Manyema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2010
- 683
- 1,801
Hamna nyimbo hapo ww acha kupotosha watu, wimbi umepooza anaimba kama sijui taarabu. Mondi huwa namkubali ila hii nyimbo hamna kitu, ukweli usemweWewe ujui mziki ushazoea miziki ya kelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna nyimbo hapo ww acha kupotosha watu, wimbi umepooza anaimba kama sijui taarabu. Mondi huwa namkubali ila hii nyimbo hamna kitu, ukweli usemweWewe ujui mziki ushazoea miziki ya kelele
Nilitaka kujiuliza kajiunga na Bony Mwaitege?Haina uzuri wowote aisee nimedownload hapa nikasikiliza sijauelewa kabisa, kwaya si kwaya yaan no ubunifu. Nasikitika mb zangu zimeenda bure
Diamond alifikia Peak hapa hizo nyingine nzuri ila hii ni most under rated (Ukimwona)
Ukishakuwa brand kushabikia timu bila faida ni upumbavu, pale walikuwepo representatives wa GSM na Hersi hivyo dogo aliiona ile fursa ndiyo maana kwenye page official ya Yanga wakam-post na kumkaribisha.Hovyo kabxaa...kitendo cha kuhamia yanga kaanza kuimba ujinga..nyimbo haina melody utafikir katoka kuamka na kwenda studio
Hana bayaAmetoa Jana usiku
Hatuko kwenye ushabiki wa mpiraHovyo kabxaa...kitendo cha kuhamia yanga kaanza kuimba ujinga..nyimbo haina melody utafikir katoka kuamka na kwenda studio
[emoji4][emoji28]Nilitaka kujiuliza kajiunga na Bony Mwaitege?
Akili za Wabongo bhana daaah [emoji28]Nayo ilo song litapita tu muda wake ukifika.
DuuuNyimbo mbaya japo sijaisikiliza
Achana na wazee wa amapiano yaan ni kelele mwanzo mwisho mpaka kichwa kinagongaWewe ujui mziki ushazoea miziki ya kelele
Mondi akiwa anaimba nyimbo za aina hii ya bongofleva anatisha sana.Nimependa Sana hii ngoma kuanzia uandishi mpaka melody yake ni Kali.Ujumbe wa hii ngoma unagusa watu wengi
Beat ya huo wimbo ni copy na paste ya wimbo Chizi wa Vanilla