Yawezekana Zanzibar hawahitaji Katiba Mpya sasa

Yawezekana Zanzibar hawahitaji Katiba Mpya sasa

Tofautisha wabara na CCM pamoja na walio madarakani ambao hawatataka katiba mpya lije jua au ije mvua. Hao ndiyo walio walamba asali.


Tutambuane, nani ni nani katika kudai Katiba mpya

Si kweli kuwa wabara tumekuwa tunashangaa madai ya katiba mpya bali tumekuwa bega bega na tunaendelea kuidai kwa kasi ile ile.

Swali la msingi:

"Kwa kauli yako hiyo ina maana harakati za madai ya katiba mpya sasa ndiyo basi tena?"

Hata hivyo nikushukuru kwa kutambua kuwa hata sisi hatuna tatizo na mafanikio yenu au ya awaye yote. Pamoja nayo ingependeza zaidi tukajua japo kwa namba. Vipi huko kwenu:

1. Lita moja ya petrol ni shs ngapi?
2. Lita moja ya diesel ni shs ngapi?

Kwamba:

(a) Majahazi kwenu yaenda kuwa historia huo ni ukweli na utekelezaji wake ushaanza. Jambo la kupigiwa mfano kabisa kote Afrika, Asia, South na Central America.

(b) Kwamba wazee wote kwenu wanalipwa mishahara hili nalo la kupigiwa mfano duniani kote.

Kwa hakika mko kwenye right track. Huku si ndiko kulamba asali?

Kwenye haya mengine kwanini tusiungane sote kuona kuna usawa wa migao ya fursa zote (mikopo, misaada, mapato, ajira nk)? Yaani ikawa per capita, ukiwamo ulipaji wa madeni?
Lita ya petroli kwa sasa ni zaidi ya shilingi 2640.

Suala la jahazi kuondoka sijalisikia ila, kama nilivyosema, ningependa kuona hilo likitendeka.

Wazee hawalipwi mshahara ila wanapewa fursa za ustawi wa jamii kama shiligi 20,000.

Ama kuhusu hayo mengine sidhani kwamba kutakuwa na usawa ila kinachotakiwa ni kila mtu kupata haki anayostahiki kulingana na sheria na taratibu tulizojiwekea wenyewe, jambo ambalo sasa halifanyiki.
 
Lita ya petroli kwa sasa ni zaidi ya shilingi 2640.

Suala la jahazi kuondoka sijalisikia ila, kama nilivyosema, ningependa kuona hilo likitendeka.

Wazee hawalipwi mshahara ila wanapewa fursa za ustawi wa jamii kama shiligi 20,000.

Ama kuhusu hayo mengine sidhani kwamba kutakuwa na usawa ila kinachotakiwa ni kila mtu kupata haki anayostahiki kulingana na sheria na taratibu tulizojiwekea wenyewe, jambo ambalo sasa halifanyiki.

Suala la majahazi liko hapa:

Zanzibar Wavuvi wapewa Boti za Kisasa, Bara kulikoni?

Jambo la kheri kabisa.

Haki sawa kwa wote inawezekana kama ulivyokuwa wito wa Maalim na CUF original.

Tulikuwa hapa:



Kutosikika kwa mwangwi wa malalamiko ya kukosekana haki ghafla kunatokana na nini basi?
 
Suala la majahazi liko hapa:

Zanzibar Wavuvi wapewa Boti za Kisasa, Bara kulikoni?

Jambo la kheri kabisa.

Haki sawa kwa wote inawezekana kama ulivyokuwa wito wa Maalim na CUF original.

Tulikuwa hapa:

View attachment 2188565

Kutosikika kwa mwangwi wa malalamiko ya kukosekana haki ghafla kunatokana na nini basi?
Huenda hufuatilii sana Zanzibar na huenda ni kwasababu haikuhusu. Kama umewahi kumsikiliza VP1 Zanzibar huenda usingeandika hivi. Inahitaji kuijua vema Zanzibar ili kujenga hoja. Hakuna kukosekana kwa mwangi wa kukosekana haki ghafla kwani malalamiko yanaendelea kama ambavyo sasa ninayatoa. Tatizo ni ule msemo wetu Waswahili "kitanda usichokilalia huwajui kunguniwe". Mwenzetu haupo kwani unafaidi keki ya taifa na kwako ni kupigana kufa na kupona ili isikutoke.
 
