Hapo chacha yani bongo kwa kifala sana marehemu akifa kuhuzunika ni lazima hata kama hakuumi ila utalazimika hata kuigiza.Sijaona sababu ya watu kumshambulia dudubaya kwa kutoa ya moyoni, pia huwezi force mtu ahuzunike, Jamii yetu weusi imejawa na unafiki twamlaumu Raisi kwa afanyayo, ila na Jamii nayo haipendi mawazo tofauti zaidi ya unafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sehemu nimesema umesema amemtaja RugePia hakuna sehemu nimesema amemtaja Ruge!
- KANA -
Moja kati ya vitu vigumu barani Africa nikua mkweli, kusema ukweli ule unao udhania au kuufikiria kwa watu wengine ndio hua tatizo kubwa.
Dudubaya yeye toka moyoni kashajitanabaisha kua hawapendi watu wa clouds media hasa Ruge na watangazaji wengine, anaona hana haja ya kudanganya kwa watu bora aseme ukweli wake ambao probably haukutaka kusikilizwa na watu wengine hasa kwa wakati huu mzito, ukweli wake yeye hampendi marehemu na anaamini marehemu alikua mtu mbaya kwake, hana haja ya kujibadilishia yeye mwenyewe mara tu baada ya mtu yule kufariki, na iko wazi hatukutegemea kama dudu asifurahie majonzi na mambo mabaya ya wana clouds.
kifo haki zoeleki, hata dudu atakufa tu kama walivyo watu wengine wowote, shida yake kubwa amekataa kua mnafiki wa kile anachokiamini.
yawezekana dudubaya akawa sahii zaidi ktk njia mbaya, kuliko wale ambao wako ktk njia hii ya maombelezo ila moyoni mwao wana furahi,,, na watu wa ajabu mfano watu kama wakina mange kimambi walikua wakimtukana sanaa marehemu majuzi juzi tu ila leo wanajificha as if hawakuwai kumsema kwa mabaya, kuna mtu kama afande sele na wengine wengi kama bashite leo wanampost marehemu huku deep down waliwai kujitanabaisha marehemu hakua mtu mzuri kwao.
Tuishi kwa Upendo.
unajua ninapata shida sana ninapokumbuka ile skandali ya DUDUBAYA kumvurumishia makonde MR.NICE jukwaani na hili sasa.Najiuliza kama ndio huyu kijana RG ndio alikuwa mbaya hivyo why DUDUBAYA hakuweza kumfanyia kama alivyomfanyia MR.NICE?!?, naamini umaarufu wa DUDUBAYA ulianza kushuka hapo na sioni ushahidi wa moja kwa moja kwamba RG alimshusha DUDU kutoka pale alipokuwa amefika wakati ule ninavyojua DUDU alihukumiwa na wananchi, mashabiki wa mziki wake, hawakupenda matendo yake.natoa mfano wa JIDE na MOND nasikia nao walikuwa na msuguano na RG lakini walijituma zaidi kwani walijua RG sio finalist wa maisha yao ndio maana wanafanya vyema mpaka sasa na sioni kama wanasimanga marehemu sasa. Wajameni tufike mahali Marehemu tuwape heshima zao tuache MUNGU akawahukumu hukohuko waliko. sisi hapa hata tukisemaje tunayemsema hayupo hawezi kujitetea!!! TUACHE TUACHEMoja kati ya vitu vigumu barani Africa nikua mkweli, kusema ukweli ule unao udhania au kuufikiria kwa watu wengine ndio hua tatizo kubwa.
