Uchaguzi 2020 Yawezekana kampeni za Lissu zikawa za kipekee kwenye ulimwengu wa vyama vingi duniani

Uchaguzi 2020 Yawezekana kampeni za Lissu zikawa za kipekee kwenye ulimwengu wa vyama vingi duniani

Lissu amewafumbua watu macho na pia ni mtu ambaye ana msimamo. Wenzetu inaonesha wameanza kubabaika kweli, wamechanganyikiwa sana na kazi yao kutumia polisi ila mwaka huu itabidi kieleweke tu.
Lazima kinuke KMMMK!!!
 
Tukiwa tunamalizia nusu ya kwanza ya kampeni, Lissu anazidi kujisafishia njia ya kuwa mgombea wa kwanza katika historia ya nchi yetu na penginepo kwenye ulimwengu wa siasa za kiushindani, kuweza kufanya kampeni pasipo kuwa hata na bango moja lenye sura yake.

Hii ni record ya aina yake, Lissu anazidi kutisha na anaendelea kuwa msumari mkali kwa CCM kadri sekunde zinavosonga.

Kupitia uchaguzi huu, Lissu ametupa somo kubwa sana ambalo litaathiri sina siasa za vipindi vijavo, MABANGO sio njia ya lazima ya kupiga kampeni.

Hakika nimeamini LISSU anaenda kuleta ukombozi kwenye taifa hili.

Aluta continua!!!!!

CCM kamwe huu mziki wa 2020 hamtauweza maana mnapambana na mbeba maono ambaye anazidi kuweka record kila uchwao.
Mkuu ID yako imekaa kimatusi sana
 
Wakati wa Augustino lyatonga mrema ulikua umezaliwa?

Za Dr Slaa na Lowassa je uliziona?
Endelea kukariri, kila zama na kitabu chake. Sasa wameanza kupiga Magoti lakini wapi! Watz wamewakataa hao wauaji na watesaji
 
CCM itapata pigo kuuuuubwa sana pigo moja tu pigo takatifu pigo lililonyooka kabla ya uchaguzi mkuu huu
 
Wewe huna akili mjinga tu mtu anahubiri uhuru, haki na maendeleo ya watu. We umeshasikia Magufuli ameongelea maendeleo ya watu au haki hicho kwake siyo kipaumbele

ASANTE kwa maneno yako ya dharau.

Nimemjibu MwanaJF mwenye mawazo kama wewe, ya kukaririshwa, kuwa hamjui kuwa hamjui mnashabikia nini! Na hasa msilolijua ni kuwa mnatukumbusha wana mitandao, kwa jinsi ile ile, Lissu anavyowakumbusha wapiga kura, yale aliyoyafanya Magufuli katika miaka 5.

Lini mtatwambia yeye Lissu na viongozi wenzake wa CHADEMA walichokifanya, japo katika hiyo miaka 5 ya Serikali iliyoko madarakani, ili tuamini mkipewa nchi mtafanikisha hiyo Sera ya kinadharia ya uhuru, haki na maendeleo ya watu.

Kwa ngazi ya Rais, mgombea Urais makini, katika kupokezana vijiti, tulitegemea angetambua yaliyofanyika na kueleza atavyoweza kuboresha zaidi. Kilicho wazi, kwa hiyo Sera yake ya uhuru, haki na maendeleo ya watu, ambayo wewe mwenyewe huijui, ni dhahiri, hajui nawe hujui kuwa Tanzania tayari ni nchi huru.

Ili kuthibitisha hoja yangu kuwa hamjui kama tayari Tanzania ni nchi huru, Ilani ya CHADEMA, Uchaguzi Mkuu, 2020, inanukuu maneno ya Baba wa Taifa, baada ya Uhuru kwamba Kwa watu ambao walikuwa watumwa, au ambao walikuwa wakionewa, wakinyonywa, na kunyanyaswa kwa sababu ya Ukoloni, Ukabaila au Ubepari, “Maendeleo” maana yake ni “Ukombozi”. Kitendo
chochote kinachowapa uwezo zaidi wakuamua mambo yao wenyewe, ni kitendo cha maendeleo, japo kama hakiwaongezei afya wala shibe. Kitendo chochote kinachowapunguzia uwezo wao wa kuamua mambo yao wenyewe na kutawala maisha yao wenyewe, si kitendo cha maendeleo,ni kitendo cha kuwarudisha nyuma, japo kama kitendo chenyewe kinawaongezea afya na shibe kidogo (bara ya 28 ya Mwongozo wa TANU wa mwaka 1971)
.

Je, unajua mantiki iliyomo kwenye falsafa hiyo?

