Wamekiri wapi, waswahili walivyo mikwara kibao utafikiri wao wako imbeded with the American admin kumbe wanauza magimbi soko la Tandale kushindia chai ya rangi kikombe kimoja na muhogo wa kuchoma 🤣🤣🤣Ikiwa baba yake kamshindwa akaweze mtoto anaye lishwa ubwabwa.
Hivi we akili zako ziko timamu wewe, Israel ikiwa Hamasi kawashindwa na Hamasi kafungiwa mipaka mpaa maji na umeme akapigane na Yemen.
Israel ana nini huyo anakuzwa tu na media za Western na propoganda zao.
Yemen habari ingine ni moto wa mbali hata America na Uingereza wamekiri hayo, we baki unatapa tapa kama mgonjwa wa utapia mlo.