Yemen yaishambulia Israel .

Wamekiri wapi, waswahili walivyo mikwara kibao utafikiri wao wako imbeded with the American admin kumbe wanauza magimbi soko la Tandale kushindia chai ya rangi kikombe kimoja na muhogo wa kuchoma 🤣🤣🤣
 
Hawezi ishambulia Iran direct nchini kwake,huwa anavizia Syria na Iraq kushambulia maafisa wa jeshi,Iran nayo hua inasaka maafisa wa Israel nayo inawaua,kama hivi karibu!!

Sio USA wala Israel anaeweza kushambulia Iran moja kwa moja!!
"Sio USA Wala Israel anayeweza kushambulia Iran moja kwa moja" ila Pakistan ndio mwenye nguvu kuliko hao US na Israel sio?
 
Wamekiri wapi, waswahili walivyo mikwara kibao utafikiri wao wako imbeded with the American admin kumbe wanauza magimbi soko la Tandale kushindia chai ya rangi kikombe kimoja na muhogo wa kuchoma 🤣🤣🤣
Tatizo we ulikulia tandale ndio unadhani wote tumetokea huko 😄



Soma utaona Biden anakiri kabisa Air Strikes haina matokea sa mnataka nini Jeshi la chini America hawezi kabisa anajua atarudisha maiti tu.

Safari hi America kaukalia
 
Akimshambulia uje utustue [emoji3]
 
Safi Safi kongole kwao

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Walokole mna ujinga mwingi sana
 
Mnaaminishwa kuwa Israel ni zaidi ya kila taifa ulimwenguni kivita na mnakubali. Unadhani walioshambulia unawazidi akili na intelijensia ya kijeshi?

Wanajua wanachokifanya!
hv umeelewa kinachozungumzwa , hayo mengine nyie ndo mnayo vichwan , yemen si level ya Israel , ELEWAAA
 
Ndugu zangu
Hivi hamuoni kuwa hii vita inazidi kuaogea kwetu?

Tunapaswa kukemea sana haya madudu ya mashariki ya kati.

Israel, palestina, marekani na wengineo wanakosea kuchochea mauaji
Iran hachochei mauaji ? kwann humtaj ?
 
kwan Yemen ina serikali moja ? ushabiki na unafiki ndo unatiferisha watu weusi , mtu upo busy kuisifia Yemen iliyoshindwa hata kujitawala kwa serikali moja nchi nzima
 
Hizi zilikua stori kama za kina juma na uledi amka usingizini acha kuota . Hapo Gaza tu wanamgambo wa Hamas na Hezbollah wanamtoa kamasi itakua Yemen wenye makombora ya masafa marefu.
ndio maana israel wamefungua kesi ICJ kuwa wanauliwa hovyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…