Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Basi vyama vianze kuanda vipindi vya youtube wasihangaike kwenda mikoani, wawe wanawambia wananchi waingie youtubeAmini usiamini siasa zinafuatiliwa sana tu kupitia online Tvs, Twitter, Facebook, Instagram etc. Zile siasa za majukwaani zilipumzishwa kwa miaka mitano hivi ...si rahisi ziibuke ghafla hivi.......yaani ndio kumepambazuka pigeni kazi ya uenezi vijana....
Hujajibu swali bwashee!Kuna wema sepetu wangapi unaowafahamu?
Perspective is bias.Lissu awe karibu na Wananchi mara ngapi? Unayajua aliyoyafanya Lissu Nchi kuwasaidia Watanzania wanyonge mbali mbali bila kudai hata senti moja?
Kumbe!Segeria walikuwa wenyewe tumeishia taifa
Yaani na kwenye Mpira ingekuwa timu moja ndo inachagua mkereketwa wake awe refa halafu Huyo refa kabla mechi haijaanza anawapiga kadi nyekundu wachezaji 7 wa timu shindani usingeona shabiki hata mmoja uwanjani bwasheee!
PoleniHio ni sababu nojawapo, ila yaliyofanyika miaka hii mitano(siasa za kuunga mkono juhudi na haya ya leo ya kuengua wapinzani na mengineyo ya siku za nyuma),yamechangia sana kuwakatisha wananchi tamaa kufuatilia mambo ya siasa.
Anayo sana ndiyo kipindi chake ubunifu wa vilabu umeongezeka hadi tukafika AFCON chuki yenu kwa Magufuli mtaugua vichomi yule ni mtendaji ni sawa na kumkaba Messi atakuacha tu.T2020JPMKula tano mwanangu, watu wanaoshabikia mpira kwani ndio sehemu ambayo kuna haki. Huko kwenye mpira tuombe tu Magufuli asiwe na timu. Itakuwa sio ajabu timu anayoishabikia ikachukua kombe bila hata kuingia uwanjani.
Teh teh teh. Una point kubwa hapa. Nawapa ari hawa wanasiasa na wafuasi wao walio mstari wa mbele wawe na plans A, B, C n.k. Mfano mzuri hakuna siasa kwenye radios, magazeti na Tvs kwa takribani miaka mitano iliyopita. Lakini bado wameweza kuwafikia wananchi kwa kiwango kizuri kupitia mitandao niliyoianisha hapo juu.... Bila plan B na C wangeshatoweka kwenye ulingo wa siasa. Ni mtazamo tu.......Basi vyama vianze kuanda vipindi vya youtube wasihangaike kwenda mikoani, wawe wanawambia wananchi waingie youtube
Ila siku ya kupiga kura watajitokeza na kukipa kura chama cha rangi za jezi zao.
P
Acha umbea loh!Hio ni sababu nojawapo, ila yaliyofanyika miaka hii mitano(siasa za kuunga mkono juhudi na haya ya leo ya kuengua wapinzani na mengineyo ya siku za nyuma),yamechangia sana kuwakatisha wananchi tamaa kufuatilia mambo ya siasa.
Anayo sana ndiyo kipindi chake ubunifu wa vilabu umeongezeka hadi tukafika AFCON chuki yenu kwa Magufuli mtaugua vichomi yule ni mtendaji ni sawa na kumkaba Messi atakuacha tu.T2020JPM
Kuna mambo mengine katika maisha yana umuhimu mkubwa sana kuliko kwenda kuangalia mpira.
Hiyo 'fair ground' inapiganiwa... Hauletewi kwenye kisahani. Yaani upinzani ukianza kukata tamaa sababu ya vitu ambavyo si muhimu sana ( kama Segerea hakukuwa na nyomi na kadhalika) badala ya kunadi sera za maendeleo na kuzisambaza kwa njia mbalimbali. Mtashindwa uchaguzi asubuhi hii wakati bado mna miezi miwili ya kampeni......Siasa haina mvuto kutokana na kukosa fair ground. Watu wanaona bora wakaangalie mpira tuu. Huko kwenye siasa CCM inataka kila siku yenyewe ishinde tuu hata kwa kutumia nguvu sasa kuna siasa tena hapo.
Wrong and wishful thinking!Yes na Chama wanachokipenda ni kile cha rangi zao!.
P
Hujajibu swali bwashee!
Sipati picha nyomi kama hii ikisheheni kwenye mkutano wa chama cha siasa hali itakuwaje huko mitandaoni.
Je, mapenzi ya vilabu vya mpira hasa Simba na Yanga yanazidi yale ya vyama vya siasa?
Maendeleo hayana vyama!
Nimekuelewa!Ni Mbwiga ( Mshamba ) tu pekee na Mtu asiyejua Masuala ya Mpira na pia siyo Mfuatiliaji angeshangaa 'Nyomi' la leo la wana Yanga SC pale Benjamin Mkapa Stadiium. Wana Yanga SC leo wamejitokeza kwa wingi ule kwa sababu Kuu zifuatazo...
1. Hasira za Michambo ya Msemaji wa Simba SC Haji Manara kuwa hawana Ubavu wa Kujaza Uwanja.
2. Kuaminishwa Kwao na Uongozi wao lakini hasa hasa Wadhamini GSM kuwa sasa nao Wamesajili Majembe na wana Jeuri ya Pesa.
3. Wana Yanga SC wamejitokeza kwa wingi vile ili Kuwaangalia na Kuwathibitisha Wachezaji Wao wapya waliosajiliwa na kupokelewa kwa Nyodo
4. Hamasa Kubwa kutoka katika Vyombo mbalimbali vya Habari nayo imechangia Kuujaza Uwanja
5. Mafanikio ya Simba SC ambayo Kwao Yanga SC imekuwa ni Kero na Karaha hivyo nao wametaka Kujitutumua Kujazana ili Kuwajibu Simba SC
6. Uwepo wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne ( ambaye ni mwana Yanga SC ) Mwenzao umechochea Mashabiki wengi Kujitokeza kwa Umati
7. Ujio wa Msanii Harmonize ( Konde Boy ) ambaye ni Mshindani mkubwa wa Diamond ( mwana Simba SC ) nao ni Kichocheo cha Kujazana
Yangu ni haya tu!