Huenda hufuatilii sana Zanzibar na huenda ni kwasababu haikuhusu. Kama umewahi kumsikiliza VP1 Zanzibar huenda usingeandika hivi. Inahitaji kuijua vema Zanzibar ili kujenga hoja. Hakuna kukosekana kwa mwangi wa kukosekana haki ghafla kwani malalamiko yanaendelea kama ambavyo sasa ninayatoa. Tatizo ni ule msemo wetu Waswahili "kitanda usichokilalia huwajui kunguniwe". Mwenzetu haupo kwani unafaidi keki ya taifa na kwako ni kupigana kufa na kupona ili isikutoke.

Ni lazima nikiri bila ya mwangwi kusikika si rahisi sana kujua nini kamili kinajiri kwa wenzetu.

Kwamba kadhia ya kukosekana haki kwetu haituhusu? Hiyo itakuwa si sahihi.

Kwa mpenda haki yeyote haki kwake ni kipaumbele tokea nyumbani hadi Ukraine. Ndiyo maana hatuna tatizo na mafanikio yenu.

Hata hivyo imetushangaza wenzetu kuona kana kwamba mambo yamebadilika. Kauli za kina Jussa, Ally Salehe na wengine leo siyo tulizozizowea.

Wenzetu mnaongelea tume huru si katiba mpya tena. Kwamba katiba mpya si kipaumbele, kwetu sisi hili lina ukakasi.

Kumbuka ni matumaini yetu kuwa katiba mpya ndiyo itakayo tuhakikishia sote haki sawa na ikibidi kila watu kuchukua hamsini zake:

IMG_20220325_185419_284.jpg


Au wewe haudhani hivyo mkuu?
 
Kwamba kadhia ya kukosekana haki kwe
Mkuu sijasema wala kuandika kwamba kadhia ya kukosekana mwangi haiwahusu, jaribu kupitia tena nilichoandika.

Ama kuzungumzia tume badala ya katiba huenda ya Jussa na wengine isiwe ndo msimamo wa Wazanzibari kama ambavyo umedai kutokupigania katiba kwa maCCM sio msimamo wa Watanzania wote ila Wazanzibari hivi sasa hawazingumzii/hawaipiganii.

Kwa bahati Wazanzibari wana katiba mbili - ya Jamhuri na ya Zanzibar na zote zinahitaji kutungwa upya lkn wakati ule tukidai mukituzihaki kwasababu mukifaidi; hivi sasa koti limebana munataka kulivua lkn halivuki na munadhani tatizo ni Zanzibar.

Hapa kuna funzo kubwa Kwa wenye tafakuri kwamba usimdharau mamba kabla hujavuka mto.

Wazanzibari, kama walivyo Wabara, wengine wanataka mabadiliko na wengine hawayataki kwasababu sasa hivi wao wanafaidi ile keki ya taifa na wanajiaminisha kwamba ni yao pekeyao.

Kabla sijasahau wasalimie akina Makonda. Waambie mwenda tezi na omo hurejea ngamani. Nimesema hii ili kijikumbusha majahazi kabla hayajaondoka kama ulivyoniambia kwamba yako njiani kuondoka 😄😄.
 
Mkuu sijasema wala kuandika kwamba kadhia ya kukosekana mwangi haiwahusu, jaribu kupitia tena nilichoandika.

Ama kuzungumzia tume badala ya katiba huenda ya Jussa na wengine isiwe ndo msimamo wa Wazanzibari kama ambavyo umedai kutokupigania katiba kwa maCCM sio msimamo wa Watanzania wote ila Wazanzibari hivi sasa hawazingumzii/hawaipiganii.

Kwa bahati Wazanzibari wana katiba mbili - ya Jamhuri na ya Zanzibar na zote zinahitaji kutungwa upya lkn wakati ule tukidai mukituzihaki kwasababu mukifaidi; hivi sasa koti limebana munataka kulivua lkn halivuki na munadhani tatizo ni Zanzibar.

Hapa kuna funzo kubwa Kwa wenye tafakuri kwamba usimdharau mamba kabla hujavuka mto.

Wazanzibari, kama walivyo Wabara, wengine wanataka mabadiliko na wengine hawayataki kwasababu sasa hivi wao wanafaidi ile keki ya taifa na wanajiaminisha kwamba ni yao pekeyao.

