Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Yaya ana matatizo yake, Pep pia ana matatizo yake. Ila kusema Zlatan alikua bora kuliko E'too inaonyesha jinsi gani hujui mpira. E'too kamgaragaza mara kibao kwenye polls Zlatan kwa suala la ubora. Ukweli mchungu, Pep alikua na hila na E'too. Msiwe kama mijinga.Zlatan ni zaidi ya etoo bwana, waafrika sometimes tunapenda ongeza chumvi tu
Wee jamaa mpira unaujua.Heshima ya Toure Man city haiwezi kufutwa na yeyote.
Hawa akina De bruyne wa msimu mmoja ndio wafanye ubora wa Yaya upotee kweli.?? Yaya ni mzee sasa hawez kupata nafasi.
Ila sio kwa kutompa heshima yake.. Toure ameibeba City tangu atue pale tuache ubishi.. Kusema silva anamzid labda baada ya Pep kuja pale.. lakin uwezo Yaya ni hatar., anakaba, anapiga pasi, anafunga... Bila ubishi toure amenyimwa heshima yake wazi wazi.
Sina rekod ya kile alichofanya barcelona.. ila kwa man city Tajeni middle Mwingine wa kumzidi Toure pale city sio hawa mnaotaja humu.. Na mtu kuzeeka hakufuti mchango aliotoa kwenye timu.
Style yake ya kushangilia anakimbia anakaa chini na kutawanya mikono.. Aagh bhana YAYA TOURE si mchezo acha achoke awaachie wadogo zake km alivyofanya INIESTA.
Pep ni mbaguzi hata kwa Eto'o ilikuwa wazi.. Alipofunga final ya UEFA aliuma ngozi yake kama ishara ya kubaguliwa nadhani baada ya hapo akapigwa bei akaja Zlatan.
Hadi kesho BUSQUET Hamfikii Yaya ni Uzawa tu na Baba wa SERGIO BUSQUET Alicheza pale
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Toure hajui kupiga basi za mwisho ukweli mchungu
Si ndo hapoVichekesho kabisa. Sasa alitaka nani akae nje ili acheze yeye David Silva? au De bryne ?
[emoji2] [emoji2] makavuRotation yake yeye na Silva? uyo kocha kaugua ? wabongo bana Pana chakulalamika hapo ?
Wewe peke yako,Sisi waafrika kazi kulalamika tu, ndiyomaana hatuendelei...sisi kwa sisi tunachukiana, waarabu tunawachukia, wahindi tunawachukia...hii ngozi sijui ni nani alituloga...ni bora ningezaliwa mchina au mwarabu.
Eto'o won back to back trebles with 2 different clubs which is an incredible achievement. His time at the top was shorter than Ibra, but achieved greater success.
Come funks wherever you are. Kijitu cheusi kinakuja kinakuambia Zlatan alikua bora kuliko Etoo. Etoo muda mfupi mafanikio lukuki. Na zaidi kafanikiwa ktk zama soka lina ushindani mkali tofauti na sasa. Nimeandika hii kumjibu pimbi anayesema Zlatan alikua bora than Etoo (in support of the transfer).
Bora hata umemuambia,haoni hiyo mitifuano ya kikatalonia na madridi?Ubaguzi hata wazungu wao kwa wao wanabaguana, Wataliano kwa mfano- mroma na mmilani wanabaguana sana tu wao kwa wao
Rudia kusoma panapoanzaSijui nani ni pimbi
usileta hoja ya kuwin trebles mchango gani alitoa kwenye hizo trebles win ndio la muhimu. Hata Tores aliwin world cup, Lakini hakuna foward aliukua butu zaidi yake kwenye yale mashindano.
Rudia kusoma panapoanza
"His time at top was shorter than Zlatan but with great achievement
.."
Nadhani hapo panatosha kufanya uamini alikua bora. We kataa ukubali huo ndo ukweli mtoto wa juzi.
Watu wanafanya makusudi kaka... Toure habar nyingineWee jamaa mpira unaujua.
Kwa kuwa hukuwahi kuutazama mpira vema kwa upana wake wewe tumia tu Google dogo.ndio tunataka kuujua huo ubora wake utukumbushe.
Muongo wewe.Toure hajui kupiga basi za mwisho ukweli mchungu
Poa poa mjuziMuongo wewe.
hata hivo Wewe Ni mweupe unataka uwe mweupe marangapBora ningezaliwa mweupe.
Kwamba Yaya Toure ni Mbongo????Wabongo kwa kulalamika tu eti kisa mtu mweusi
Zaidi ya Etoo na hata ubingwa wa UEFA hajawahi beba.Zlatan ni zaidi ya etoo bwana, waafrika sometimes tunapenda ongeza chumvi tu