Ufaransa huwa ana historia ya kuwa na jeshi dhaifu pale Ulaya. Yani ukienda Ulaya ukawaambia Ufaransa ina jeshi shupavu watakucheka. Hata Northern Africa kina Algeria kule Ufaransa bado alikuwa na performance ya kawaida.Aliewamaliza alikuwa France sio USA mkuu
Nafikiri ulikuwa mpango wa biashara ya wakubwa maana walikuwa wanadai dau kuanzia 20m $ na kuendelea
Sasa zingine zilikuwa 40m
Na zilikamatwa na vijana wadogo zilikuwa 360 kwa ujumla
Kazi iliisha kwa hasara kubwa sana
Unafikiri mmarekani peke yake anaweza?
Jina kubwa ila hakuna kitu alipigwa black Hawk Down kama mtoto na miguu ilivutwa kama toys na watoto
Hana hamu na wasomali huyo na hakuna vita aliyoshinda mkuu
Ila mfaransa aliwafuata mpaka nchi kavu na kuwauwa wengine wakiwa na mgao wao kwenye mabegi
Wafaransa wabaya sana
Sio suala la kuhisi wala kudhani. Mbona hiyo inajulikana wazi ndio sera ya Iran siku zote kwamba akikabwa sehemu pa kuponea ni kuvuruga Red sea kuzuia shipments ili yawepo mazungumzo. Hata silaha zake nyingi majini zimelenga hiloHaya mashambulizi ya Meli bahari nyekundu inawezekana ni kitisho cha Iran kupitia wanamgambo wa Houth ili kuzisukuma nchi za umoja wa Ulaya na Marekani kuhusu usitishwaji wa mashambulizi ya Israel huko Gaza na ukanda wa magharibi ya mto Jordan.
Iran anaweza akawa mastermind wa haya yote
Ok sawa, upo sahiiSio suala la kuhisi wala kudhani. Mbona hiyo inajulikana wazi ndio sera ya Iran siku zote kwamba akikabwa sehemu pa kuponea ni kuvuruga Red sea kuzuia shipments ili yawepo mazungumzo. Hata silaha zake nyingi majini zimelenga hilo
Sasa unatumiaje vita kuua uchumi wa Marekani wakati Marekani ndio huwa inatumia vita kukuza uchumi wake. Kila Marekani ikitoka vitani inakuwa imekuza uchumi na ilioshindana nao wamekongoroka. Wanaoweza athirika ni hao Europeans nao hakuna namna lazima walinde usalama wa shipping lanes, ama waende vitani au wasiende bado wataingia gharama.Kwa mujibu wa waziri mkuu wa UK ni kwamba hao wa Yemeni nyuma yake kuna mrusi na muirani ambao wanataka kupandisha bei ya mafuta na bidhaa ili uchumi wa nchi za magharibi uvurugike.
Waoneeni huruma basi hata kidogo hao waarabu?Mkuu kwa sasa Mmarekani anaweza akapata shida sana kuwashughulikia hao Wayemen. Hii ni kwa sababu Marekani ameshavunja uhusiano na Russia kwa kuwasaidia Ukraine. Kabla ya hapo haikuwa rahisi kwa Russia kuisaidia waziwazi nchi kama Iran, North Korea na nchi nyingine za kaliba hiyo. Kwa kipindi hiki Russia, China. North Korea na Iran wanaweza kumsaidia Yemen ili kumharibia Mmarekani. Vilevile, usidhani Yemen anajitutumua tu bila kuwa na backup, kuna nchi zinazomchochea kufanya hayo ayafanyayo.
America walipeleka misaada Somalia na baadae wakaenda kutaka kumkamata General Aidid ila wananchi wakaenda upande wa AididUfaransa huwa ana historia ya kuwa na jeshi dhaifu pale Ulaya. Yani ukienda Ulaya ukawaambia Ufaransa ina jeshi shupavu watakucheka. Hata Northern Africa kina Algeria kule Ufaransa bado alikuwa na performance ya kawaida.
Alafu wewe kama mzoefu wa mambo ya kivita unaonyesha utoto kudai Marekani iliishindwa Somalia. Marekani haijawahi pigana vita na Somalia, lini uliwahi ona Marekani inapigana vita kwa kutumia helicopter mbili na Humvee?
Kwamba helicopter moja ikiangushwa basi nchi imeshindwa vita sasa si kila nchi duniani ingekuwa inashindwa vita.