Kabla sijasahau wasalimie akina Makonda. Waambie mwenda tezi na omo hurejea ngamani. Nimesema hii ili kijikumbusha majahazi kabla hayajaondoka kama ulivyoniambia kwamba yako njiani kuondoka 😄😄.

Kwa mustakabala wa kuweka yote sawa, niweke rejea halisi pote panapobidi.

"Kwamba kadhia ya kukosekana mwangwi haituhusu," hayo uliandika hapa, labda ufafanue:

IMG_20220416_083804_621.jpg


Kwamba si sahihi kuichukulia misimamo ya kina Jussa na wengine kama msimamo rasmi wa wazanzibari, hilo linatia moyo.

Ila hapo mwishoni panahitaji ufafanuzi zaidi:

IMG_20220416_085002_083.jpg


Kwamba "wazanzibari hawazungumzii, hawapigani."

Yawezekana kuwa ndiko kunakopelekea kukosekana kwa mwangwi kulikopelekea uwepo wa mada hii.

Hata hivyo hapa chini umelikoroga tena:

IMG_20220416_085721_587.jpg


Kama nilivyosema kwa ma CCM na walio madarakani, au ulivyo sema kwa akina Jussa, si sahihi kutuunganisha sote kwenye dhihaka unazozisema.

Kama watanganyika, koti la Muungano halijaanza leo kutubana. Rejea harakati za nyingi za kujikwamua zikiwamo za G55 na kina Njelu Kassaka.

Rasimu ya Warioba ina maoni ya wabara walio wengi wenye kusisitiza serikali 3.

Tuwabeze vipi nyie wenye mbili mkitaka ziandikwe upya, wakati sisi hali yetu ni mbaya zaidi tusiokuwa hata na yetu yenye kutusimamia kwa lolote?

Nisimalize bila kukutaarifu Makonda si mwenzetu bali mnufaika anayelindwa hata sasa kwa mujibu wa katiba iliyopo:

IMG_20220311_122821_910.jpg


Huyu kama Sabaya na wengi kama yeye, kunapo katiba ya haki makazi yao ni kwenye skuli za mafunzo.

Tujuliane hali yakhe kabla hujatokomea na jahazi lako:

"Katiba mpya ingali ni agenda yetu kuu yenye kubeba matumaini ya kesho bora zaidi huko kwenu pia?
 
Nilipata kuongea na Mzanzibari mmoja muelewa sana, ambae once alikua mstari wa mbele kudai katiba mpya.

Jawabu alilosema ni kwamba hata wao wanomba mchakato wa katiba mpya uanzie baada ya mwaka 2025, kwa sababu wajumbe wa baraza wawakilishi (almost wote ni waCCM) Zanzibar na wabunge wa JMT (CCM plus Mdee team) wote watakua ni wajumbe wa bunge la katiba.

Alisema CCM wana wakati mzuri kubadilisha katiba watakavyo miaka hii mitano kuliko kipindi chochote kutokana na Jiwe alovyoiba uchaguzi.

Hivyo katiba ikibadilishwa sasa, itakua kwa mujibu wa wanavyotaka CCM, na ikipigiwa kura na wananchi itakataliwa, -huko ni kupoteza muda na fedha- au CCM wataiba tena kura na kuipitisha rasimu yao, bila ya ridhaa ya waliowengi, -nako ni kutwanga maji-.

Kwa ujumla wao (wanaharakati wa Zanzibar) wanaona huu sio muda muafaka mpaka watakapopata angalau uwakilishi kwenye baraza la wawakilishi, na Bunge kutoka upinzani.
 
Nilipata kuongea na Mzanzibari mmoja muelewa sana, ambae once alikua mstari wa mbele kudai katiba mpya.

Jawabu alilosema ni kwamba hata wao wanomba mchakato wa katiba mpya uanzie baada ya mwaka 2025, kwa sababu wajumbe wa baraza wawakilishi (almost wote ni waCCM) Zanzibar na wabunge wa JMT (CCM plus Mdee team) wote watakua ni wajumbe wa bunge la katiba.

Alisema CCM wana wakati mzuri kubadilisha katiba watakavyo miaka hii mitano kuliko kipindi chochote kutokana na Jiwe alovyoiba uchaguzi.

