Uchaguzi 2020 Yawezekana kampeni za Lissu zikawa za kipekee kwenye ulimwengu wa vyama vingi duniani

lissu anajua sheria peke yake tanzania nzima, lissu ndo anafanya kampeni nzuri dunia nzima peke yake, endeleni kujazia zingine zilizobaki
 
Nyoo safari hii hakuna kuiba kura labda mmharibu uchaguzi
Kuna siku Hamjalalamika Kuwa Uchaguzi umeharibika yaani kwa Mafuriko ya Magu In Dhahili mioyoni mwenu mnajua Magubanashinda kwa 85%
 
lissu anajua sheria peke yake tanzania nzima, lissu ndo anafanya kampeni nzuri dunia nzima peke yake, endeleni kujazia zingine zilizobaki
Lissu ndioo Anaakili Tanzania nzima, Lissu ndio Mkweli Kuliko hata Yesu Lisu lisu lisu Yeye Ndio Yeye Ila Mzee Magu atamfundisha Adabu kwamba Kelele na uwongo hues hazipgi kura
 
Hahahaha Ndio Mabango Hayana Umuhimu Ila Tarehe 28/10 mtatamani kama mngekuwa na Mabango Subilini kama hamjaja na kaunza kulalamika Humu Humu Hamkawiii

Haachiwi Mungu safari hii. Mtajua kuwa kizazi hiki sio cha ccm.
 
Haachiwi Mungu safari hii. Mtajua kuwa kizazi hiki sio cha ccm.
Shida yenu hata barabarani hamtatoka mtasubilia watu watoki nao hawatatoka na mwisho Wa Sikh tutakutana hapahapa kujadili wengine tukiwa tunacheka na wengine mkiwa mmenuna na mnalia
 
Shida yenu hata barabarani hamtatoka mtasubilia watu watoki nao hawatatoka na mwisho Wa Sikh tutakutana hapahapa kujadili wengine tukiwa tunacheka na wengine mkiwa mmenuna na mnalia

Mlisema hata uwanja kwa ndege hatutaenda kumpokea kisa tunaogopa mabomu. Safari hii hata kama ni kushinda, basi mtashinda kihalali.
 

Ushindi bila hata bango, redio na TV zikiwa zimepigwa marufuku kumtangaza...

Huu ni ushindi wa aina yake kwa kweli...

Huyu mwingine kachafua miji yote Tanzania nzima kwa mapicha yake ya hovyo na kuchukiza tu...

Ama kweli CHEMA (TUNDU LISSU - CHADEMA) CHAJIUZA CHENYEWE, LAKINI KIBAYA (JOHN POMBE - CCM) CHAJITEMBEZA HUKU NA KULE ILI KIUZIKE....!!
 
Hahahahaha UNAJUA ZAMANI VICHAAA WALIKUWA MABARABARANI TU SASA SIKU IZI HADI MITANDAONI KUNA VICHA
 
Ukimwangaliu huyo jamaa utagundua hana furaha kama amelazimishwa kuja tu kuongeza vichwa, hata tisheti hajafunga vifungo inaonekana kavalishwa tu kwa lazima chap View attachment 1585922
Kuna majaa yanauchapa usingizi hapo.
Jamaa wanaonekana wamelazimishwa kuhudhuria,itakua ni watumishi wa umma hawa wale wanaoogopa mikwara ya DED
 
Wakati wa Augustino lyatonga mrema ulikua umezaliwa?
Za Dr Slaa na Lowassa je uliziona?

Hao wote ulikuwa ni wakati wa KUMWACHIA MUNGU. Wakati huu Lissu kaamuwa kutomtwisha Mungu mzigo ambao yeye na wananchi wataweza kuubeba.

Umeona sasa NEC wenyewe washaanza kusema sijui masaa 72 na yeye ana masaa 48 ya ziada. Mbona mwanzo walijitia afike tatehe 29!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…