Kwa hitimisho, nikupongeze, wewe na wafuasi wake humu JF, kwa jitihada zenu zinaonesha mapenzi yenu kwa huyo kichaa, ambaye kamwe hawezi kutawala nchi hii. Labda awe M/Kiti wa CHADEMA.
 
Ni kampeni za kipekee - KWELI, badala ya kunadi Sera anagombana na Mamlaka ambazo yeye anaomba awe kiongozi!

Hii ni record ya aina yake, Lissu anazidi kutisha - KWELI, badala ya kuhubiri amani kwa wananchi ambao anawaomba awe kiongoxi wao yeye anahubiri chuki, fitina na visasi!

Lissu ametupa somo kubwa sana ambalo litaathiri sina siasa za vipindi vijavo - KWELI, kwamba kumbe jukwaa la kisiasa laweza kubadilishwa kuwa mahakama!

Hayo yote tisa, kumi ni tarehe 28/10/2020, wananchi wapiga kura watakapotumia uhuru na haki yao kuchagua viongozi:
√ waliohubiri amani wakati wa kampeni;
√ wanaoaminika kuwa watawawekea mazingira ya kuondokana na umaskini;
√ watakaoshirikiana nao katika shughuli za maendeleo;
√ watakao kuwa nao wakati wa shida na raha (km mlipuko wa ugonjwa);
√ wenue dhamira ya dhati kulinda rasmali na maliasili ya taifa kwa vizazi vya sasa na vinavyokuja;
√ wenye rekodi iliyotukuka ya utendaji wa mfano kijamii;
√ wacha Mungu na kumtumainia.
Kwa hiyo wale wanaoamuru wengine wauliwe, watekwe au wasipo wapigia kura hakuna maendeleo ndio wanahubiri amani. Ni sawa tu kwani huo ndio mtazamo wako.
 
Kwa hiyo wale wanaoamuru wengine wauliwe, watekwe au wasipo wapigia kura hakuna maendeleo ndio wanahubiri amani. Ni sawa tu kwani huo ndio mtazamo wako.
Kila siku kuna kipindi ITV wananchi hutoa taarifa za kupotea ndugu zao, kwa hoja yako hiyo ya kipuuzi utasema Serikali inahusika. Au nawe una mpango wa kujiteka Serikali ilaumiwe?

Fanya kazi halali, upate kipato, na ulipe kodi. Kodi yako ndiyo hiyo inawezesha mtoto wako asome bure. Ni kodi hizo zimeboresha barabara hadi Lissu anazitumia kuzunguka Tanzania akiongea upuuzi badala ya kunadi Sera, nk
 
Ni kampeni za kipekee - KWELI, badala ya kunadi Sera anagombana na Mamlaka ambazo yeye anaomba awe kiongozi!

Hii ni record ya aina yake, Lissu anazidi kutisha - KWELI, badala ya kuhubiri amani kwa wananchi ambao anawaomba awe kiongoxi wao yeye anahubiri chuki, fitina na visasi!

Lissu ametupa somo kubwa sana ambalo litaathiri sina siasa za vipindi vijavo - KWELI, kwamba kumbe jukwaa la kisiasa laweza kubadilishwa kuwa mahakama!

Hayo yote tisa, kumi ni tarehe 28/10/2020, wananchi wapiga kura watakapotumia uhuru na haki yao kuchagua viongozi:
√ waliohubiri amani wakati wa kampeni;
√ wanaoaminika kuwa watawawekea mazingira ya kuondokana na umaskini;
√ watakaoshirikiana nao katika shughuli za maendeleo;
√ watakao kuwa nao wakati wa shida na raha (km mlipuko wa ugonjwa);
√ wenue dhamira ya dhati kulinda rasmali na maliasili ya taifa kwa vizazi vya sasa na vinavyokuja;
√ wenye rekodi iliyotukuka ya utendaji wa mfano kijamii;
√ wacha Mungu na kumtumainia.
Kama husikii sera kwa Lissu itakuwa ni matokeo ya mfumo mbovu wa elimu chini ya utawala wa CCM!
 
Kila siku kuna kipindi ITV wananchi hutoa taarifa za kupotea ndugu zao, kwa hoja yako hiyo ya kipuuzi utasema Serikali inahusika. Au nawe una mpango wa kujiteka Serikali ilaumiwe?

Fanya kazi halali, upate kipato, na ulipe kodi. Kodi yako ndiyo hiyo inawezesha mtoto wako asome bure. Ni kodi hizo zimeboresha barabara hadi Lissu anazitumia kuzunguka Tanzania akiongea upuuzi badala ya kunadi Sera, nk
Kama huelewi kuwa Lissu anaongoza kwa wagombea wenye kunadi sera, basi itakuwa ni matokeo ya mfumo mbovu wa elimu chini serikali ya CCM
 
Kama huelewi kuwa Lissu anaongoza kwa wagombea wenye kunadi sera, basi itakuwa ni matokeo ya mfumo mbovu wa elimu chini serikali ya CCM
Nitakubaliana na wewe ukitoa mfano mmoja tu wa hizo sera, na uidadavue.
 