Hivyo katiba ikibadilishwa sasa, itakua kwa mujibu wa wanavyotaka CCM, na ikipigiwa kura na wananchi itakataliwa, -huko ni kupoteza muda na fedha- au CCM wataiba tena kura na kuipitisha rasimu yao, bila ya ridhaa ya waliowengi, -nako ni kutwanga maji-.

Kwa ujumla wao (wanaharakati wa Zanzibar) wanaona huu sio muda muafaka mpaka watakapopata angalau uwakilishi kwenye baraza la wawakilishi, na Bunge kutoka upinzani.

Ni jambo lisilo na mashiko kufikia hitimisho kutokea katika mazungumzo na mtu mmoja asiyejulikana. Vipi mtu huyo kama ni Prof. Mukandara anayelenga ajira japo hadi 2029?

Vipi mtu huyo kama ni James Mbatia, Freeman Mbowe au Jenerali Ulimwengu?

IMG_20220329_204405_184.jpg


Kwanini wasiulizwe wenye nchi yao kwa uwazi tu?

Kwani utaratibu wa kupata katiba mpya ni lazima kutumia bunge au baraza la wawikilishi yaliyopo?

Kwanini tusitofautishe mawazo ya watu na chokochoko za ma afisa vipenyo na walamba asali ndugu?
 
Kama watanganyika, koti la Muungano halijaanza leo kutubana. Rejea harakati za nyingi za kujikwamua zikiwamo za G55 na kina Njelu Kassaka.
Nakubaliana nawe kwa hili lkn ni haohao ndugu zetu waliozima harakati za G55 na wala sio Wazanzibari. Nakumbka vema maneno ya mwalimu aliposema sera ya CCM si serikali tatu.
Rasimu ya Warioba ina maoni ya wabara walio wengi wenye kusisitiza serikali 3.
Mkuu suala la serikali tatu Liliwekwa wazi na Wazanzibari na ndio sababu ya aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar akapinga hadharani ubabaishaji na akajiuzulu, hivyo ukisema ni ya Wabara tu huitendei haki Zanzibar na humtendei haki aliyekuwa mwanasheria mkuu.
Katiba mpya ingali ni agenda yetu kuu yenye kubeba matumaini ya kesho bora zaidi huko kwenu pia?
Hili linabaki kuwa ni ajenda kwa wote wapenda haki na demokrasia hapa nchini kwetu iwe kutoka Bara au Zanzibar.

Nikuage ili nikimbilie jahazini kabla haijaondoka 😁😁😁😁😁
 
Nakubaliana nawe kwa hili lkn ni haohao ndugu zetu waliozima harakati za G55 na wala sio Wazanzibari. Nakumbka vema maneno ya mwalimu aliposema sera ya CCM si serikali tatu.

Mkuu suala la serikali tatu Liliwekwa wazi na Wazanzibari na ndio sababu ya aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar akapinga hadharani ubabaishaji na akajiuzulu, hivyo ukisema ni ya Wabara tu huitendei haki Zanzibar na humtendei haki aliyekuwa mwanasheria mkuu.

Hili linabaki kuwa ni ajenda kwa wote wapenda haki na demokrasia hapa nchini kwetu iwe kutoka Bara au Zanzibar.

Nikuage ili nikimbilie jahazini kabla haijaondoka 😁😁😁😁😁

Ninadhani tuko pamoja japo yawezekana hukunisoma vyema kwenye serikali 3.

IMG_20220416_110647_906.jpg


Hapa nilimaanisha tofauti kwa namba. Ni wazi kuwa kwa namba bara tuko wengi zaidi na hivyo bila shaka kwa idadi ya maoni pia.

Sina ufafanuzi wako bado kuhusu hili:

IMG_20220416_085002_083.jpg

Ufafanuzi wako tafadhali.
 
Ni jambo lisilo na mashiko kufikia hitimisho kutokea katika mazungumzo na mtu mmoja asiyejulikana. Vipi mtu huyo kama ni Prof. Mukandara anayelenga ajira japo hadi 2029?

Vipi mtu huyo kama ni James Mbatia, Freeman Mbowe au Jenerali Ulimwengu?

View attachment 2189359

Kwanini wasiulizwe wenye nchi yao kwa uwazi tu?

Kwani utaratibu wa kupata katiba mpya ni lazima kutumia bunge au baraza la wawikilishi yaliyopo?

