Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Mkapa ni Rais wa pili kwa ubora. tangu Tanzania iumbwe.
Ni mbora sana kwako kwa kuwauwa Wazanzibari na wengine kwenda ukimbizi Somalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa ni Rais wa pili kwa ubora. tangu Tanzania iumbwe.
Ruangwa stadiumNdiyo! Rais mkapa hakua mbinafsi hata kidogo na yawezekana ndiyo Rais ambae hakupendelea kwao kabisa mpaka anaondoka madarakani Rais mkapa hakupeleka vitu vingi sana kwao mtwara zaidi ya daraja la rufiji na zile barabara na hata barabara zilikamilika kipindi cha Kikwete si mkapa.Mkapa kwa nafasi yake alikuwa na uwezo wa kupeleka kila kitu ila sasa mpaka anaondoka mtwara hamna chuo kikuu cha kueleweka katika mkoa wa Mtwara,uwanja wa ndege wenyewe tia tia maji yaani kiufupi mikoa ya kusini hasa hasa kama ilivyosahaulika kipindi cha mkapa ndivyo hivyo itasahaulika vipindi vingine
Hiyo ndiyo desturi ya watu wa kusini na tabia ya watu wa kusini si wabaguzi au wabinafsi hasa hasa kwa wageni.
Wakina Mangi ndio wana hizo tabia