ASANTE kwa maneno yako ya dharau.

Nimemjibu MwanaJF mwenye mawazo kama wewe, ya kukaririshwa, kuwa hamjui kuwa hamjui mnashabikia nini! Na hasa msilolijua ni kuwa mnatukumbusha wana mitandao, kwa jinsi ile ile, Lissu anavyowakumbusha wapiga kura, yale aliyoyafanya Magufuli katika miaka 5.

Lini mtatwambia yeye Lissu na viongozi wenzake wa CHADEMA walichokifanya, japo katika hiyo miaka 5 ya Serikali iliyoko madarakani, ili tuamini mkipewa nchi mtafanikisha hiyo Sera ya kinadharia ya uhuru, haki na maendeleo ya watu.

Kwa ngazi ya Rais, mgombea Urais makini, katika kupokezana vijiti, tulitegemea angetambua yaliyofanyika na kueleza atavyoweza kuboresha zaidi. Kilicho wazi, kwa hiyo Sera yake ya uhuru, haki na maendeleo ya watu, ambayo wewe mwenyewe huijui, ni dhahiri, hajui nawe hujui kuwa Tanzania tayari ni nchi huru.

Ili kuthibitisha hoja yangu kuwa hamjui kama tayari Tanzania ni nchi huru, Ilani ya CHADEMA, Uchaguzi Mkuu, 2020, inanukuu maneno ya Baba wa Taifa, baada ya Uhuru kwamba Kwa watu ambao walikuwa watumwa, au ambao walikuwa wakionewa, wakinyonywa, na kunyanyaswa kwa sababu ya Ukoloni, Ukabaila au Ubepari, “Maendeleo” maana yake ni “Ukombozi”. Kitendo
chochote kinachowapa uwezo zaidi wakuamua mambo yao wenyewe, ni kitendo cha maendeleo, japo kama hakiwaongezei afya wala shibe. Kitendo chochote kinachowapunguzia uwezo wao wa kuamua mambo yao wenyewe na kutawala maisha yao wenyewe, si kitendo cha maendeleo,ni kitendo cha kuwarudisha nyuma, japo kama kitendo chenyewe kinawaongezea afya na shibe kidogo (bara ya 28 ya Mwongozo wa TANU wa mwaka 1971)
.

Je, unajua mantiki iliyomo kwenye falsafa hiyo?

Kwa hitimisho, nikupongeze, wewe na wafuasi wake humu JF, kwa jitihada zenu zinaonesha mapenzi yenu kwa huyo kichaa, ambaye kamwe hawezi kutawala nchi hii. Labda awe M/Kiti wa CHADEMA.

Wewe sikuwa naelewa kuwa ni mjinga kiasi hicho inamaana hujuwi kama serikali ya CCM ndiyo inayokusanya kodi sasa utasemaje Tundu Lissu aseme alichofanya wakati yeye kazi yake ilikuwa kuwawakilisha wananchi bungeni, hivi muwakilishi anaweza kuwa na kazi gani nyingine zaidi ya hiyo ya uwakilishi na atapimwa jinsi aalivyowakilisha wananchi wa jimbo lake
 
Kila siku kuna kipindi ITV wananchi hutoa taarifa za kupotea ndugu zao, kwa hoja yako hiyo ya kipuuzi utasema Serikali inahusika. Au nawe una mpango wa kujiteka Serikali ilaumiwe?

Fanya kazi halali, upate kipato, na ulipe kodi. Kodi yako ndiyo hiyo inawezesha mtoto wako asome bure. Ni kodi hizo zimeboresha barabara hadi Lissu anazitumia kuzunguka Tanzania akiongea upuuzi badala ya kunadi Sera, nk
Ni wakati wa huu utawala ndio watu hujiteka hawakuwahi kujiteka huko nyuma na ufahamu kuwa kodi tunalipa halafu mtu anaenda kujengea kiwanja cha ndege kijijini kwake.

Kumbe unajua kuwa ni kodi zetu ndizo zinajenga hizo barabara sasa kwa mantiki hiyo serikali yoyote itajenga barabara kwani itaendelea kukusanya kodi kama hata ilivyofanya serikali za kikoloni.

Serkali kutumia kodi za wananchi kujengea miundombinu sio kitu cha kutafutia sifa ni sawa na kuisifia ATM kukupa fedha zako. Anayetafuta sifa kwa hilo amefirisika kifikra.
 
Ni wakati wa huu utawala ndio watu hujiteka hawakuwahi kujiteka huko nyuma na ufahamu kuwa kodi tunalipa halafu mtu anaenda kujengea kiwanja cha ndege kijijini kwake.