Kwanini tusitofautishe mawazo ya watu na chokochoko za ma afisa vipenyo na walamba asali ndugu?
Kila mtu anayo nafasi ya kuwaza kwa mujibu wa maono yake, na kuyaishi maono yake, ni ulimbukeni kulazimisha maono yako watu wengine wayaishi.

Wao wameamua kusubiri, bila ya kumzuia mwengine yeyote kuendelea kupogania sasa.

Hakuna haja ya kuitana kichaa wala jina lolote baya.
Ni jambo lisilo na mashiko kufikia hitimisho kutokea katika mazungumzo na mtu mmoja asiyejulikana. Vipi mtu huyo kama ni Prof. Mukandara anayelenga ajira japo hadi 2029?

Vipi mtu huyo kama ni James Mbatia, Freeman Mbowe au Jenerali Ulimwengu?

View attachment 2189359

Kwanini wasiulizwe wenye nchi yao kwa uwazi tu?

Kwani utaratibu wa kupata katiba mpya ni lazima kutumia bunge au baraza la wawikilishi yaliyopo?

Kwanini tusitofautishe mawazo ya watu na chokochoko za ma afisa vipenyo na walamba asali ndugu?
 
Kila mtu anayo nafasi ya kuwaza kwa mujibu wa maono yake, na kuyaishi maono yake, ni ulimbukeni kulazimisha maono yako watu wengine wayaishi.

Wao wameamua kusubiri, bila ya kumzuia mwengine yeyote kuendelea kupogania sasa.

Hakuna haja ya kuitana kichaa wala jina lolote baya.

"Kila mtu anayo nafasi ya kuwaza." Hakuna anayebisha kwenye hilo.

Wapi unaposoma analazimishwa nani kuishi maisha ya mwingine popote kwenye bandiko langu?

Wapi unapoona kuna kuitana ukichaa au jina lolote baya kwenye bandiko langu?

Tafadhali tofautisha maandiko yangu na nukuu rasmi za watu. Zingatia pia maoni ya wenye nukuu hizo kama ndiyo wao pekee wanaochukuliwa maoni kwa lengo la kutoa hitimisho kama ulivyofanya wewe.

Kwamba?

"Wao wameamua kusubiri, bila ya kumzuia mwengine yeyote kuendelea kupogania sasa."


Haya unayapata wapi ndugu? Si umesema uliongea na mzanzibari mmoja tu?
 
Wazazibar kwa sasa wanaelea...kosa kubwa walilofanya ni kumwamini Zitto.

Zitto si wa kumwamni hata kidogo
 
Wazazibar kwa sasa wanaelea...kosa kubwa walilofanya ni kumwamini Zitto.

Zitto si wa kumwamni hata kidogo

Zitto ni nani hata kufanikiwa kuzima kiu ya walio wengi?
 
Leo Zanzibar hawana issue na mfumuko wa bei, hawana tozo za mwigulu, uchumi wao unapaa katika kila sekta. Habari njema kabisa kwao.

Zanzibar walikuwa hapa:

View attachment 2186286

Leo kimyaaaa! Si Pemba, ACT, CUF, wala Jussa. Habari njema kabisa pia.

Nini kimebadilika?

Si kuwa ni uwepo wa rais JMT ambaye ni mzanzibari ndiyo iliyo tofauti kuu leo? Bila shaka wangependa ikiwezekana hali hii idumu milele?

Hali hii inaweza kudumu milele katika katiba ya sasa peke yake. Kwanini watake mpya?
Wanasemaga kutesa kwa zamu ! Au siyo ??! Huenda walisubiri sana !!
 
Wanasemaga kutesa kwa zamu ! Au siyo ??! Huenda walisubiri sana !!
Kuna mawazo haya bwana Zawadini.

Haiingii akilini kuwa urais wa Samia JMT kwamba hauna mkono kwenye mabadiliko haya ya wazi yanayoonekana pande za kwenu huko.
 
Kuna mawazo haya bwana Zawadini.

