Rotation yake yeye na Silva? uyo kocha kaugua ? wabongo bana Pana chakulalamika hapo ?
Kubali au ukatae, Yaya Toure ndiye alikuwa mchezaji influential sana Manchester City wakati wa Roberto Mancini na Emmanuel Pellegrino.
Au umesahau hiyo?
Yaya Toure hajawah kuwa Zaidi ya Silva hata siku moja.
Nahuo wakati wa Mancini unaozungumzia weye ndiomana timu ilikua very average kutokana na wachezaji kama yeye, Na saivii timu ni tishio kabisa kutokana na kuleta wachezaji wenye ubora.
Kama ni hivyo basi angemruhusu kusajiliwa na timu zingine zilizokuwa zikimhitaji wakti ule (msimu wa 15/16/ na 16/17 au 17/18) badala ya kumzuia au na hii waionaje?
Mkuu, uko serious kweli unaita ile timu ilikuwa average?
Lakini Silva si amecheza na Yaya Toure timu moja pamoja na Mario Balotelli?
Mbona unasahau ukweli kwamba Manchester imetwaa ubingwa wa Ligi kuu ya England Toure akiwa na huyo Silva?
Ilikua average, City ya mwaka huu haijawahi kutokea, nafikiri record zote za nyuma wamevunja. Wameiguza ligi kuwa one horse race, hiyo unayoizungumza weye haikuahi kufanya hivo.
Anajua! Ndio maana yuko Barcelona.Andrea Gomes anajua?
Hiyo haina ubishi ingawa hawakuweka rekodi ya kutofungwa msimu mzima.
Ila tukirudi kwenye mada ni kwamba Guadiola anashutumiwa kwa ubaguzi dhidi ya wachezaji wa kutoka Afrika.
Hiyo ni shutuma nzito na Machester City bado wanaitafuna na wamekataa kujibu mapigo.
Ila kuna maoni mengine kutoka sehemu mbalimbali kumhusu Guadiola.
Hata mimi naweka mashaka kidogo kutokana na suala la aina ya mtindo ambao Guadiola anataka wachezaji wacheze wawapo uwanjani.
Inawezekana wachezaji wengi kutoka Afrika huwa hawafuati maelekezo vile inavyotakiwa na kuamua kujichezea "chandimu" kwamba liwalo na liwe.
Lakini hii itakuwa ni kujidhalilisha kukubali kwamba pamoja na unyota wao nao wachezaji hawa bado wana mapungufu katika suala la kufuata maelekezo ya meneja anataka nini.
Ndiyo maana Fernandinho ametumika sana labda kutokana na utaalam wa wachezaji kutoka Brazil
Sasa Fernandinho na Yaya Toure nani alikuwa analipwa zaidi pale Manchester City?
Yaya Toure alikuwa akilipwa pauni 200,000 kwa wiki zaidi ya Fernandinho na Silva!
Je, alikuwa alilipwa fedha hizo kutokana na jina tu ama uchezaji wake awapo uwanjani?
Mazingira mkuu, Yaya alisainiwa kwa mkataba mnono kutokana na mazingira aliosainiwa ya kugombeana na timu nyengine, isitisho nafikiri kama jamaa humfahamu jinsi alivokua anatikisa kibiriti kilasika kwa lengo awe anaengezewa mshahara mara kwa mara, je uliwahi ona Silva kaleta drama ili aengezewe mshahara?
Kuhusu suala la ubaguzi ni uzushi tu, waafrika tuna matatizo sana tunapokosa kitu tu tunafukuzia kwenye kubaguliwa.
Katika mchezaji aliekua anachukiza kwa washbiki wa Barcelona basi ni keita, na alikua anapendwa sana na Pep. unamkuta yupo katikati ya kina Messi, Xavi na Iniesta. kuachwa kwa Yaya ilitafsiriwa ni ubaguzi lakini keita na Abidal kuendelea kucheza kwenye timu watu hawakuliona.
Kuihalisi yaya yupo too slow kuweza kufit kwenye standard ya Pep, na uwezo wake huwezi ufananisha na wa Silva au De bruyn. Na hata kwa position Dm Fernandinho anacheza vizuri zaidi kuliko yaya.
Yaya alikuwa DM. Ndio maana aliwekwa benchi ili mtoto wa nyumbani Sergio Busquet apate nafasi.Nimekupata hapo.
Seydou Keita aikuwa ni DM na Eric Abidal alikuwa ni beki mshahara wa kushoto au beki wa kati.
Hawa wawili hawakuwa na mbadala kwani pale Barca hata Maxwell alipoletwa na Pep Guadiola hakuweza kumtoa Abidal kwenye hiyo nafasi.
Keita unafahamu release clause yake kutoka Sevilla kwenda Barca ilikuwa ni kiasi gani? Euro milioni 90.
Ila Pep angeweza hata kumchezesha mechi ambazo si more competitive badala ya kumuacha kabisa nje akasugua bench.
Hali hii huleta sintofahamu kubwa.
Au labda tuseme pia kwamba kwa kuwa Yaya Toure alikuwa ni attacking midfielder basi hakuwa na uwezo wa kushawishi mechi zipi acheze.
Au asiyo?
Tuseme n waafrika kabisa,Weusi au waafrika?..kwa sababu sterling,fernandinho wote hawa ni weusi
Hii itakaa vizuri..ashamfanyia upuuzi pia etoo ila alikuja kumlambisha vumbi wakati barcelona ilipokutana na inter kwenye nusu fainali ya uefa 2010Tuseme n waafrika kabisa,
Umeandika ki-thailand[emoji3] [emoji3] [emoji3]Fg the gv the jhg the s gfam GH the gg gbe gjg hg hgI v the f
Imejitype bahati mbayaUmeandika ki-thailand[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nikiweka kando kinachojadiliwa kuhusu ubaguzi wa pep dhidi ya waafrika,Yaya anatabia za ajabu sana za kilialia.Jamaa dume zima lina mambo ya ajabu kabisa. sijui anajihisi kama anakiwango kama cha iniesta au modric nahisi.
Kuna kipindi alinuna kisa timu haijamfanyia birthday !!!!!!!!!