Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
🤣 🤣 🤣 israhell ipi hii ambayo wanamgambo wake wa idf wanaoana vitaniKama kuna Taifa limewahi pigana na USA na Israel likafanikiwa basi bado halijazaliwa, wanapoteza mda.
Njaa ya chakula tu inaendelea kuua wengi huko, vita wataiweza?Yemen failed state anatishia viranja wa dunia🤣😅😂
Mbona ume umia sana una washwa auMwamedi alikua anapenda sna mavi ndio mana akawa anapenda muiname anuse mavi yenu
Hata Afghanistan njaa iliwatesa sana ila United shit of Americant na shosti zake walikimbizwaNjaa ya chakula tu inaendelea kuua wengi huko, vita wataiweza?
Ujinga ni mzigo
Bahrain peke yake ndie kakubali kuburuzwa kuingia katika huo muungano wa kijanja.Qattar wamemtolea ukali lord Austin na kumwambia hawaingii kwenye muungano huo.Yemen si ya kutishiwa na Mtu Saud Arabia alijifanya Superpower kujiona ana ndege sijui F15 na Europe fighter Typhoon na silaha za kila aina aliwakusanya UAE, US, Israel, Baharain, Morocco ,Egypt, Jordan wakapeleka F16 na Kuwait F18, na Qatar Mirage pamoja na Sudan na Pakistan walipeleka majeshi yao walikimbia mmoja mmoja wakabaki Saud Arabia na UAE badaye UAE akakimbia ikabaki anawasapoti wa pinzani kule South Yemen, ilibidi Saud Arabia akaombe poa nao kwa njia ya Oman .
America na Israel hawamuwezi hata wajikusanye vipi
Yemen?Wanaukumbi.
Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.
======
🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:
The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.
======
Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.
Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.
Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.
Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
Yahya Saree, msemaji wa Jeshi la Yemen:
View: https://x.com/me_observer_/status/1737102785848512969?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Huyo kiranja wa dunia si ndo alipigwa nchini Somalia akakimbia na kuwatelekeza wanajeshi wake wakazungushwa mitaani wakiwa uchi?Yemen failed state anatishia viranja wa dunia🤣😅😂
Marekani anajua wazi peke yake hawezi ndiyo maana anataka muungano, huo unaoongozwa na Marekani, unajumuisha Uingereza, Canada, Ufaransa, Italia, Uholanzi, Norway, Seychelles, Uhispania, na haswa, Bahrain-taifa pekee la Kiarabu linaloshiriki katika muungano huo nchi zingine zinasema zitashiriki lakini zinaomba zisitajwe unajua sababu gani wanaogopa.Yemen?
Hana ubavu huo.
Mgambo wetu wa kikosi kimoja tu wanatosha kabisa kuiteka Yemen nzima.
Jamani hii ngoma ya Red sea inaenda kuiharibu nchi ya Yemen ambayo ilikuwa inaanza kutulia kidogo, huyo Yemen anataka kuua rais wake, vita itaanza askari wa Yemen wataenda kujificha kwa raia na miskitini, kitakachotokea ni maafa makubwa, miaka ya nyuma kipindi cha mzozo wa USA na Iraq watu wengi mkiongozwa na kauli za hasan chemical mlisema wanajeshi wa USA watachujwa wote zitarudi maiti na Iraq itashinda vita, Ghadaf hivyo hivi,Operesheni za majini za Yemen zinalenga kuwaunga mkono wananchi wa Palestina katika kukabiliana na uvamizi na mzingiro wa Gaza, na sio onyesho la nguvu wala changamoto kwa mtu yeyote. Yeyote anayetaka kupanua mzozo lazima abebe matokeo ya matendo yake. Muungano ulioundwa na Marekani ni wa kuilinda Israel na kuilinda bahari bila uhalali wowote, na hautaizuia Yemen kuendelea na operesheni zake halali za kuunga mkono Gaza, kama vile Amerika ilivyojiruhusu kuiunga mkono Israel kwa kuunda muungano na bila ya muungano, wananchi wa eneo hili wana uhalali kamili wa kuwaunga mkono wananchi wa Palestina, na Yemen imejitwika jukumu la kutetea haki ya Palestina na dhulma kubwa ya Ghaza….
