Yawezekana Dudubaya Yuko Sahihi(?)

Yawezekana Dudubaya Yuko Sahihi(?)

Sijaona sababu ya watu kumshambulia dudubaya kwa kutoa ya moyoni, pia huwezi force mtu ahuzunike, Jamii yetu weusi imejawa na unafiki twamlaumu Raisi kwa afanyayo, ila na Jamii nayo haipendi mawazo tofauti zaidi ya unafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo chacha yani bongo kwa kifala sana marehemu akifa kuhuzunika ni lazima hata kama hakuumi ila utalazimika hata kuigiza.
.
Sasa mitaani usipoudhuria misiba eti unatengwa ni upumbavu wa hali ya juu
 
Moja kati ya vitu vigumu barani Africa nikua mkweli, kusema ukweli ule unao udhania au kuufikiria kwa watu wengine ndio hua tatizo kubwa.

Dudubaya yeye toka moyoni kashajitanabaisha kua hawapendi watu wa clouds media hasa Ruge na watangazaji wengine, anaona hana haja ya kudanganya kwa watu bora aseme ukweli wake ambao probably haukutaka kusikilizwa na watu wengine hasa kwa wakati huu mzito, ukweli wake yeye hampendi marehemu na anaamini marehemu alikua mtu mbaya kwake, hana haja ya kujibadilishia yeye mwenyewe mara tu baada ya mtu yule kufariki, na iko wazi hatukutegemea kama dudu asifurahie majonzi na mambo mabaya ya wana clouds.

kifo haki zoeleki, hata dudu atakufa tu kama walivyo watu wengine wowote, shida yake kubwa amekataa kua mnafiki wa kile anachokiamini.

yawezekana dudubaya akawa sahii zaidi ktk njia mbaya, kuliko wale ambao wako ktk njia hii ya maombelezo ila moyoni mwao wana furahi,,, na watu wa ajabu mfano watu kama wakina mange kimambi walikua wakimtukana sanaa marehemu majuzi juzi tu ila leo wanajificha as if hawakuwai kumsema kwa mabaya, kuna mtu kama afande sele na wengine wengi kama bashite leo wanampost marehemu huku deep down waliwai kujitanabaisha marehemu hakua mtu mzuri kwao.


Tuishi kwa Upendo.

unaandika haya, kisha unasema tuishi kwa upendo!!!!!


upendo?????


Kifo ni ultimate punishment...ukisema marehemu ni kama unasema "bora umekufa"

kwa kosa lolote la marehemu, hakustahili hukumu yake iwe kifo

ukimsema marehemu ni kama unasema " unastahili kufa"
 
Moja kati ya vitu vigumu barani Africa nikua mkweli, kusema ukweli ule unao udhania au kuufikiria kwa watu wengine ndio hua tatizo kubwa.

Dudubaya yeye toka moyoni kashajitanabaisha kua hawapendi watu wa clouds media hasa Ruge na watangazaji wengine, anaona hana haja ya kudanganya kwa watu bora aseme ukweli wake ambao probably haukutaka kusikilizwa na watu wengine hasa kwa wakati huu mzito, ukweli wake yeye hampendi marehemu na anaamini marehemu alikua mtu mbaya kwake, hana haja ya kujibadilishia yeye mwenyewe mara tu baada ya mtu yule kufariki, na iko wazi hatukutegemea kama dudu asifurahie majonzi na mambo mabaya ya wana clouds.

kifo haki zoeleki, hata dudu atakufa tu kama walivyo watu wengine wowote, shida yake kubwa amekataa kua mnafiki wa kile anachokiamini.

yawezekana dudubaya akawa sahii zaidi ktk njia mbaya, kuliko wale ambao wako ktk njia hii ya maombelezo ila moyoni mwao wana furahi,,, na watu wa ajabu mfano watu kama wakina mange kimambi walikua wakimtukana sanaa marehemu majuzi juzi tu ila leo wanajificha as if hawakuwai kumsema kwa mabaya, kuna mtu kama afande sele na wengine wengi kama bashite leo wanampost marehemu huku deep down waliwai kujitanabaisha marehemu hakua mtu mzuri kwao.