Mpaka Marekani inaweka naval base pale Djibouti lengo ni kulinda ghuba ya Uajemi mpaka Mediterranean sea. Hakuna nchi imehusika na kupambana na maharamia wa Kisomali zaidi ya Marekani, kwanza task force ndio imeanzisha, ndio imetoa vifaa vingi na ndio imepiga operations nyingi zaidi. Then UK na France.
HAYA TUNASUBIRI TUONE WAPIGA NGONJERA WA KIARABU....Wanaukumbi.
Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.
======
🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:
The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.
======
Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.
Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.
Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.
Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
Yahya Saree, msemaji wa Jeshi la Yemen:
View: https://x.com/me_observer_/status/1737102785848512969?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mkuu USA ilishindwa vita Mogadishu???America walipeleka misaada Somalia na baadae wakaenda kutaka kumkamata General Aidid ila wananchi wakaenda upande wa Aidid
Hapo ndipo ugomvi ukaanza
Hapo hata ukipigana saa mbili ni vita mkuu
Halafu tujibu kwa staha I respect you
Mfaransa ana historia mbaya Africa na aliuwa sana na wale pirates alikuwa anawafuata wanapotoka baharini na kuja nchi kavu na kuwauwa
Hilo tu ndio nikikazia
Uwe na siku njema
subhaanallah.Mwamedi alikua anapenda sna mavi ndio mana akawa anapenda muiname anuse mavi yenu
Muiisrael mweusi wa Majimatitu anatoa tamko ebu wasome Waisrael wa Tel Aviz.HAYA TUNASUBIRI TUONE WAPIGA NGONJERA WA KIARABU....
MLISEMA MARA OOH KIONGOZI WA HEZBOLLAH ATATOA HOTUBA YA KUIVAMIA ISRAEL AFU MKAKIMBIA 🤣🤣🤣🤣
SASA MMEHAMIA KWENYE NGONJERA ZA WAVAA MISULI WA SANAA🤣🤣🤣.
NB: WAMEWASHINDWA WASAUDIA WAARABU WENZAO,,,,,WATAWAWEZA WENGINE..
ACHA NGONJERA KAMA WAARABU SUBIRI TUONE KAMA HIYO BAHARI NYEKUNDU ITAGEUKA KABURI...Muiisrael mweusi wa Majimatitu anatoa tamko ebu wasome Waisrael wa Tel Aviz.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel
Wacha we mswalie mtume🤣😆😁Anatisha tena anashambulia meli na zingine kaziteka.
Nani kaongelea dini hapoMkuu USA ilishindwa vita Mogadishu???
Tafuta historia za kijeshi na sio ushabiki wa kidini
Ndo huyo aliyemkung'uta Saddam Hussein na sasa yupo mavumbini😂🤣Huyo kiranja wa dunia si ndo alipigwa nchini Somalia akakimbia na kuwatelekeza wanajeshi wake wakazungushwa mitaani wakiwa uchi?
Huyo kiranja si juzi tu kaikimbia Talban baada ya kupambana nao zaidi ya miaka 20?
Huyo kiranja si ndo alipakatwa mchana kweupe nchini Vietnam akakimbia na chupi mikononi?
Punguza mihemko vita sio lelemama.
BREAKING:Ndo huyo aliyemkung'uta Saddam Hussein na sasa yupo mavumbini😂🤣
Ndo huyu huyu aliyeyamaliza magaidi Osama, Aiman Al Zawahiri na wengine.
Ndo huyuhuyu ambaye russia kwa njaa zao na upungufu wa akili walimuuzia Alaska
Ndo huyuhuyu ambaye akisema neno nchi za kiarabu nyingi zinamuunga mkono
Ndo huyuhuyu ambapo rafiki zake walimng'oa Gaddafi
UDINI MZIGO YAANI KUFA WANAJESHI 18 NA MAJERUHI 78 KATI YA WANAJESHI 168 NDIO USA MARINES ILISHINDWA VITA MOGADISHU...Nani kaongelea dini hapo
Mbona mmekuwa na kasumba ya dini sana
Kwanini wewe usiseme tu yanayohusu mashambulizi hayo na vita Somalia
Unaleta udini, kama wewe ni mgalatia sikushangai kwa chuki binafsi,
Mmarekani aliondoka Somalia kwa shinikizo la wananchi wao kutaka watoto wao warudishwe haraka nyumbani
Kama hujui Wasomali walipowauwa wanajeshi wa 🇺🇸 walikata miguu na mikono na kuifunga kamba na kuwapa watoto wazivute kama toys
Na waandishi wa habari walirusha live na kupelekea waamerika kuomba waondolewe hapo
Sasa wewe kaa na chuki zako kila anaeandika ubaya wa USA uanze kutokwa povu