Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
Kwa ufahamu wangu City imevunja record yake ya magoli msimu huu. Sio lazima afunge lakini silva anabaki kuwa ndio most creative player kwenye Man city for the last 10 years.
Kiungo kufunga magoli 17 ni jambo dogo ?!!
Nakuona unavyokwepesha kuwa sio lazima Silva afunge, kwani cha lazima kwa YAYA ni nini labda?