ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Mamba amesema kama Ruge na Clouds hawakuwa wanyonyaji basi waonyeshe mikataba ya show za wasanii toka 2001Ukisema fulani ni tapeli bila kua na ushahidi, basi umemdhalilisha.
Kama mtu tapeli, ushahidi unao ila huendi mahakamani ili upewe haki yako, badala yake uaishia kumdhihaki kwenye mitandao ya kijamii basi wewe ndie utakaeshughulikiwa!
Ukisema Ruge ni tapeli, tuambie amekutapeli nini na umechukua hatua gani za kisheria.
Kama huwezi just cut the crap and shut your trap!
- KANA -
Hakuna sehemu nimemtaja Dudu baya!Hakuna sehemu Dudubaya alipomtaja Ruge...
Mwambie mamba na yeye atuonyeshe mkataba alioingia na Ruge akadhurumiwa!Mamba amesema kama Ruge na Clouds hawakuwa wanyonyaji basi waonyeshe mikataba ya show za wasanii toka 2001
Sasa wewe hata kuandika huwezi sijui tukusaidiaje, au unamtetea mnywa konyagi mwenzakoInawezekana Wewe ukawa mnafiki mzuri !!! Watanzania wanafiki mno mno haiwekani MTU akiwa hair afanye ubara kwa watu ( wasanii) ila akifa tuu ndio apendwe never
Hakuna sehemu nimesema umemtaja DuduBayaHakuna sehemu nimemtaja Dudu baya!
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
- KANA -
HahahahaHakuna sehemu nimesema umemtaja DuduBaya
Pia hakuna sehemu nimesema amemtaja Ruge!Hakuna sehemu nimesema umemtaja DuduBaya
Kwani mimi nimemtaja dudu baya?
Mimi ntalewa sanaDudubaya ni attention seeker.
Jiwe na ukatili wake mtamlilia siku akifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisema fulani ni tapeli bila kua na ushahidi, basi umemdhalilisha.
Kama mtu tapeli, ushahidi unao ila huendi mahakamani ili upewe haki yako, badala yake uaishia kumdhihaki kwenye mitandao ya kijamii basi wewe ndie utakaeshughulikiwa!
Ukisema Ruge ni tapeli, tuambie amekutapeli nini na umechukua hatua gani za kisheria.
Kama huwezi just cut the crap and shut your trap!
- KANA -
Kuna vitu vingine sio lazima mtu uchangie au u-react.
Binafsi sijaona haja ya kuhangaika kuweka beef na marehemu. He is gone for good. Whether alikuwa ana roho nzuri au mbaya. After all kila mtu ana udhaifu wake.
Kama aliona hana zuri la kumkumbuka nalo, angenyamaza tu. Ni utamaduni wetu kama binadamu mtu anapofariki kumkumbuka kwa wema.
Rest in eternal peace, Ruge Mutahaba.
Pengine ndio sababu hatuendelei, we are not realistic, after all ameshaongea ya kwake, kitakachobadilika nini? Hatuwezi kubadilisha yakiyopita. Ili liwe kama somo kwetu tuliobaki, kuwa haya maisha tunayojivunia nayo yana mwisho, hakuna haja ya kukandamiza au kuonea watu kwa vinafasi tulivyopata hapa dunia.Sijaona sababu ya watu kumshambulia dudubaya kwa kutoa ya moyoni, pia huwezi force mtu ahuzunike, Jamii yetu weusi imejawa na unafiki twamlaumu Raisi kwa afanyayo, ila na Jamii nayo haipendi mawazo tofauti zaidi ya unafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana, wala Mwakyembe asiwe one sided! amsikilize, siyo ubabe wa madaraka!
Hakuna sehemu Dudubaya alipomtaja Ruge
Hakuna sehemu nimemtaja Dudu baya!
Hakuna sehemu nimesema umemtaja DuduBaya
Pia hakuna sehemu nimesema amemtaja Ruge!