Dudubaya yeye toka moyoni kashajitanabaisha kua hawapendi watu wa clouds media hasa Ruge na watangazaji wengine, anaona hana haja ya kudanganya kwa watu bora aseme ukweli wake ambao probably haukutaka kusikilizwa na watu wengine hasa kwa wakati huu mzito, ukweli wake yeye hampendi marehemu na anaamini marehemu alikua mtu mbaya kwake, hana haja ya kujibadilishia yeye mwenyewe mara tu baada ya mtu yule kufariki, na iko wazi hatukutegemea kama dudu asifurahie majonzi na mambo mabaya ya wana clouds.
kifo haki zoeleki, hata dudu atakufa tu kama walivyo watu wengine wowote, shida yake kubwa amekataa kua mnafiki wa kile anachokiamini.
yawezekana dudubaya akawa sahii zaidi ktk njia mbaya, kuliko wale ambao wako ktk njia hii ya maombelezo ila moyoni mwao wana furahi,,, na watu wa ajabu mfano watu kama wakina mange kimambi walikua wakimtukana sanaa marehemu majuzi juzi tu ila leo wanajificha as if hawakuwai kumsema kwa mabaya, kuna mtu kama afande sele na wengine wengi kama bashite leo wanampost marehemu huku deep down waliwai kujitanabaisha marehemu hakua mtu mzuri kwao.
Tuishi kwa Upendo.
Mkuu nawe ni mmoja waliokuwa wanamchukia marehemu lakini sio kesiMoja kati ya vitu vigumu barani Africa nikua mkweli, kusema ukweli ule unao udhania au kuufikiria kwa watu wengine ndio hua tatizo kubwa.
Dudubaya yeye toka moyoni kashajitanabaisha kua hawapendi watu wa clouds media hasa Ruge na watangazaji wengine, anaona hana haja ya kudanganya kwa watu bora aseme ukweli wake ambao probably haukutaka kusikilizwa na watu wengine hasa kwa wakati huu mzito, ukweli wake yeye hampendi marehemu na anaamini marehemu alikua mtu mbaya kwake, hana haja ya kujibadilishia yeye mwenyewe mara tu baada ya mtu yule kufariki, na iko wazi hatukutegemea kama dudu asifurahie majonzi na mambo mabaya ya wana clouds.
kifo haki zoeleki, hata dudu atakufa tu kama walivyo watu wengine wowote, shida yake kubwa amekataa kua mnafiki wa kile anachokiamini.
yawezekana dudubaya akawa sahii zaidi ktk njia mbaya, kuliko wale ambao wako ktk njia hii ya maombelezo ila moyoni mwao wana furahi,,, na watu wa ajabu mfano watu kama wakina mange kimambi walikua wakimtukana sanaa marehemu majuzi juzi tu ila leo wanajificha as if hawakuwai kumsema kwa mabaya, kuna mtu kama afande sele na wengine wengi kama bashite leo wanampost marehemu huku deep down waliwai kujitanabaisha marehemu hakua mtu mzuri kwao.
Tuishi kwa Upendo.
Sawa babu, ila sijasema kua umesema amemtaja Ruge.Hakuna sehemu nimesema umesema amemtaja Ruge
Hahahaha sawa kiongozi. Ngoja tumwache blaza kaka apumzike kwa amani...Sawa babu, ila sijasema kua umesema amemtaja Ruge.
- KANA -
unajua nn ww..Ukisema fulani ni tapeli bila kua na ushahidi, basi umemdhalilisha.
Kama mtu tapeli, ushahidi unao ila huendi mahakamani ili upewe haki yako, badala yake uaishia kumdhihaki kwenye mitandao ya kijamii basi wewe ndie utakaeshughulikiwa!
Ukisema Ruge ni tapeli, tuambie amekutapeli nini na umechukua hatua gani za kisheria.
Kama huwezi just cut the crap and shut your trap!
- KANA -
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahahaha sawa kiongozi. Ngoja tumwache blaza kaka apumzike kwa amani...
Katangulia, tutamfuata.
Wewe unajua nini?
ukoo wenu kuna msanii yeyote hata wa ngoma za asili...!!?Wewe unajua nini?
- KANA -
Uko wapi utoto?
Kama una hoja leta tujadili, mambo ya ukoo wangu na utapeli wa Ruge wapi na wapi?
hoja ya msingi ni kuwa mtu anaewashwa ndio hujua maumivu ya upele, usimkosoe dudu wakati hujui ariathiriwa vepe..Kama una hoja leta tujadili, mambo ya ukoo wangu na utapeli wa Ruge wapi na wapi?
- KANA -