Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Waislam hawana ubaguzi, ukiona Muislam anabagua ujuwe hajauwelewa uislam vizuri bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam hawana ubaguzi, ukiona Muislam anabagua ujuwe hajauwelewa uislam vizuri bado.
Mwenyezi Mungu muumba mbingu na Nchi namuelewa sana. Acha wajimilikishe kila kitu, waue watu. Ila safari ni moja.Ndiyo! Rais mkapa hakua mbinafsi hata kidogo na yawezekana ndiyo Rais ambae hakupendelea kwao kabisa mpaka anaondoka madarakani Rais mkapa hakupeleka vitu vingi sana kwao mtwara zaidi ya daraja la rufiji na zile barabara na hata barabara zilikamilika kipindi cha Kikwete si mkapa.Mkapa kwa nafasi yake alikuwa na uwezo wa kupeleka kila kitu ila sasa mpaka anaondoka mtwara hamna chuo kikuu cha kueleweka katika mkoa wa Mtwara,uwanja wa ndege wenyewe tia tia maji yaani kiufupi mikoa ya kusini hasa hasa kama ilivyosahaulika kipindi cha mkapa ndivyo hivyo itasahaulika vipindi vingine
Hiyo ndiyo desturi ya watu wa kusini na tabia ya watu wa kusini si wabaguzi au wabinafsi hasa hasa kwa wageni.
Namkumbuka che Mkapa kwa hotuba zake zenye mikakati na mipango. Sio taarabu na mipasho tunayosikia huko kwa majirani zetu😀😀😀Ndiyo! Rais mkapa hakua mbinafsi hata kidogo na yawezekana ndiyo Rais ambae hakupendelea kwao kabisa mpaka anaondoka madarakani Rais mkapa hakupeleka vitu vingi sana kwao mtwara zaidi ya daraja la rufiji na zile barabara na hata barabara zilikamilika kipindi cha Kikwete si mkapa.Mkapa kwa nafasi yake alikuwa na uwezo wa kupeleka kila kitu ila sasa mpaka anaondoka mtwara hamna chuo kikuu cha kueleweka katika mkoa wa Mtwara,uwanja wa ndege wenyewe tia tia maji yaani kiufupi mikoa ya kusini hasa hasa kama ilivyosahaulika kipindi cha mkapa ndivyo hivyo itasahaulika vipindi vingine
Hiyo ndiyo desturi ya watu wa kusini na tabia ya watu wa kusini si wabaguzi au wabinafsi hasa hasa kwa wageni.
Eeh kwa mtu aliyesoma somo la Unafiki 101 anaelewa ulichoandikaKaskazini? 🐼😂
Kwahiyo Wewe ni Mnafiq uliyetukuka? 🐼Eeh kwa mtu aliyesoma somo la Unafiki 101 anaelewa ulichoandika
Eeeeh nilisomeshwa pale chuo kikuu cha unafiki cha Ccm, zanu pf, swapo na frelimo Kibaha pwaniKwahiyo Wewe ni Mnafiq uliyetukuka? 🐼
Waambie haoHata hilo daraja la Rufiji alijenga Mwinyi
Hilo daraja alianza kujenga mwinyi,pesa ya wamisri,limekamilika kipindi cha mkapa,alichokijua mkapa ufisadi tu,Ili ajipe ikulu ya lushoto,akapitisha serikali kuuzia watumishi wake nyumba za serikali,wakauziana majumba kwa 5m,magu akamhonga kabula nkNdiyo! Rais mkapa hakua mbinafsi hata kidogo na yawezekana ndiyo Rais ambae hakupendelea kwao kabisa mpaka anaondoka madarakani Rais mkapa hakupeleka vitu vingi sana kwao mtwara zaidi ya daraja la rufiji na zile barabara na hata barabara zilikamilika kipindi cha Kikwete si mkapa.Mkapa kwa nafasi yake alikuwa na uwezo wa kupeleka kila kitu ila sasa mpaka anaondoka mtwara hamna chuo kikuu cha kueleweka katika mkoa wa Mtwara,uwanja wa ndege wenyewe tia tia maji yaani kiufupi mikoa ya kusini hasa hasa kama ilivyosahaulika kipindi cha mkapa ndivyo hivyo itasahaulika vipindi vingine
Hiyo ndiyo desturi ya watu wa kusini na tabia ya watu wa kusini si wabaguzi au wabinafsi hasa hasa kwa wageni.
Hata hilo daraja la Rufiji alijenga Mwinyi
Kabula? Can you dig more?Hilo daraja alianza kujenga mwinyi,pesa ya wamisri,limekamilika kipindi cha mkapa,alichokijua mkapa ufisadi tu,Ili ajipe ikulu ya lushoto,akapitisha serikali kuuzia watumishi wake nyumba za serikali,wakauziana majumba kwa 5m,magu akamhonga kabula nk
Mwambie ukweli huyu hajui! Alijimilikisha kinyume cha katiba kabisa!Acha upotoshaji huyu si alijimilikisha mpaka mkodi wa makaa ya mawe kwa bei ya nyanya. Ccm wote ni wezi
A.k.a kbKabula? Can you dig more?
Juma Ngasongwa alipambana sana kubishana na Mrema kuhusu tofali la dhahabuUsitukumbushe habari za Kiwira, tofali la dhahabu na mengine tusiyotaka kuyajua
Kusema ukweli watu wa hapo visiwani ni wabaguzi sana na wakiwa huku wanajidai wastaarabu kweli yani.ni watu ganj tz ambao ni wabaguzi
Who this?A.k.a kb
Huyo mkapa unaemsifia unajua aliwafanya nn hao waislam unaowaita wabaguzi, kitu ambach hata yeye mwenyew anakijutia mpk kufikia kukiandik ktk kitabu chake kwamba anakijutia, mpk kufa kwake,
Mzee wa kufukuza watumishi wa ummaHuyo mkapa unaemsifia unajua aliwafanya nn hao waislam unaowaita wabaguzi, kitu ambach hata yeye mwenyew anakijutia mpk kufikia kukiandik ktk kitabu chake kwamba anakijutia, mpk kufa kwake,
Wacha kukurupuka ukiongozwa na chuki binafsi,
Kebi hotelWho this?