Yemen yashambulia ndege vita ya USA na kuzamisha meli ya Uingereza!

Yemen yashambulia ndege vita ya USA na kuzamisha meli ya Uingereza!

Kaangalie bei ya hiyo drone yako!!

Several MQ-9 aircraft have been retrofitted with equipment upgrades to improve performance in "high-end combat situations", and all new MQ-9s will have those upgrades. 2035 is the projected end of the service life of the MQ-9 fleet. The average unit cost of an MQ-9 is estimated at $30 million in 2022 dollars.
high-end combat situations
Maana ake kwenye unit kimeshushwa kitu kimoja means vingine vipo
 
Katika muendelezo wa serikali ya Houthi ya Yemeni kuiunga mkono Palestine na kujibu mashambulizi ya USA na Uingereza,Leo usiku imeendeleza mashambulizi yake dhidi ya meli ya Uingereza kw akuipiga makombora na kutungua ndege vita ya USA aina ya MQ9. The average unit cost of an MQ-9 is estimated at $30 million in 2022 dollars. Ndani ya mwezi mmoja Houthi wametungua ndege 2 za MQ9

Aina ya ndege iliyotunguliwa


View attachment 2908831
View attachment 2909141

NB-ndani ya miezi mitatu Houthi wameshambulia meli zaidi ya 30 ambazo zinamilikiwa na kampuni za USA, Israel na Uingereza


Msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza punde taarifa hizo,

View: https://twitter.com/army21ye/status/1759476423507497325?t=mqcq8QQEsymxx0Ey5RXsyw&s=19

Wamezamisha meli ipi, tujuze!
 
Unaelewa nini ukiambiwa come to halt??
Hiyo meli imechakazwa halt maana yake ni terminate hivyo huwenda ni kweli imezama.
Soma link uliyoleta kwa ufasaha.
Hakuna meli iliyozama bwana acha uongo unataka waandike kizigua ndio uelewe. Bure kabisa.
 
Wanapigana kwa kumtanguliza Mungu mbele.Ushindi ni lazima.
Hiyo droni kwa haraka wanaifumua na kutuma vipuri maabara za Iran.Haichukui muda wanatoa za kwao kama hizo na kuchagua kombora munasibu za kuzitungulia pindi zikiendlelea kutumiwa na adui
hizbuLlaa kule ebanon wameonekana na aina ya kombora ambalo limewashangaza sana Israel.kwa sababu walijua wao peke yao ndio wanalo pamoja na washirika wao.
 
But sio jeshi la serikali ni waasi
Pengine haufahamu kua hawa Houthis ndani ya mwezi huu serikali za USA na Uingereza zimefanya mashambulizi kadhaa ndani ya Yemen na walijaribu kuunda umoja wa nchi kadhaa kwa ajili ya kupeleka meli vita kukabiliana na Houthi. Ni serikali inayotambulika inatawala Yemen na wamechukua nchi baada ya kupigana na Saudi Arabia na Emirates chini ya msaada wa USA walipojaribu Kuzuia vibaraka wa Magharibi wasiondolewe kwa miaka 9.
 
Wanapigana kwa kumtanguliza Mungu mbele.Ushindi ni lazima.
Hiyo droni kwa haraka wanaifumua na kutuma vipuri maabara za Iran.Haichukui muda wanatoa za kwao kama hizo na kuchagua kombora munasibu za kuzitungulia pindi zikiendlelea kutumiwa na adui
hizbuLlaa kule ebanon wameonekana na aina ya kombora ambalo limewashangaza sana Israel.kwa sababu walijua wao peke yao ndio wanalo pamoja na washirika wao.
Reverse engineering. Kule Ukraine Urusi ana kazi ya kuchukua silaha za NATO/USA na kuwapa Iran wafanye maajabu yao,baada ya mwaka mmoja zitatolewa silaha hatari sana.

Mfano hapo Gaza Israel anapata tabu sana na RPG za Urusi ambazo zimefanyiwa modification na HAMAS,zinatwanga vifaru balaa ambavyo vya mabilioni ya hela,wanatumia pia kama sniper weapon
 
Wanapigana kwa kumtanguliza Mungu mbele.Ushindi ni lazima.
Hiyo droni kwa haraka wanaifumua na kutuma vipuri maabara za Iran.Haichukui muda wanatoa za kwao kama hizo na kuchagua kombora munasibu za kuzitungulia pindi zikiendlelea kutumiwa na adui
hizbuLlaa kule ebanon wameonekana na aina ya kombora ambalo limewashangaza sana Israel.kwa sababu walijua wao peke yao ndio wanalo pamoja na washirika wao.
Mazayuni wanashangaa sio🤣🤣....siku haya mambo yakiisha pande zote zitakuwa zinajiuliza mara mbilimbili kutwangana tena ikiwa utatokea mgogoro miongoni mwao maana kila mtu atakuwa ana hofu na silaha za mwenzie....zipigwe mpk amani ipatikane...
 
Katika muendelezo wa serikali ya Houthi ya Yemeni kuiunga mkono Palestine na kujibu mashambulizi ya USA na Uingereza,Leo usiku imeendeleza mashambulizi yake dhidi ya meli ya Uingereza kw akuipiga makombora na kutungua ndege vita ya USA aina ya MQ9. The average unit cost of an MQ-9 is estimated at $30 million in 2022 dollars. Ndani ya mwezi mmoja Houthi wametungua ndege 2 za MQ9

Aina ya ndege iliyotunguliwa


View attachment 2908831
View attachment 2909141
View attachment 2909694

Jinsi meli ya Uingereza yenye jina la RUBY-MAR ilivyozama baada ya kupigwa kombora.
View attachment 2909699

NB-ndani ya miezi mitatu Houthi wameshambulia meli zaidi ya 30 ambazo zinamilikiwa na kampuni za USA, Israel na Uingereza
View attachment 2909357


Msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza punde taarifa hizo,

View: https://twitter.com/army21ye/status/1759476423507497325?t=mqcq8QQEsymxx0Ey5RXsyw&s=19

Huyu jamaaa alivyo mpuuzi, unakuta anatumia ndege zilizotengenezwa na usa. 🇺🇸
Watakuja kumla kichwa tuuu, kama walivyomla kichwa Raisi wa Iran 🇮🇷
 
Back
Top Bottom