Hii ni tafakuri ya wazi kufahamu tunasimama wapi.
Zanzibar kunazidi kunoga. Bila shaka uchumi wao ukiwamo wa mtu mmoja mmoja kwa sasa unazidi kupaa kwa kasi kuliko popote duniani.
Washukuriwe marais Mwinyi na Samia wana shupavu wa kitanzania.
Uvuvi wa majahazi unaondoshwa na wavuvi sasa kutumia maboti ya kisasa kama Ulaya.
Kwasemekana, Zanzibar kwaja jengo refu zaidi kuwahi kuonekana Afrika mashariki na kati.
Barabara, viwanja vya ndege, Bandari nk, vilinganishwe na vya wapi?
Bei za vitu, mfumuko wa bei nk, mwangwi wake hausikiki kutokea Zenji. Hivi huko hata tozo za Dk. Mwigulu nako zipo?
Wao wanapata ajira serikalini kwa quota isiyokuwapo kokote bara. Wanapata mgao wa mikopo na misaada kutoka nje kwa quota isiyokuwapo bara. Wanapata mgao wa mapato ya ndani kwa quota isiyokuwapo popote. Nk nk.
Kwa hakika kwa hali hii, kwa wazanzibari kipaumbele ni kukuza uchumi na maendeleo yao kwanza. Kukamata fursa zao au kuchukua chao mapema.
Kwa mtaji huu watake katiba mpya yenye kuyaweka rehani hayo ya nini?
Labda hiyo ije wakati rais JMT siyo Mama Samia.
Haina shaka kuwa utulivu tunaouona, ni matokeo ya maajabu ya hali ya uchumi unavyoendelea kushika nafasi yake huko.
--------
Nyuzi ambatanishwa:
Zanzibar Wavuvi wapewa Boti za Kisasa, Bara kulikoni?
Zanzibar kunazidi kunoga. Bila shaka uchumi wao ukiwamo wa mtu mmoja mmoja kwa sasa unazidi kupaa kwa kasi kuliko popote duniani.
Washukuriwe marais Mwinyi na Samia wana shupavu wa kitanzania.
Uvuvi wa majahazi unaondoshwa na wavuvi sasa kutumia maboti ya kisasa kama Ulaya.
Kwasemekana, Zanzibar kwaja jengo refu zaidi kuwahi kuonekana Afrika mashariki na kati.
Barabara, viwanja vya ndege, Bandari nk, vilinganishwe na vya wapi?
Bei za vitu, mfumuko wa bei nk, mwangwi wake hausikiki kutokea Zenji. Hivi huko hata tozo za Dk. Mwigulu nako zipo?
Wao wanapata ajira serikalini kwa quota isiyokuwapo kokote bara. Wanapata mgao wa mikopo na misaada kutoka nje kwa quota isiyokuwapo bara. Wanapata mgao wa mapato ya ndani kwa quota isiyokuwapo popote. Nk nk.
Kwa hakika kwa hali hii, kwa wazanzibari kipaumbele ni kukuza uchumi na maendeleo yao kwanza. Kukamata fursa zao au kuchukua chao mapema.
Kwa mtaji huu watake katiba mpya yenye kuyaweka rehani hayo ya nini?
Labda hiyo ije wakati rais JMT siyo Mama Samia.
Haina shaka kuwa utulivu tunaouona, ni matokeo ya maajabu ya hali ya uchumi unavyoendelea kushika nafasi yake huko.
--------
Nyuzi ambatanishwa:
Zanzibar Wavuvi wapewa Boti za Kisasa, Bara kulikoni?