe na maharage ya Mbeya kaa kimya!huna constructive ideas za kusaidia nchi yako unawaza uharifu tu!
 
Uasi tena.......Acha kutumia mihemko kuwaza....Tumia akili...over

Kati yangu na wewe nani ana mihemko?wewe unayeifananisha Tanzania na Congo DRC,Sudani na Burundi tukuiteje?Zombi au makengeza?au umepuliza cha AR jiheshimu bwana TaNznia inaheshima yake duniani isipokuwa viwatu vichache sampuli yako ndo vinawaza nchi hii iingie vitani!never!!!
 
Nakushangaa kweli!!!!! Sasa kunijibu vibaya au vizuri kungekuongezea nini??? Tumia hoja kujibu hoja acha kutumikia ------.

Ulistahili majibu hayo ukawaambie na wanabuguruni wenzako wanaoitakia mabaya Tanzania!
 
Kati yangu na wewe nani ana mihemko?wewe unayeifananisha Tanzania na Congo DRC,Sudani na Burundi tukuiteje?Zombi au makengeza?au umepuliza cha AR jiheshimu bwana TaNznia inaheshima yake duniani isipokuwa viwatu vichache sampuli yako ndo vinawaza nchi hii iingie vitani!never!!!
Hujui maana ya over
 
Fikra zako zimepasuka hazina manufaa kwetu aliye mnadani ni wewe unayewaza slave trade!kama umeshanadiwa wewe mwenyewe na kuuzwa hapo ntakuelewa lakini kama bado unakula sembe na maharage ya Mbeya kaa kimya!huna constructive ideas za kusaidia nchi yako unawaza uharifu tu!
Hujui maana ya over
 
Ndugu nimefuatilia michango yako nimeona sio kabisa!!!!! Nenda kawaambie Interahamwe waliokutuma kuwa Tanzania haiwezi fananishwa na Burundi wala Congo wala

DRC hata siku moja!

Wewe nawe....mmetumana au ndio umeingia shifti ya mchana....
 
Back
Top Bottom