Mkuu kwa sasa Mmarekani anaweza akapata shida sana kuwashughulikia hao Wayemen. Hii ni kwa sababu Marekani ameshavunja uhusiano na Russia kwa kuwasaidia Ukraine. Kabla ya hapo haikuwa rahisi kwa Russia kuisaidia waziwazi nchi kama Iran, North Korea na nchi nyingine za kaliba hiyo. Kwa kipindi hiki Russia, China. North Korea na Iran wanaweza kumsaidia Yemen ili kumharibia Mmarekani. Vilevile, usidhani Yemen anajitutumua tu bila kuwa na backup, kuna nchi zinazomchochea kufanya hayo ayafanyayo.Uzuri wa Marekani huwa hana shughuli ndogo. Unakumbuka enzi zile za maharamia wa kisomali walivyokua wanateka meli kwenye pembe ya Africa,??
Unajuwa tujifunze na history, kuna nchi hajizajawahi kuwa matajiri na wakasimama imara, ziko nchi sio kwamba wana dhana za kisasa za vita ila wanawapiganaji, kuna watu wanajuwa kupigana vita kuwa na ushujaa, Afghanstan wameshapigana mpaka na NATO lakini ni majeuri sana, Hawa Yemen wameshambuliwa mwaka sijui wa gapi huu na matajiri wa Gulf lakini wameomba poo wenyewe vita haishi. Siku hizi haya ma drones ni hatari vinarushwa na kupiga. Ziko nchi kuzikalia huwezi hata hapo Somali tumeyaona.ngoja waje wapakatwe tuanze free yemen
Putin anataka auze wese kwa Bei mbaya..sasa mkong'oto ukianza nani atawasaidia hao iran na urusi hawataonekana.Kwa mujibu wa waziri mkuu wa UK ni kwamba hao wa Yemeni nyuma yake kuna mrusi na muirani ambao wanataka kupandisha bei ya mafuta na bidhaa ili uchumi wa nchi za magharibi uvurugike.
Iran ndo anaweza kufanya hivyo.Kwa kipindi hiki Russia, China. North Korea na Iran wanaweza kumsaidia Yemen ili kumharibia Mmarekani. Vilevile, usidhani Yemen anajitutumua tu bila kuwa na backup, kuna nchi zinazomchochea kufanya hayo ayafanyayo.
Nadhani unapotosha kidogo, USA ni super power wala hakuna mtu kasema Yemen atampiga US ila sasa kama USA wanamalengo ya wazi katika hili ni kuhakikisha meli zinapita salama na kuzuia hawa jamaa kuzuia njia, sasa ikitokea USA wako wana patrol lakini meli hazipiti kuogopa ikiwa imezuiwa au bado hazijisii usalama hapo ndio ushindi wa Yemen ila wakiweza kurudisha amani ya njia hapo US wameshinda.Hili Jukwaa lina maajabu. Kumbe mpaka Yemen ni anaweza ipiga US? Du kumbe saiv mataifa yote ya Kiarabu wanaweza mkunguta super power? Kweli US kajichokea
Hahaha..Hili Jukwaa lina maajabu. Kumbe mpaka Yemen ni anaweza ipiga US? Du kumbe saiv mataifa yote ya Kiarabu wanaweza mkunguta super power? Kweli US kajichokea
Kanusane mavi kama alivowaagiza mwamedi.Mbona ume umia sana una washwa au
Afgan kakaa miaka 20 kaachia koloni ulitaka akae kuna nini pale. Yaani somalia pqlqkavu vile kiranjaa aangaike napo yeye anaenda sehem ananyosha magaidi na kuondokaHuyo kiranja wa dunia si ndo alipigwa nchini Somalia akakimbia na kuwatelekeza wanajeshi wake wakazungushwa mitaani wakiwa uchi?
Huyo kiranja si juzi tu kaikimbia Talban baada ya kupambana nao zaidi ya miaka 20?
Huyo kiranja si ndo alipakatwa mchana kweupe nchini Vietnam akakimbia na chupi mikononi?
Punguza mihemko vita sio lelemama.