Kumbe unajua kuwa ni kodi zetu ndizo zinajenga hizo barabara sasa kwa mantiki hiyo serikali yoyote itajenga barabara kwani itaendelea kukusanya kodi kama hata ilivyofanya serikali za kikoloni.

Serkali kutumia kodi za wananchi kujengea miundombinu sio kitu cha kutafutia sifa ni sawa na kuisifia ATM kukupa fedha zako. Anayetafuta sifa kwa hilo amefirisika kifikra.

Ati kodi tunalipa halafu mtu anaenda kujengea kiwanja cha ndege kijijini kwake. ... ndizo zinajenga hizo barabara sasa kwa mantiki hiyo serikali yoyote itajenga barabara, ni maneno ya kukaririshwa ambayo hayawezi kamwe kutumika kama hoja na mtu mzima, bali vioja

Hakuna ubishi kuwa pato la Serikali ni kodi. Na kodi hutumiwa na Serikali kwa maendeleo ya nchi, kwa maana ya vitu (miundo mbinu) na ustawi wa watu (huduma za jamii). Miaka 5 imeshuhudia Serikali iliyoko madarakani ikihimiza na kukusanya kodi, ambayo pamoja na matumizi mengine imelipa ruzuku ya mabilioni ya fedha hicho chama kinachoshutumu ujenzi wa kiwanja cha ndege na maendeleo ya vitu. Angalau matumizi ya kodi siyo tu yanaonekana, matokeo yake pia ni dhahiri kiuchumi.

Je, hicho chama ruzuku imetumika kwa maslahi ya Taifa ili kiaminiwe kukabidhiwa utawala wa nchi hii? Jibu ni HAPANA, iwapo hata ofisi ya makao makuu haikujengwa. Jibu ni HAPANA kwa kuwa M/Kiti wa hicho chama amefuja ruzuku kwa ulevi wa kupindukia.
 
Tukiwa tunamalizia nusu ya kwanza ya kampeni, Lissu anazidi kujisafishia njia ya kuwa mgombea wa kwanza katika historia ya nchi yetu na penginepo kwenye ulimwengu wa siasa za kiushindani, kuweza kufanya kampeni pasipo kuwa hata na bango moja lenye sura yake.

Hii ni record ya aina yake, Lissu anazidi kutisha na anaendelea kuwa msumari mkali kwa CCM kadri sekunde zinavosonga.

Kupitia uchaguzi huu, Lissu ametupa somo kubwa sana ambalo litaathiri sina siasa za vipindi vijavo, MABANGO sio njia ya lazima ya kupiga kampeni.

Hakika nimeamini LISSU anaenda kuleta ukombozi kwenye taifa hili.

Aluta continua!!!!!

CCM kamwe huu mziki wa 2020 hamtauweza maana mnapambana na mbeba maono ambaye anazidi kuweka record kila uchwao.

Tundu kichwa tukubali.. 😅, He knows exactly what he is doing, but amekuja kipindi kibaya, JPM will win ingawa kwa my early prediction si votes nyingi like i was thinking, meaning will win with narrow margin, but anything is possible under the Sun, never rule out this guy..!! 😅 CCM tumejipanga kisawa sawa..!!
 
Tukiwa tunamalizia nusu ya kwanza ya kampeni, Lissu anazidi kujisafishia njia ya kuwa mgombea wa kwanza katika historia ya nchi yetu na penginepo kwenye ulimwengu wa siasa za kiushindani, kuweza kufanya kampeni pasipo kuwa hata na bango moja lenye sura yake.

Hii ni record ya aina yake, Lissu anazidi kutisha na anaendelea kuwa msumari mkali kwa CCM kadri sekunde zinavosonga.

Kupitia uchaguzi huu, Lissu ametupa somo kubwa sana ambalo litaathiri sina siasa za vipindi vijavo, MABANGO sio njia ya lazima ya kupiga kampeni.

Hakika nimeamini LISSU anaenda kuleta ukombozi kwenye taifa hili.

Aluta continua!!!!!

CCM kamwe huu mziki wa 2020 hamtauweza maana mnapambana na mbeba maono ambaye anazidi kuweka record kila uchwao.
Na hii imefanya mabango yampinzani wake kukosa mvuto kabisa, kwamtazamo wangu mgombea ambaye hakupaswa kuweka mabango ni Magu na sio Lisu, lakini pia tukumbuke hakuna umaarufu mnzuri zaidi yakuwa karibu nawananchi, Lisu amejiwekeza kwenye kuwasemea watu nakuwatetea hii nikete kubwa kisiasa, Hapa Kuna tofauti kubwa Kati ya Hawa wawili
 
Back
Top Bottom