nelo de nelo
Member
- Sep 10, 2024
- 89
- 104
Kiboko ya wachawi bhanaHakina Taifa litakaloweza kuitoa Israel ktk nchi aliyopewa na Mungu. Biblia imeandika kila kitu kitakachojiri siku za mwisho. Hivi vita ni maandalizi tu ya vita kubwa itakayokuja ambapo nchi za kiislamu zikisaidiwa na Urusi zitaivamia Israel. Wakati huo Marekani haitakuwa na uwezo wa kuisaidia Israel. Lakini Mungu ndipo atajitokeza kuwapigania na Mrusi na chi za kiislamu watazikwa ktk Israel na Israel itakuwa salama. Ndipo watamwamini Yesu Kristo.
Wallahi Netanyahu aweza afa na presha ama mstuko.
Walifikiria wanafukuza zile train za kutumia makaa ya mawe au 😄
Vitu vinaogelea kiulaini kabisa.Wallahi Netanyahu aweza afa na presha ama mstuko.
😂😂😂😂Aisee wamemuamulia sana.
Kwani waarabu/waislam wanatofautiana? Si ndo maana ww uko bonyokwa unatokwa povu..Ulivyokuwa punguani unadhani kila sehemu ipo kama Gaza😂
Sasa kumbe wenyewe hawavichukuliii kama vita vya kidini ?Israel hana lolote huyo anakuzwa tu na viongozi wa kiarabu ambao nusu yao hao viongozi wana asili za kiyahudi.
Mbona mnapingana wenyewe?Watapiga tu,ruksa ipo kwenye Quran,kisasi ni vilevile,wakikuulieni watoto ua watoto wao
Hao nusu yao wala bata 😄 Dini inataka usahau starehe za dunia 75%Sasa kumbe wenyewe hawavichukuliii kama vita vya kidini ?
Hii mkuu haipo.Watapiga tu,ruksa ipo kwenye Quran,kisasi ni vilevile,wakikuulieni watoto ua watoto wao
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ كُتِبَ عَلَيْكُمُ ٱلْقِصَاصُ فِى ٱلْقَتْلَى ۖ ٱلْحُرُّ بِٱلْحُرِّ وَٱلْعَبْدُ بِٱلْعَبْدِ وَٱلْأُنثَىٰ بِٱلْأُنثَىٰ ۚ فَمَنْ عُفِىَ لَهُۥ مِنْ أَخِيهِ شَىْءٌۭ فَٱتِّبَاعٌۢ بِٱلْمَعْرُوفِ وَأَدَآءٌ إِلَيْهِ بِإِحْسَـٰنٍۢ ۗ ذَٰلِكَ تَخْفِيفٌۭ مِّن رَّبِّكُمْ وَرَحْمَةٌۭ ۗ فَمَنِ ٱعْتَدَىٰ بَعْدَ ذَٰلِكَ فَلَهُۥ عَذَابٌ أَلِيمٌۭ ١٧٨Hii mkuu haipo.
Ndio maana shurti ya jihad ni kutokuua wanawake,watoto,wanyama,wazee na kuharibu miji.
Uislam hauruhusu kuua mwanamke na mtoto kaka.
Tunafahamu roho inakuuma zayuni wa kimara.Teh teh! Ipo kazi Yahya Sinwar nae anaishi kwenye mapango wakati kuna dada zake bikira wanasubili peponi akawapige shoo
Duh😀🤣Hakina Taifa litakaloweza kuitoa Israel ktk nchi aliyopewa na Mungu. Biblia imeandika kila kitu kitakachojiri siku za mwisho. Hivi vita ni maandalizi tu ya vita kubwa itakayokuja ambapo nchi za kiislamu zikisaidiwa na Urusi zitaivamia Israel. Wakati huo Marekani haitakuwa na uwezo wa kuisaidia Israel. Lakini Mungu ndipo atajitokeza kuwapigania na Mrusi na chi za kiislamu watazikwa ktk Israel na Israel itakuwa salama. Ndipo watamwamini Yesu Kristo.
Wewe bibi nenda kaleee wajukuuuWayemeni kwanza waliitandika Tel Aviv kwa drone, sasa wameitandika kwa ballistic missile.
Halafu Wayemeni vichwa sana. Wameipitusha missike Red Sea ikaingia Saudi Arabia, Ikaingia Jordan ikaibamiza Tel Aviv.
Maana yake nini?
Wamarekani na meli zao za kivita zote zote wameshindwa kuizuia missile ilipopita Red Sea, vikaragosi na vidosho vya mazayuni vya Saudi Arabia vikashindws kuizua missile, vikaragosi vya Jordan nao wakashindwa kuizuia.
Wayemeni wamesema hawajaanza kushambulia, hiyo ni Bashraf, mziki kamili haujaanza.
Kinachokuudhi na kukuuma nini?Wewe bibi nenda kaleee wajukuuu
Mkuu kama una mtu ajuaye tafsir Qur'an kwa kina nenda akakufasirie.يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ كُتِبَ عَلَيْكُمُ ٱلْقِصَاصُ فِى ٱلْقَتْلَى ۖ ٱلْحُرُّ بِٱلْحُرِّ وَٱلْعَبْدُ بِٱلْعَبْدِ وَٱلْأُنثَىٰ بِٱلْأُنثَىٰ ۚ فَمَنْ عُفِىَ لَهُۥ مِنْ أَخِيهِ شَىْءٌۭ فَٱتِّبَاعٌۢ بِٱلْمَعْرُوفِ وَأَدَآءٌ إِلَيْهِ بِإِحْسَـٰنٍۢ ۗ ذَٰلِكَ تَخْفِيفٌۭ مِّن رَّبِّكُمْ وَرَحْمَةٌۭ ۗ فَمَنِ ٱعْتَدَىٰ بَعْدَ ذَٰلِكَ فَلَهُۥ عَذَابٌ أَلِيمٌۭ ١٧٨
Kuna aya zingine zinazungumzia hilo,nimesahau maana nimekua a'swi,dunia yanipeleka mbio
Hakuna watu wanaogopa kufa kama Wayahudi ambao hujiita vipenzi vya MunguHayo tafakari wewe.
Mazayuni zaifi ya million 2 walikuwa wanakimbizana kutafuta mahandaki kwa kombora moja tu.