Uchaguzi 2020 Yawezekana kampeni za Lissu zikawa za kipekee kwenye ulimwengu wa vyama vingi duniani

Safi sana piga spana kabisa
 
Tulia wewe 28.10.2020 utajua Lissu ni kiboko ya uchafu
 

Lissu amewafumbua watu macho na pia ni mtu ambaye ana msimamo. Wenzetu inaonesha wameanza kubabaika kweli, wamechanganyikiwa sana na kazi yao kutumia polisi ila mwaka huu itabidi kieleweke tu.
 
Kwa hakika unayoyasema ndiyo Ukweli halisi !
 

Wewe huna akili mjinga tu mtu anahubiri uhuru, haki na maendeleo ya watu. We umeshasikia Magufuli ameongelea maendeleo ya watu au haki hicho kwake siyo kipaumbele
 
Lisu huyu mwamba kama sio kamzizi itakuwa ana nguvy zingine za ziada tusizojua sisi. Unawezaje kufanya kampeni nchi nzima hakuna hata bango moja?? Nchi nzima hakuna hata redio wala gazeti linalokutaja na bado ukaoneakana wewe ni Bingwa?? Sio bure aisee tuache utani.
 
Piga magoti tafadhali.....kwanza umeshasuguliwa??
 
Kama vipi wasugue tu hao. Leo wameomba wasuguliwe.
 
Ni kweli dhahanati hazijajengwa CCM imejenga Zahanati.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Kizuri kinauzika kibaya kinajitembeza.


Lissu is another level mbali na mafanikio anayojivunia magufuli but ameufyata hawezi fanya mdahalo na Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…