Pesa za walipa Kodi ambao hata Milo miwili inawapiga chenga.Pesa za walipa kodi zinaitwa pesa za rais!
There’s no light at the end of the tunnel, so long as CCM remains in power.
Sina hakika na hiyo kauli, ila ina ukweli mwingi tu…Jomo Kenyatta aliwahi kusema Nyerere anaongoza maiti!!
Ni Chawa wa nani?Sio, labda zamani. Kwani Lucas mwashambwa mdudu?
While donor countries and international development agencies tend, in general, to focus on the “problems” such as deficiencies in governance, dictatorships, corruption, conflicts, and insecurity of multi ethnic societies, the political realities of individual my Country politicians, each of which has its own unique of making a chair personnel happyUnapoona viongozi wa nchi wanatoa kauli kama ‘Rais Samia ameruhusu maandamano’ au ‘Rais Samia ameruhusu vyama vya upinzani vifanye mikutano ya kisiasa’, wewe Mtanzania uliye mwerevu na uliye na ufahamu wa msingi wa elimu ya uraia, unajisikiaje? Unaonaje?
Huoni kwamba, ama tunaongozwa na viongozi wajinga wasio na ufahamu hata ule wa msingi tu wa elimu ya uraia na jinsi ambavyo nchi inapaswa kuongozwa kwa kufuata katiba ya nchi, au, tunaongozwa na viongozi wasiojali kabisa kufuata katiba ya nchi na sheria zingine za nchi?
Lipi ni lipi hapo?
This country is a hot steaming mess!
Wanawachukulia wananchi kama watu wasio na akili timamu.Nchi inayoongozwa na viongozi wajinga itawezaje kujiondoa katika lindi la ujinga?
Tulia ilevi ikuishe ndio uje uandikeUnapoona viongozi wa nchi wanatoa kauli kama ‘Rais Samia ameruhusu maandamano’ au ‘Rais Samia ameruhusu vyama vya upinzani vifanye mikutano ya kisiasa’, wewe Mtanzania uliye mwerevu na uliye na ufahamu wa msingi wa elimu ya uraia, unajisikiaje? Unaonaje?
Huoni kwamba, ama tunaongozwa na viongozi wajinga wasio na ufahamu hata ule wa msingi tu wa elimu ya uraia na jinsi ambavyo nchi inapaswa kuongozwa kwa kufuata katiba ya nchi, au, tunaongozwa na viongozi wasiojali kabisa kufuata katiba ya nchi na sheria zingine za nchi?
Lipi ni lipi hapo?
This country is a hot steaming mess!
Onyesha mahala niliposhangilia.Ndiyo
Ni sahihi kusema Raisi ameruhusu maandamano
Miaka michache iliyopita pia ilikuwa Raisi amepiga marufuku maandamano na mikutano ya siasa na alishangiliwa ikiwemo pamoja na wewe.
Hao so called viongozi wajinga ni reflection ya jamii wanayotoka( na jamii nayo ni wajinga). Lazima jamii iache ku normalize kumpa mtu madaraka kwa ahadi hewa, ushamba ukisha futika na viongozi watakuwa serious maana watajua wananchi hawadanganyiki anymoreNchi inayoongozwa na viongozi wajinga itawezaje kujiondoa katika lindi la ujinga?
Moja ya vitu ambavyo sitovisahau toka kwa marehemu Lemutuz ni msemo wake wa “viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe wananchi”.Hao so called viongozi wajinga ni reflection ya jamii wanayotoka( na jamii nayo ni wajinga). Lazima jamii iache ku normalize kumpa mtu madaraka kwa ahadi hewa, ushamba ukisha futika na viongozi watakuwa serious maana watajua wananchi hawadanganyiki anymore
Siasa zetu ni za kufuata mkumbo kama nyumbu wa Serengeti. Kiongozi akielekea kwenye mto wenye mamba au mkondo kasi yote hufuata.Unapoona viongozi wa nchi wanatoa kauli kama ‘Rais Samia ameruhusu maandamano’ au ‘Rais Samia ameruhusu vyama vya upinzani vifanye mikutano ya kisiasa’, wewe Mtanzania uliye mwerevu na uliye na ufahamu wa msingi wa elimu ya uraia, unajisikiaje? Unaonaje?
Huoni kwamba, ama tunaongozwa na viongozi wajinga wasio na ufahamu hata ule wa msingi tu wa elimu ya uraia na jinsi ambavyo nchi inapaswa kuongozwa kwa kufuata katiba ya nchi, au, tunaongozwa na viongozi wasiojali kabisa kufuata katiba ya nchi na sheria zingine za nchi?
Lipi ni lipi hapo?
This country is a hot steaming mess!
Kuna Mwana falsafa uko Lindi Bashungwa kamkuta anasimamia masuala ya ujenzi wa Barabara na madaraja!!Ndio maana miaka 60+ya Uhuru tumeshindwa kusolve hata tatizo la maji na umeme.!!
Position nyingi zimeshikwa na watu ambao uwezo wao kuongoza ni mdogo mno
Kiufupi hatuna viongozi tuna watawala wenye mawazo ya kikoloni bado.
Siku nchi hii ikipata kiongozi ndio mtajua kwamba wote waliopita walikuwa madishi tu.
Mama Kizimkazi anasema katiba ni kijitabu tu!Mojawapo ya sifa ya mtu awe kiongozi anabidi apewe interview inayohusiana na mambo yaliyoandikwa katika katiba labda itasaidia .. maana viongozi wengi inaonekana hawasemi katiba
Yaani mtu ana madaraka tayari lakini anawaza uchaguzi wa mwaka 2025!!?Jibu lipo hapa...
Ujinga wao upo kwenye ulafi wa madaraka...