Tuishi kwa Upendo.
unajua ninapata shida sana ninapokumbuka ile skandali ya DUDUBAYA kumvurumishia makonde MR.NICE jukwaani na hili sasa.Najiuliza kama ndio huyu kijana RG ndio alikuwa mbaya hivyo why DUDUBAYA hakuweza kumfanyia kama alivyomfanyia MR.NICE?!?, naamini umaarufu wa DUDUBAYA ulianza kushuka hapo na sioni ushahidi wa moja kwa moja kwamba RG alimshusha DUDU kutoka pale alipokuwa amefika wakati ule ninavyojua DUDU alihukumiwa na wananchi, mashabiki wa mziki wake, hawakupenda matendo yake.natoa mfano wa JIDE na MOND nasikia nao walikuwa na msuguano na RG lakini walijituma zaidi kwani walijua RG sio finalist wa maisha yao ndio maana wanafanya vyema mpaka sasa na sioni kama wanasimanga marehemu sasa. Wajameni tufike mahali Marehemu tuwape heshima zao tuache MUNGU akawahukumu hukohuko waliko. sisi hapa hata tukisemaje tunayemsema hayupo hawezi kujitetea!!! TUACHE TUACHE
 
Moja kati ya vitu vigumu barani Africa nikua mkweli, kusema ukweli ule unao udhania au kuufikiria kwa watu wengine ndio hua tatizo kubwa.

Dudubaya yeye toka moyoni kashajitanabaisha kua hawapendi watu wa clouds media hasa Ruge na watangazaji wengine, anaona hana haja ya kudanganya kwa watu bora aseme ukweli wake ambao probably haukutaka kusikilizwa na watu wengine hasa kwa wakati huu mzito, ukweli wake yeye hampendi marehemu na anaamini marehemu alikua mtu mbaya kwake, hana haja ya kujibadilishia yeye mwenyewe mara tu baada ya mtu yule kufariki, na iko wazi hatukutegemea kama dudu asifurahie majonzi na mambo mabaya ya wana clouds.

kifo haki zoeleki, hata dudu atakufa tu kama walivyo watu wengine wowote, shida yake kubwa amekataa kua mnafiki wa kile anachokiamini.

yawezekana dudubaya akawa sahii zaidi ktk njia mbaya, kuliko wale ambao wako ktk njia hii ya maombelezo ila moyoni mwao wana furahi,,, na watu wa ajabu mfano watu kama wakina mange kimambi walikua wakimtukana sanaa marehemu majuzi juzi tu ila leo wanajificha as if hawakuwai kumsema kwa mabaya, kuna mtu kama afande sele na wengine wengi kama bashite leo wanampost marehemu huku deep down waliwai kujitanabaisha marehemu hakua mtu mzuri kwao.


Tuishi kwa Upendo.
Mkuu nawe ni mmoja waliokuwa wanamchukia marehemu lakini sio kesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisema fulani ni tapeli bila kua na ushahidi, basi umemdhalilisha.

Kama mtu tapeli, ushahidi unao ila huendi mahakamani ili upewe haki yako, badala yake uaishia kumdhihaki kwenye mitandao ya kijamii basi wewe ndie utakaeshughulikiwa!

Ukisema Ruge ni tapeli, tuambie amekutapeli nini na umechukua hatua gani za kisheria.

Kama huwezi just cut the crap and shut your trap!

- KANA -
unajua nn ww..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya sababu kuwa Ruge alikuwa zaidi ya mtu maarufu ni hii kuendelea kuzungumzwa kwa ubaya na uzuri wakati amekufa. Dhana ya ubaya na uzuri wa mtu inategemea alikugusa wapi maana jukumu lakutaka kuguswa na mtu ni lako mwenyewe, ukimwona mtu mbaya kwako wewe mwenyewe ndio mtu wa kwanza kujilaumu maana ndio uliruhusu kuguswa kwa udhaifu wako wa kutegemea watu wengine wafikiri kwa niaba yako ikiwa tofauti unawalaumu
 
kuna jamaa hapo juu amenichekesha sanaa, anakwambia ubaya bongo mtu akifa wote tuna lazimishana kusikitika ata kama mtu yule hakuna namna alikua ana kugusa, na usipoenda misibani unatengwa na jamii.... katumia akili nyingi sanaa kuyaandika haya, ni ukweli,,, kwa wenzetu kule jirani yako anafariki ata ukienda msibani watu wanakushangaa umeenda kutafta nini? mbona hawakujui, watu wanafiwa na ndugu zao lakini inakua kama hakijatokea kitu kwao, karne ya 21 ni mpya na ina mambo mengi mapya.
 
Back
Top Bottom