Haiingii akilini kuwa urais wa Samia JMT kwamba hauna mkono kwenye mabadiliko haya ya wazi yanayoonekana pande za kwenu huko.
Ingekuwa na mantiki kama mama angekuwa ndo rais wa kwanza kutoka Zanzibar. Mzee Mwinyi naye alitoka Zanzibar na akafanya mambo Bara hadi kupewa jina la mzee wa rukhsa na Zanzibar haikuwa chochote. Wakati huo ingesemwa Mwinyi ANATOKA ZANZIBAR haisaidii Zanzibar basi leo tungesema haina mantiki kwamba maendeleo ya Zanzibar hayana mkono wa mama.

Napenda nitanabahishe kwamba mama ni rais wa Jamhuri ya Muungano ambayo imetokana na kuungana Zanzibar na Tanganyika. Ikitokea akifanya mambo ya maendeleo kwa Zanzibar ni kwa sababu ya nafasi yake ambapo wenzake walishindwa kwasababu wanazozijua wao.

Ikitokea kuna mkono wa mama kwenye maendeleo ya Zanzibar mimi, kama Mtanzania aliyetoka Zanzibar, ninampongeza ingawa sikatai wala sikubali mawazo hayo.

Zawadini
 
Ingekuwa na mantiki kama mama angekuwa ndo rais wa kwanza kutoka Zanzibar. Mzee Mwinyi naye alitoka Zanzibar na akafanya mambo Bara hadi kupewa jina la mzee wa rukhsa na Zanzibar haikuwa chochote. Wakati huo ingesemwa Mwinyi ANATOKA ZANZIBAR haisaidii Zanzibar basi leo tungesema haina mantiki kwamba maendeleo ya Zanzibar hayana mkono wa mama.

Napenda nitanabahishe kwamba mama ni rais wa Jamhuri ya Muungano ambayo imetokana na kuungana Zanzibar na Tanganyika. Ikitokea akifanya mambo ya maendeleo kwa Zanzibar ni kwa sababu ya nafasi yake ambapo wenzake walishindwa kwasababu wanazozijua wao.

Ikitokea kuna mkono wa mama kwenye maendeleo ya Zanzibar mimi, kama Mtanzania aliyetoka Zanzibar, ninampongeza ingawa sikatai wala sikubali mawazo hayo.

Zawadini

Ipo tofauti kubwa ya urais wa mzee ruksa miaka ya 1986 - 1995 na urais wa Samia leo.

Mwinyi alikuwa rais lakini uwepo wa Nyerere, rais hakuwa na mkono huru.

Angelikuwapo Nyerere mbona hata Magufuli angeufyata? Kizungumkuti cha Chatto kisingekuwapo na labda hata urais bwana yule angeusikia kwenye bomba tu?

Angalia tokea awamu ya tano katiba si kipaumbele tena na kila rais anajenga kwao. Mbona vituko?

Tokea awamu ya 5 aina za akina Sabaya, Makonda na wa namna hiyo kwamba ndiyo wazalendo.

Katiba haina maana. Nchi inaendeshwa kwa matakwa ya mtu binafsi. Rejea hapa:

IMG_20220416_155506_592.jpg
 
Ipo tofauti kubwa ya urais wa mzee ruksa miaka ya 1986 - 1995 na urais wa Samia leo.

Mwinyi alikuwa rais lakini uwepo wa Nyerere, rais hakuwa na mkono huru.

Angelikuwapo Nyerere mbona hata Magufuli angeufyata? Kizungumkuti cha Chatto kisingekuwapo na labda hata urais bwana yule angeusikia kwenye bomba tu?
Mkuu nazungumzia taasisi ya urais ambayo hushikiliwa na mtu/watu. Unataka kunambia Nyerere alimwambia aachane na Zanzibar? Ikitokea kuwa hivyo maneno yangu ya kwamba mama atakuwa anafanya mambo yaliyowashinda wengine itakuwa na mashiko. Siamini hoja hiyo.
Angalia tokea awamu ya tano katiba si kipaumbele tena na kila rais anajenga kwao. Mbona vituko?
Hili la kujenga kwao awamu hii sijaliona, huenda nahitaji ushahidi.
Tokea awamu ya 5 aina za akina Sabaya, Makonda na wa namna hiyo kwamba ndiyo wazalendo.
Hili nalo linataka ushahidi. Hivi ninaweza kupata Umakonda na Usabaya kwenye awamu hii?

Huku kwetu mvua zinanyesha napaswa kukimbilia jahazini kutoa maji. Nina ndoto siku jahazi zikihama niweke moja makumbusho kwa ajili ya vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom