Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BREAKING: TAMKO RASMI LA HEZBOLLAHSawa
Wewe Ndio huwajui Yemen, Yemen ni failed state and poorest Arab country.Umri wako mdogo huwajui Yemeni wewe.
We huko kanisani unaimbishwa kwaya tu si bora uwe Muislam utamjua Mungu si binadamuDini imekufanya zombie
Kiranja wao amechutuma halafu anawasukumiza sungusungu wa Yemen kwenda kupigana na Israel yenye silaha kali na mabomu ya nyuklia, hizo ni bangi za waasi wa Houth, bangi zikiisha watatulia, Israel linapokuja suala la kutishia usalama wake hana huruma hata kidogo, USA na nchi za Ulaya wana utu na huruma lakini siyo Israel, yeye ni jino kwa jino, boom kwa boom, juzi Hezbolah wamelianzisha Israel imeanza kuua viongozi wake wakaona utaisha, wamesitisha mashambulizi.Umri wako mdogo huwajui Yemeni wewe.
Unaropoka wewe tena unaropoka haswa.Wewe Ndio huwajui Yemen, Yemen ni failed state and poorest Arab country.
Hakuna mtu anayeijali Yemen zaidi ya kuwatumia tu.
As we speak Yemen imegawanyika sehemu mbili na Iko kwenye Civil war, Watu wake wako kwenye umasikini na njaa kupindukia.
Egpty Ndio taifa pekee la Kiarabu kwa sasa linaloweza kuichallenge Israel kwenye vita halisi.
Hawa Akina Yemen wanasifiwa na wajinga tu
Wanaume hawatachelewa kulipiza kisasi.🚨BREAKING: Initial reports of a MAJOR explosion in Tel Aviv.
Wanasifiwa na wajinga tu na kupondwa na sapumbavuWewe Ndio huwajui Yemen, Yemen ni failed state and poorest Arab country.
Hakuna mtu anayeijali Yemen zaidi ya kuwatumia tu.
As we speak Yemen imegawanyika sehemu mbili na Iko kwenye Civil war, Watu wake wako kwenye umasikini na njaa kupindukia.
Egpty Ndio taifa pekee la Kiarabu kwa sasa linaloweza kuichallenge Israel kwenye vita halisi.
Hawa Akina Yemen wanasifiwa na wajinga tu
Akili za kipunguani Yemen kafunga Red Sea hamna meli hata moja ya mabasha zako inakatiza, unatutajia Misri vibaraka hata risasi hawajui kutengeneza.Wewe Ndio huwajui Yemen, Yemen ni failed state and poorest Arab country.
Hakuna mtu anayeijali Yemen zaidi ya kuwatumia tu.
As we speak Yemen imegawanyika sehemu mbili na Iko kwenye Civil war, Watu wake wako kwenye umasikini na njaa kupindukia.
Egpty Ndio taifa pekee la Kiarabu kwa sasa linaloweza kuichallenge Israel kwenye vita halisi.
Hawa Akina Yemen wanasifiwa na wajinga tu
Hiyo haizuii kuwa Israel sasa hivi inashambuliwa ndani ya mipaka yake.Unajua hawa Houthi walishaga chagua kuharibu nchi yao, hadi wakaamua kujitoa akili sasa wamekutana na mtu ambaye anapiga hata ukijidai kichaa, na leo Lebanon kesho wataamka na Magofu
Nasemaga USA na NATO huwa wana huruma na wanaogopa vita , ni tofauti na Israel ambaye tangia 1948 ameishi kwa vita, mpaka wana wizara ya vita maana yake kuna waziri wa vita, wizara hiyo ina deal na vita tu, hakuna nchi dunia yenye wizara ya vita mataifa yote yana wizara ya ulinzi lakini Israel ana wizara ya vita. Hapo tutarajie free Yemen.Unajua hawa Houthi walishaga chagua kuharibu nchi yao, hadi wakaamua kujitoa akili sasa wamekutana na mtu ambaye anapiga hata ukijidai kichaa, na leo Lebanon kesho wataamka na Magofu
Elait kuna report ya explosion🚨BREAKING: Initial reports of a MAJOR explosion in Tel Aviv.
Hajui kama USA na Saudi Arabia walijaribu kuwaondoa Houthi kwa vita za mtaa kwa mtaa mpaka wakawakodia ALQAEDA na bado wakafeli😂😂😂😂😂.Umri wako mdogo huwajui Yemeni wewe.
Walokole wa JF mnachekesha Israel kaishapigana na nchi gani akashinda vita zaidi ya kuuwa watoto, angalia sasa hivi kakutana na kichaa Yemen.Kiranja wao amechutuma halafu anawasukumiza sungusungu wa Yemen kwenda kupigana na Israel yenye silaha kali na mabomu ya nyuklia, hizo ni bangi za waasi wa Houth, bangi zikiisha watatulia, Israel linapokuja suala la kutishia usalama wake hana huruma hata kidogo, USA na nchi za Ulaya wana utu na huruma lakini siyo Israel, yeye ni jino kwa jino, boom kwa boom, juzi Hezbolah wamelianzisha Israel imeanza kuua viongozi wake wakaona utaisha, wamesitisha mashambulizi.
Israel wanapigana kimkakati siyo kelele.Kiranja wao amechutuma halafu anawasukumiza sungusungu wa Yemen kwenda kupigana na Israel yenye silaha kali na mabomu ya nyuklia, hizo ni bangi za waasi wa Houth, bangi zikiisha watatulia, Israel linapokuja suala la kutishia usalama wake hana huruma hata kidogo, USA na nchi za Ulaya wana utu na huruma lakini siyo Israel, yeye ni jino kwa jino, boom kwa boom, juzi Hezbolah wamelianzisha Israel imeanza kuua viongozi wake wakaona utaisha, wamesitisha mashambulizi.
Mimi bora niwe mjinga kumsifu Yemen, kuliko niwe mjinga kujidai mimi napigana kumbe anaye pigana ni US, UK, na wengine 😄Wanasifiwa na wajinga tu na kupondwa na sapumbavu