Mazingira mkuu, Yaya alisainiwa kwa mkataba mnono kutokana na mazingira aliosainiwa ya kugombeana na timu nyengine, isitisho nafikiri kama jamaa humfahamu jinsi alivokua anatikisa kibiriti kilasika kwa lengo awe anaengezewa mshahara mara kwa mara, je uliwahi ona Silva kaleta drama ili aengezewe mshahara?
Kuhusu suala la ubaguzi ni uzushi tu, waafrika tuna matatizo sana tunapokosa kitu tu tunafukuzia kwenye kubaguliwa.
Katika mchezaji aliekua anachukiza kwa washbiki wa Barcelona basi ni keita, na alikua anapendwa sana na Pep. unamkuta yupo katikati ya kina Messi, Xavi na Iniesta. kuachwa kwa Yaya ilitafsiriwa ni ubaguzi lakini keita na Abidal kuendelea kucheza kwenye timu watu hawakuliona.
Kuihalisi yaya yupo too slow kuweza kufit kwenye standard ya Pep, na uwezo wake huwezi ufananisha na wa Silva au De bruyn. Na hata kwa position Dm Fernandinho anacheza vizuri zaidi kuliko yaya.