Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kwanza kabisa, siongelei uvamizi.Jidanganye.
Kuna taifa lililosimamiwa na Iran USA ikavamia na kufanikiwa?!!!!
Sifikiri tunaelewana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza kabisa, siongelei uvamizi.Jidanganye.
Kuna taifa lililosimamiwa na Iran USA ikavamia na kufanikiwa?!!!!
Yemeni sio failed state.Yemen failed state anatishia viranja wa dunia🤣😅😂
Naongelea vita ya US na Yemen.Kwa akili zako unadhani Iran Hana silaha za nuclear??
Na Iran ndio mfadhili wa Yemen.
Iran Kuna mahandaki yenye silaha zisizojulikana za Aina gani kijana.
Nimekuelewa Sana na ndio maana nikaanza kwa namna hivyo kwa sababu Vita nyingi USA alizopigana na waarabu ni za uvamizi katika ardhi ya waarabu.Kwanza kabisa, siongelei uvamizi.
Sifikiri tunaelewana.
Hiyo Yemeni unayoizungumzia haisimami pasi na nguvu ya Kina Ayatollah Khomeini.Naongelea vita ya US na Yemen.
Ukitaka kuingiza nchi nyingine we migh as well tal Armageddon.
Najua, na hilo ndilo linaloprove weakness ya Yemen.Hiyo Yemeni unayoizungumzia haisimami pasi na nguvu ya Kina Ayatollah Khomeini.
Unapoitaja Yemeni umeitaja Iran kaa ujue Hilo.
China Wala hamuogopi mtu.Iran ndo anaweza kufanya hivyo.
China hathubutu, anaogopa yale yaliyomkuta Mrusi kwa mali zake kupigwa pini. Wachina wanajali sana uchumi wao.
Hata Russia akifanya ni kwa kificho sana, na saivi pumzi hana.
USA Vita pekee alosimama peke yake labda Ni ya kutafuta Uhuru na ya operation cabanatuan.Najua, na hilo ndilo linaloprove weakness ya Yemen.
Mikwala mingiii, ila haiwezi hata kusimama peke yake.
Serikali yaYemen nayo ya kutumishia msul tu? Hiyo iliyoshindwa kudhibiti hata waasia waliomo.nchini.mwake tu
Historia yako ina matundu mengi san.USA Vita pekee alosimama peke yake labda Ni ya kutafuta Uhuru na ya operation cabanatuan.
Ila after that Huwa anaomba muunganiko NATO.
Kama na yeye USA anajiweza asingeomba joint coalition kulinda red sea.
Mpaka Sasa Kama unazungumzia Hilo USA keshafeli in geopolitical influence.Historia yako ina matundu mengi san.
Hiyo USA kutosimama peke yake Red Sea - actually na sehemu nyingine nyingi tu- ni kwa sababu za kisiasa USA asionekane anataka ku police dunia peke yake, tayari kashalaumiwa sana kwa kuwa "The World Police".
USA hashindwi kufanya hiyo operation ya Red Sea peke yake, ila kwa sababu za kisiasa inabidi ajenge international consesus.
That is a political move, not a military one.
Umebadili mjadala, mazungumzo yalikuwa mikwala ya Yemen na uhalisia wake katika ubabe wa kivita ya USA vs Yemen.Mpaka Sasa Kama unazungumzia Hilo USA keshafeli in geopolitical influence.
Kafeli toka alipoisapoti Israel na kutupilia mbali suala la two states solution.
Pia USA ufadhili wake wa Vita umedumaza uchumi wa USA na mbaya zaidi Vita nyingi alizofadhili kashindwa.
Ndio maana raia na wasomi wa uchumi USA wanapiga kelele US iache kufadhili Vita zisizo na maana zinazodumaza uchumi wao kwa kutumika kwa Kodi zao.
Hata Ukraine asilimia Kubwa ya raia wanapiga kelele msaada wa silaha usitishwe.
USA bro Hana ubavu keshaonesha udhaifu Vita kadhaa alipoenda kusimama yeye Kama yeye.
Mfano tu ya Somalia ya kumkamata Aidid.
Mwisho US ana Vita nyingi alizofanya zikaleta maafa kikandamizaji mathalan ya Egypt ya kumpindua Morsi na ya Libya ya kumtoa Gaddafi na ya Syria ya kumtoa Assad.
Hivyo USILETE visingizio vya kisiasa.
Hakuna kitu usiwajaze mkuu, wakipigwa wanaanza kulia kulia, wanaweza kuwa sahihi katika madai yao ila hii mikwara ni ya Joti kabisa.First statement from Yemen after the announcement of coalition led by USA:
"With this foolishness, you will learn who Yemen is."
BREAKING:Hakuna kitu usiwajaze mkuu, wakipigwa wanaanza kulia kulia, wanaweza kuwa sahihi katika madai yao ila hii mikwara ni ya Joti kabisa.
Unatumia nguvu kubwa kumuelekeza kilaza,Umebadili mjadala, mazungumzo yalikuwa mikwala ya Yemen na uhalisia wake katika ubabe wa kivita ya USA vs Yemen.
Kama unataka kubishana nami kuwa Yemen ina uwezo wa kuishinda USA katika vita ya nchi kwa nchi, sina jinsi ya kukusaidia.
US imetumia dola bilioni 766 kwenye bajeti ya ulinzi mwaka 2022.
Yemen imetumia 2.09 billion mwaka 2014.
Pato zima la taifa la Yemen mwaka 2022 lilikuwa dola bilioni 23.55
Yemen hata Tanzania tumewapita kiuchumi, Tanzania ilikuwa na GDP na dola bilioni 75.71
Pato la taifa la Yemen la mwaka 2022 linaingia mara 32.5 kwenye bajeti ya ulinzi ya Marekani ya mwaka huo.
Huwezi hata kulinganisha.
Kiongozi wa Ansarullah (Houthi) wa Yemen anasema
Ikiwa Marekani itachochea vita na sisi, itakabiliwa na matokeo mabaya zaidi kuliko Afghanistan na Vietnam.
Marekani haipaswi kudhani kwamba inaweza kuanzisha mashambulizi na kumaliza mzozo, lakini itaburutwa kwenye vita kamili.
Tunatuonya tuepuke upumbavu huo.
Uzuri ni kwamba, naielekeza dunia, si kilaza mmoja tu asiyeelewa mambo.Unatumia nguvu kubwa kumuelekeza kilaza,